Kwa mimi nisiyejua utendaji wa Polisi hapo nilichoona mtandao wa mawasiliano kwenye vituo vya Polisi hakuna.
(Sijui Radio call ni za kazi gani tena)
1.Kungekuwa na mawasiliano vituo vyote polisi pale mtuhumiwa ameripotiwa kituo kimoja cha Polisi vituo vyote vingepewa taarifa kwamba kuna mtuhumiwa fulani mwenye jina fulani kama ataripotiwa kituo kingine akamatwe.
2.Polisi ingeshirikisha jamii kwa kutoa taarifa kwenye vyombo vya habari au magazeti juu ya Polisi mtuhumiwa wa uharifu kwamba ko kote atakapoonekana watu watoe taarifa kituo cho chote polisi ili iwe rahisi kumkamata.
Nawaza hivyo kwa jiji kama Dar,mtu anaweza kufanya uharifu Temeke akakimbilia Tegeta! Hata Polisi wangekuwa na makachero kiasi inaweza ikachukua muda kumkamata muharifu.
(Sijui Radio call ni za kazi gani tena)
1.Kungekuwa na mawasiliano vituo vyote polisi pale mtuhumiwa ameripotiwa kituo kimoja cha Polisi vituo vyote vingepewa taarifa kwamba kuna mtuhumiwa fulani mwenye jina fulani kama ataripotiwa kituo kingine akamatwe.
2.Polisi ingeshirikisha jamii kwa kutoa taarifa kwenye vyombo vya habari au magazeti juu ya Polisi mtuhumiwa wa uharifu kwamba ko kote atakapoonekana watu watoe taarifa kituo cho chote polisi ili iwe rahisi kumkamata.
Nawaza hivyo kwa jiji kama Dar,mtu anaweza kufanya uharifu Temeke akakimbilia Tegeta! Hata Polisi wangekuwa na makachero kiasi inaweza ikachukua muda kumkamata muharifu.