Ukiwajua wanawake, ni watu poa sana

Una umri gani mkuu?
 
Vijana msipobadilika tutawatombea sana
 
Hata wenzako walikuwa walimu kama wewe, lakini waliishia kupigwa na vitu vizito utosini.
Ni suala la muda tu, utapigwa tukio.
Jijali mwenyewe,
Jali Mungu&wazazi wako.
Ukiweza saidia ndg pia... wanawake mwachie shetani.
 
Kilio chako kipo karibu kaa ivo ivo unyooshwe alafu uje badae kutupa mrejesho baada wa
 
Kisoka tunasema hapa ni HALF TIME na umelewa na matokeo.

Usisite kutupa mrejesho after FT na usikimbie waandishi wa habari.
Waarfica ni wagum kujifunza vitu vipya, vitakavyorahisisha maisha yetu.

Mazoea tumeyarasmisha kua mfumo kamili wa maisha yetu
 
Unaanzaje kujua viumbe visivyojijua vyenyewe.

Mtu ananyoa nyusi zote halafu anachora nyingine na wanja. Wao wenyewe hawajui wanataka nini.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Waarfica ni wagum kujifunza vitu vipya, vitakavyorahisisha maisha yetu.

Mazoea tumeyarasmisha kua mfumo kamili wa maisha yetu

Hayanaga mwongozo hayo mkuu.

Kama alowaumba katuasa tuishi nao kwa akili (TIMING) wewe nan ujikute unawamudu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…