Nimekuelewa sana mkuu,kama sheria haiwalindi hawa fixed depositors ukiachana na wale savers wa kawaida basi ni shida,bora nikanunue government bonds tu kwani nadhani Serikali haifilisikagi,labda wale wazungu wa Meli wagiriki tu ndio waliozinguaga duniani kwa kufilisika
Ndo hvo mkuu...jamaa alikua anaongelea 1% ya wa tz......1.5m ni take home ya watu weng sanaaaa..na tunapishana kidimbwi kama kawaida..Hahahah jamaa ana vimba bana! Huko kuishi standard life zipo familia zinaishi hivyo kiukweli ila rate ni kama 1% ya watu wote nchini! Naijua familia moja ya jamaa na mkewe mchizi ni senior MDH na mkewe yuko PEPFAR ni senior!
Budget zao ni kama ifuatavyo:
-Watoto wawili ada ni 18M kwa mwaka!
-Utilities pamoja na chakula ni 4M kwa mwezi mafuta yakula yanaagizwa USA, viungo Zanzibar, Samaki Mwanza, Kuku na matunda Tanga! Vyote ni fresh yani.
-Dereva wakupeleka watoto shule na kuwarudisha home na ractis ya watoto.
-Mama Prado baba Harrier tako la Nyani full tank mda wote!
-Mapumziko ya mwisho wa mwaka watoto hupelekwa Disney land!
-Mshahara mama anakunja 7M ila michezo anayocheza kwa mwezi anaingiza kati ya 9-12M nje ya salary!
-Jamaa nae 10M na michezo mibaya inahusika.
Sasa je ni wangapi wenye hii bahati hapa nchini nje ya wafanya biashara wakubwa? Ajira za BOT zimetoka ila watu watavunja hata nazi waingiemo mle! Nina hakika mshahara kwa wengi hautafika 3M ila its alot kwa level zetu za kimaskini mkuu! Kumbuka unapata na benefits nyingine nje ya mshahara huo maybe house allowance,transport, bima nakadhalika.
Kwa 2.8M take home gari unaendesha+Maintance na nyumbani watoto wanaenda msalani bila tatizo ukiwa na mke mwenye akili na savings unafanya kabisa au unachukua loan unajenga kabisa!
Kidimbwi kama kawa hio hela nyingi sana sielewi mtu anakula tani ngapi za kumaliza 1.5mNdo hvo mkuu...jamaa alikua anaongelea 1% ya wa tz......1.5m ni take home ya watu weng sanaaaa..na tunapishana kidimbwi kama kawaida..
ok sasa ngoja nitulie nije na udadavuzi wa kuwaongezea watu hamu na hamasa za kuwekeza yaani nilichokieleza nikiongezee figure kidogo nilishe ubongo wanguHata mabenki ya Tanzania yanakubali kuweka Bond kama dhamana ya kuchukulia mkopo.
Usisahau suala la inflation.Kumbe nikiwa na 200M naweza kula bata bila kufanya kazi mpaka nakufa ngoja nikaitafute [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mtu mwenye 200M ya kuwekeza lazima atakuwa na nyumba yake.Sure Mkuu 1.5m kwa mwezi labda uwe unaishi kisela,waulize wanaolipwa labda mili 3 au nne kwa mwezi....Kama kipato chako ni laki 3 au nne kwa mwezi utaona 1.5m ni nyingi sana.
-Kodi ya nyumba
-Ada ya watoto efemu akademia
-Chakula
-Utilities bills
-Transport/Usafiri
-Support kwa extended family.
-Vocha/Bundles
Kama kuishi kwa kujibana basi hata laki kwa mwezi inatosha kwa matumizi maana utakuwa unakunywa uji na usiku ugali na tembele chukuchuku,watoto wanasoma kayumba.
Ukiona benki inatoa interest rate kubwa kwenye fixed deposits ujue kuna moto hapo.. wana struggle na liquidity. So sishauri sanaTena inawezekana benki ya posta ikaongezeka kwani nasikia wanatoa interest rate ya 13% per annum, ngoja nifuatilie zaidi nimshauri mstaafu fulani hivi akawekeze huko.
Not at that extentUsisahau suala la inflation.
Hiyo 200M ya sasa miaka 20 iliopita ilikuwa sawa na 400M na miaka 20 ijayo itakuwa sawa na 100M.
Ukifa miaka 30 ijayo unaweza ukawa umeacha 200M yenye thamani sawa na 70M.
Best commentSasa tupieni michongo ya kuipata iyo Mil 200.
Kwa 20yr unapewa 15% yield.Hii ya bonds ni nzuri Ila inflation
Inaweza ikaathiri value ya hela
Na kama m-sure hajaacha urithi wa "pen wala fen" inakuwaje hapo? πππNyingine ni urithi baada ya msure ku RIP
Mkuu tupe somo basi kidogo.20 yrs Treasury bonds at 15% Yield unapata 2.5M kila mwezi.
This is a better option.
Kidimbwi kama kawa hio hela nyingi sana sielewi mtu anakula tani ngapi za kumaliza 1.5m
Kuna nyuzi nyingi humu wanazielezea.Mkuu tupe somo basi kidogo.
Kwenye hiyo 1.5M mpe mkeo 400K ya matumizi home.Pesa ya kula kwa familia:-
1. Unga 1000 kilo moja
2.Mchele kilo moja 2500
3.Nazi moja 1500
4.Maji ya kunywa elfu 2000
5.Maji ya kupikia kwa siku dumu 10 = 2000
6.Mkaa vikopo viwili = 2000
7.Nyama kilo elfu 7
8.Sato/sangara kilo 11,000/8,000/=
9.Mafuta ya kupikia buku vibaba viwili......1000/=
10.mafuta ya taa nusu lita 1400/=
11.Sabuni ya kuogea Rungu 500/=
12.Sabuni ya kufulia Toffy 1000/=
13.Umeme kwa siku 2000/=
14.Nyanya 1000/=
15. Vitunguu 500/=
16.Karoti 2 @ 500/=
17.Hoho2 @ 500/=
18.Fungu la mboga 500/=
19.Maharage nusu 1500/=
20.Vocha ya bandle....... 2000
Mkuu NAOMBA nielekeze kununua Bond za BOT tafadhali.Bora kununua Bond za BOT unapata milioni mbili laki saba kila mwezi na pesa yako iko palepale na haikatwi kodi yoyote.
Kwenye hiyo 1.5M mpe mkeo 400K ya matumizi home.
Utaona maajabu.
Na hela ya kikoba ataipata humohumo.
Kuna watu wamepata bahati wameoa wanawake wenye akili. Ana mshahara wa 500K ila home kuna sawazika.
So ukitoa iyo 3% unabakia na 12% ndo real profit, Ila banaKwa 20yr unapewa 15% yield.
Inflation rate ya Tz mwaka 2020 according to BOT ni 3%.
Kwenye hiyo 1.5M mpe mkeo 400K ya matumizi home.
Utaona maajabu.
Na hela ya kikoba ataipata humohumo.
Kuna watu wamepata bahati wameoa wanawake wenye akili. Ana mshahara wa 500K ila home kuna sawazika.