Ukiwajua Polisi Tanzania, hutawashangaa kabisa na taarifa zao

Ukiwajua Polisi Tanzania, hutawashangaa kabisa na taarifa zao

Kwa mimi nisiyejua utendaji wa Polisi hapo nilichoona mtandao wa mawasiliano kwenye vituo vya Polisi hakuna.
(Sijui Radio call ni za kazi gani tena)
1.Kungekuwa na mawasiliano vituo vyote polisi pale mtuhumiwa ameripotiwa kituo kimoja cha Polisi vituo vyote vingepewa taarifa kwamba kuna mtuhumiwa fulani mwenye jina fulani kama ataripotiwa kituo kingine akamatwe.
2.Polisi ingeshirikisha jamii kwa kutoa taarifa kwenye vyombo vya habari au magazeti juu ya Polisi mtuhumiwa wa uharifu kwamba ko kote atakapoonekana watu watoe taarifa kituo cho chote polisi ili iwe rahisi kumkamata.
Nawaza hivyo kwa jiji kama Dar,mtu anaweza kufanya uharifu Temeke akakimbilia Tegeta! Hata Polisi wangekuwa na makachero kiasi inaweza ikachukua muda kumkamata muharifu.
 
Sina inside info lakini the moment Jerry alipoanza kusema anasimamisha vibali vya petrol station mpya sijui hadi nini nini nikajua Tu ataondolewa haraka sana...hii kauli ya kusimamisha vibali vya petrol station aliwahi kuitoa Mabula pia hapo Ardhi na haku last miezi mitatu....kwenye vita za siasa lazima uchague maadui zako na lazima upigane na adui mmoja Kwa wakati... angebaki na walanguzi WA viwanja na rushwa za ardhi...huko kwenye petrol station aligusa nyaya ambazo hazijui vizuri mizizi yake
I agree
 
Mna tuchanganya sana na hizi stori zenu za kusadikika.

Polisi hao hao mnao wasema wanaonyesha ufanisi mkubwa sana wakati wa maandamano ya CHADEMA! Vipi, hawa huwa wamekodiwa toka sehemu nyingine duniani?

Chukua mfano wa Lema, anatoka Arusha kuja Dar es Salaam kuungana na wenzake kwenye maandamano. Hata kabla ya kukanyaga ardhi ya Dar, tayari anadakwa humo humo kwenye ndege!

Kuna ubovu wa utendaji ndani ya jeshi la polisi, siyo kwa sababu ya muundo, kama inavyo elezwa kwenye mada hii. Huu "mfumo" unazuia mawasiliano kati ya kituo kimoja cha polisi na kingine?

Maswala ya uzembe na kuto wajibika kwa wahusika sasa nayo yanabatizwa kuwa ni sababu ya "mfumo"?

Hili nalo limekuwa ni tatizo kwa Tanzania, la kutafuta visingizio kwa kila jambo linalo fanyika vibaya.

Huo mfano ulio tolewa hapo kwa mtuhumiwa anaye tafutwa, ni swala la uzembe.
 
Naunga mkono hoja, Issue ya Mzee Kibao wa Chadema ni typical example。
  1. scene 1。Ijumaa September 6,saa 1 usiku Mzee Kibao apanda basi la Tashrifu la usiku kwenda Tanga。
  2. Scene 2。Kufika maeneo ya Regeta, basi lasimamishwa,na watu waliojitambukisha kama polisi wasio na sare, lakini na silaha za moto,wamtia pingu Mzee Kibao na kushuka nae toka kwenye basi,la Tashrifu baada ya kusimamishwa na landcruser mbili hard top, kisha wakamuingiza na kutokomea nae。
  3. Scene 3。September 6 Saa 4:10 usiku wa tarehe 6 JJ Mnyika atoa taarifa mtandaoni John Mnyika: Kiongozi wa CHADEMA Mzee Ali Mohamed Kibao, adaiwa kushushwa kwenye Basi na kuchukuliwa na watu wasiyojulikana
  4. Scene 4, September 7,saa 2:asubuhi polisi yaokota mwili wa mtu maeneo ya Kunduchi Ununio,na kuupeleka。Mwananyama hospital kimya kimya
  5. Scene 5:Jumakosi。Septemba 7 saa 5 Asubuhi JJ Mnyika afanya press conference kutangaza kutekwa kwa kada wao CHADEMA: Mzee Ali Kibao ametekwa na Vyombo vya Ulinzi na Usalama akiwa kwenye basi. Usalama wa Taifa waeleze alipo
  6. Scene 6, Jumamosi September 7 saa 10 jioni。PT yatoa taarifa kwa umma kuwa wameipokea taarifa ya JJ Mnyika wanaifanyia kazi Kuelekea 2025 - Polisi: Tunachunguza kubaini chanzo na watu waliohusika kumchukua Ali Kibao
  7. Scene 7:Jumamosi September 7 saa 1:usiku kada wa Chadema Boni Yai aandamana na ndugu kutambua ule mwili uliookotwa。asubuhi Ununio ndipo ukagundulika ni wa Mzee Kibao TANZIA - Dar: Ali Mohamed Kibao, kiongozi wa CHADEMA auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
  8. Scene 8:Jumapili September 8, Jeshi la polisi latoa taarifa ya tukio Polisi yasikitishwa na kifo cha kada wa CHADEMA, Ali Kibao. Latoa wito kwa mwenye taarifa za kweli na uhakika awasilishe kwa mujibu wa taratibu hapa naomba niwakumbushe polisi walioukota mwili Jumamosi asubuhi, wakati JJ Mnyika anaongea kwenye press conference yake,mwili tayari uko M/Nyamala,wakati PT wanatoa taarifa kupokea taarifa ya Chadema kuwa watafanya uchunguzi wa tukio hilo,mwili tayari walikuwa nao!
  9. Scene 9 Jumapili September 8, CinC ,Rais Samia aamuru uchunguzi wa kina na wa haraka Rais Samia aagiza Vyombo vya Uchunguzi kumpa taarifa ya kina ya Kifo cha Ali Mohamed Kibao
Hizi time line huwa zinafanyiwa kazi kabla ya taarifa, sema mambo huwa yanakuwa mengi, pressure za nje taarifa inabidi itolewe tu.

Wale walio wahi kufanya kazi za uchunguzi polisi wanaweza kuelewa nasema nini.

Zamani tulikuwa tunawaita Investigation Bureu, pale ghorofa ya 7 makao makuu ya zamani, kwa sasa Dodoma sijui wanajiitaje.

Ni ngumu kupanga kuongea vitu vya kuunga unga, ukweli upo lakini hautoki. Serikali ngumu sana.
 
Nimeona watu wanashangaa polisi kuja na taarifa za mtu aliedhaniwa katekwa kuwa kafa kwenye ajali ....siko hapa kuwatetea polisi ..wala kushutumu lakini ningependa kuongea Kwa uzoefu wangu ...kuhusu polisi Tanzania...

Niliwahi kuwa na kesi ya mtu alienitapeli ...polisi Chango"mbe nikapewa Askari wa upepelezi tukawa tunamtafuta Kwa karibu miezi miwili...now wakati tunamtafuta huyo mtu tulishirikisha hadi kitengo cha cyber. Askari hao niliopewa kupitia"connection ya mtu powerful "kwahiyo sikuwa na wasiwasi na kuwa labda hawana nia au wamehongwa...walikuwa serious kazin....sasa cha kuchekesha ni kuwa Kwa kipindi ambacho "mtuhumiwa wetu" tunamtafuta...huyo mtuhumiwa akaenda Fanya matukio mengine ya kitapeli akakamatwa polisi Magomeni...akaachiwa...huku Sisi bado "tunamtafuta"..na mtuhumiwa baadae akaenda kumshitaki mtu mwingine polisi Kilwa road waliotapeliana...huku Sisi tunamtafuta...baadae kabisa akafanya tukio lingine akakamatwa polisi Oysterbay ndo tukaja kupata taarifa.

Kichekesho kingine ni jinsi polisi walivyokuwa wanachukulia hayo matukio kama tofauti na yanajitegemea na sio Ku combine matukio na kufungua kesi moja with strong evidence...na jinsi kila kituo kinamgombea mtuhumiwa....baadae nikaja gundua structure ya polisi ya ni ya kizamani Sana ...na Sheria zinaunda jeshi la polisi za kizamani sana....Kwa ufupi mahitaji ya kuwa na chombo cha Ku deal na organised crime ya mwaka 2024 yako tofauti kabisa na muundo wa jeshi la polisi....lilivyo sasa...

So sometimes tunawauliza polisi maswali na lawama nyingi wakati kiukweli hili jeshi la polisi Lina operate kama Tanzania bado uko miaka ya sabini tunawapa lawama nyingi sana bila kukaa chini na kuangalia namna ya kuwa na chombo vya mahitaji ya sasa na Sheria za sasa dunia inabadilika sana.

Leo ukiibiwa simu ndani ya mwendokasi..taratibu inasema uende polisi pale ulipopandia mwendokasi...yaani kama umepanda mwendokasi kimara ukaibiwa simu labda Magomeni itabidi urudi kimara kuandika jalada wakati pengine mwizi kateremkia posta...huu ni mfano Tu wa dunia inavyo kwenda na polisi walivyo baki kizamani.​

Jeshi la polisi linahitaji overhaul kabisa
HATUNA POLICE NCHI HII ILA WAUAJI NA WEZI WAKUBWA. KAMA MLIONA WALE WALIOTUHUMIWA KUTAKA KUMTEKA YULE TARIMO KULE KIBAHA, HAKUNA HATA MMOJA ALIYEFANANA NA WALIOKUWA KWENYE ILE VIDEO, WAMEWACHUKUA WATU WA MITAANI HALAFU BAADAYE WATAWAACHIA. WAHUNI HAO POLICE NA MAHAKAMA INAANGALIA TU.
 
This is a straight forward "Black and White" type of issue. Where do "notions" come from?
I am not the one making the accusations, the main viewpoint of the police conduct derive from post one.

That is to say I can’t justify nor disagree with the member’s accusation, why force people to make decisions on matters they can’t defend.
 
I am not the one making the accusations, the main viewpoint of the police conduct derive from post one.

That is to say I can’t justify nor disagree with the member’s accusation, why force people to make decisions on matters they can’t defend.
No one is "forcing" anybody about anything!
What does the word "agree" mean to you?
 
Leo ukiibiwa simu ndani ya mwendokasi..taratibu inasema uende polisi pale ulipopandia mwendokasi...yaani kama umepanda mwendokasi kimara ukaibiwa simu labda Magomeni itabidi urudi kimara kuandika jalada wakati pengine mwizi kateremkia posta...huu ni mfano Tu wa dunia inavyo kwenda na polisi walivyo baki kizamani.
Hii inashangaza sana. Yaani ukienda kufungua jalada mahali kwingine ni kama vile hilo haliwahusu.
Kama uliibiwa ukiwa safarini, urudi huko huko ukafungue kesi. Polisi wa nchi hii sijui wameshajichokea na kesi za wananchi au wamechoka kazi?

Hata kuhusu tukio la aliyepata ajali na kisha wasamaria kumpeleka hospitali; ina maana hiyo ajali haikukaguliwa na polisi wa usalama barabarani? Hiyo pikipiki plate namba zilipotea? Huenda ingesaidia kumjua mmiliki na hatmaye kupata taarifa za majeruhi.
 
Kaazi kweli kweli

Ina maana nchi imepoteza billions of TZ shillings za walipa kodi kutengeneza data base ya kusaka wahalifu.

Halafu kazi bure, mtuhumiwa mradi ana connection zake ndani ya jeshi la polisi akamatiki.

Maswali ni mengi ni vipi Jerry Slaa alitolewa wizara ya ardhi.
Nchi ya kitu kidogo hii. Kama tajiri na muwekezaji mkubwa aliwahi lalamika kuwa mahakama zinafanya kazi kwa maelekezo ya simu toka juu. Unadhani jeshi la polisi linaponaje
 
What does the phrase ‘I can’t conclude’ mean to you?
No. Let's deal with one step at a time, sequentially.
"I agree" came first, so let's deal with that, then we can move forward to where you want to have answers on "phrases".
 
No. Let's deal with one step at a time, sequentially.
"I agree" came first, so let's deal with that, then we can move forward to where you want to have answers on "phrases".
Steps start with the perspective (viewpoint) presented by post number one (based on his experience). Your demands have no merits rather forceful asking contributors to pick a side.

Even when they tell you, they can’t justify their position without evidence, but can only agree by implying based on general accusations of the police force.

You can’t conclude on things you have no evidence (hearsay is not evidence nor is one sided accusations) that’s not how knowledge works.
 
Nimeona watu wanashangaa polisi kuja na taarifa za mtu aliedhaniwa katekwa kuwa kafa kwenye ajali ....siko hapa kuwatetea polisi ..wala kushutumu lakini ningependa kuongea Kwa uzoefu wangu ...kuhusu polisi Tanzania...

Niliwahi kuwa na kesi ya mtu alienitapeli ...polisi Chango"mbe nikapewa Askari wa upepelezi tukawa tunamtafuta Kwa karibu miezi miwili...now wakati tunamtafuta huyo mtu tulishirikisha hadi kitengo cha cyber. Askari hao niliopewa kupitia"connection ya mtu powerful "kwahiyo sikuwa na wasiwasi na kuwa labda hawana nia au wamehongwa...walikuwa serious kazin....sasa cha kuchekesha ni kuwa Kwa kipindi ambacho "mtuhumiwa wetu" tunamtafuta...huyo mtuhumiwa akaenda Fanya matukio mengine ya kitapeli akakamatwa polisi Magomeni...akaachiwa...huku Sisi bado "tunamtafuta"..na mtuhumiwa baadae akaenda kumshitaki mtu mwingine polisi Kilwa road waliotapeliana...huku Sisi tunamtafuta...baadae kabisa akafanya tukio lingine akakamatwa polisi Oysterbay ndo tukaja kupata taarifa.

Kichekesho kingine ni jinsi polisi walivyokuwa wanachukulia hayo matukio kama tofauti na yanajitegemea na sio Ku combine matukio na kufungua kesi moja with strong evidence...na jinsi kila kituo kinamgombea mtuhumiwa....baadae nikaja gundua structure ya polisi ya ni ya kizamani Sana ...na Sheria zinaunda jeshi la polisi za kizamani sana....Kwa ufupi mahitaji ya kuwa na chombo cha Ku deal na organised crime ya mwaka 2024 yako tofauti kabisa na muundo wa jeshi la polisi....lilivyo sasa...

So sometimes tunawauliza polisi maswali na lawama nyingi wakati kiukweli hili jeshi la polisi Lina operate kama Tanzania bado uko miaka ya sabini tunawapa lawama nyingi sana bila kukaa chini na kuangalia namna ya kuwa na chombo vya mahitaji ya sasa na Sheria za sasa dunia inabadilika sana.

Leo ukiibiwa simu ndani ya mwendokasi..taratibu inasema uende polisi pale ulipopandia mwendokasi...yaani kama umepanda mwendokasi kimara ukaibiwa simu labda Magomeni itabidi urudi kimara kuandika jalada wakati pengine mwizi kateremkia posta...huu ni mfano Tu wa dunia inavyo kwenda na polisi walivyo baki kizamani.​

Jeshi la polisi linahitaji overhaul kabisa
Ccm wanapenda libaki hivi hivi,
 
Nimeona watu wanashangaa polisi kuja na taarifa za mtu aliedhaniwa katekwa kuwa kafa kwenye ajali ....siko hapa kuwatetea polisi ..wala kushutumu lakini ningependa kuongea Kwa uzoefu wangu ...kuhusu polisi Tanzania...

Niliwahi kuwa na kesi ya mtu alienitapeli ...polisi Chango"mbe nikapewa Askari wa upepelezi tukawa tunamtafuta Kwa karibu miezi miwili...now wakati tunamtafuta huyo mtu tulishirikisha hadi kitengo cha cyber. Askari hao niliopewa kupitia"connection ya mtu powerful "kwahiyo sikuwa na wasiwasi na kuwa labda hawana nia au wamehongwa...walikuwa serious kazin....sasa cha kuchekesha ni kuwa Kwa kipindi ambacho "mtuhumiwa wetu" tunamtafuta...huyo mtuhumiwa akaenda Fanya matukio mengine ya kitapeli akakamatwa polisi Magomeni...akaachiwa...huku Sisi bado "tunamtafuta"..na mtuhumiwa baadae akaenda kumshitaki mtu mwingine polisi Kilwa road waliotapeliana...huku Sisi tunamtafuta...baadae kabisa akafanya tukio lingine akakamatwa polisi Oysterbay ndo tukaja kupata taarifa.

Kichekesho kingine ni jinsi polisi walivyokuwa wanachukulia hayo matukio kama tofauti na yanajitegemea na sio Ku combine matukio na kufungua kesi moja with strong evidence...na jinsi kila kituo kinamgombea mtuhumiwa....baadae nikaja gundua structure ya polisi ya ni ya kizamani Sana ...na Sheria zinaunda jeshi la polisi za kizamani sana....Kwa ufupi mahitaji ya kuwa na chombo cha Ku deal na organised crime ya mwaka 2024 yako tofauti kabisa na muundo wa jeshi la polisi....lilivyo sasa...

So sometimes tunawauliza polisi maswali na lawama nyingi wakati kiukweli hili jeshi la polisi Lina operate kama Tanzania bado uko miaka ya sabini tunawapa lawama nyingi sana bila kukaa chini na kuangalia namna ya kuwa na chombo vya mahitaji ya sasa na Sheria za sasa dunia inabadilika sana.

Leo ukiibiwa simu ndani ya mwendokasi..taratibu inasema uende polisi pale ulipopandia mwendokasi...yaani kama umepanda mwendokasi kimara ukaibiwa simu labda Magomeni itabidi urudi kimara kuandika jalada wakati pengine mwizi kateremkia posta...huu ni mfano Tu wa dunia inavyo kwenda na polisi walivyo baki kizamani.​

Jeshi la polisi linahitaji overhaul kabisa
Ndiyo mimi nashangaa kwa maana watu hawajui polisi au kujichetua akili police siku zote wapo kimaslahi sana hao watu wanaowalaumu polisi wanaishi nchi gani? Ukiwajua na kuwafahamu polisi wala haileti shida kuumiza kichwa aisee
 
Solution ni ku-digitalise mfumo, kila data iingizwe kwenye mfumo isomeke nchi nzima. Kama details za huyo aliyekutapeli zingekuwa kwenye mfumo wa taarifa za jinai za kidigiti za polisi, data ikiingizwa kituo cha polisi kilwa, inatakiwa ipige alarm pale kituo cha polisi Magomeni kuonyesha kwamba the suspect amekuwa located kilwa. Pia isomane na vituo vya uhamiaji, akiwa anafanya michakato ya kuvuka boda, afisa uhamiaji akiwa ana-process, jina likiingia tu katika mfumo, alarm ilie ili afisa huyo afanyie clearance za alarm husika. Isomane na magereza, Mahakama....

Isomane na mochwari kwamba ukiingia mwili wa mtu aliyekufa pasipo kujulikana, cha kwanza police na Hospitali wachukue DNA ya mtu huyo, iingie kwenye mfumo, ili akija ndugu au mtu kumtafuta ndugu, mtu huyo aliyekuha kutafuta nduguye atoe DNA, ikifanana na ya marehemu, basi mfumo nchi nzima unaweza kusema labda yuko mochwari mbeya, Nkasi, au Buzebazeba kutokana na DNA data iliyojazwa.

Hii itapunguza kutafutana manually katika mochwari coz mwananchi hawezi kutembelea mochwari za nchi nzima. Hata akifanikiwa, atatoka na ugonjwa mwingine kutokana na kuangalia watu waliokufa nchi nzima

Once I heard kwamba kuna utaratibu wa kutengeneza Database ya taifa zima ya DNA unafanywa na ofisi ya mkemia mkuu wa serikali. Matukio kama ya ghorofa la kariakoo, DNA ingetosha kufanya utambuzi. Matukio ya watu kuungua na moto mpaka kufa, majivu au mabaki yakiingia katika DNA database, wanatambulika

There is a need to create a digital cobweb ya jinai, na taasisi zote zinazo process jinai.

Suala la kuibiwa simu liwe reported anywhere, tena online, kama mtu ana IMEI number, imsome mwizi alipo pa po hapo bila kusubiri issue za watu wa Cyber, na mfumo uwe unaampa taarifa aliyeibiwa timely, papo hapo.

Therefore, there us a need to establish a sophisticated department of IT at the Police Force
Una wazo zuri ila kibongobongo kama haligusi wanasaiasa litafanyika, ila kama linagusa vyeo vya watu, litapigwa danadana sana.

Na kweli jeshi linaendeshwa kizamani mno.
 
Back
Top Bottom