Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 14,834
- 32,522
[emoji23][emoji23][emoji23]Sasa tupieni michongo ya kuipata iyo Mil 200.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]Sasa tupieni michongo ya kuipata iyo Mil 200.
Government bonds nazo vepee mkuu zinaangukiaga pua???Kwa knowledge ndogo ya bankruptcy accounts, savers wa kawaida na Fixed Deposits wote wanaangukia pamoja wanakuwa kwenye kundi la umewakopesha benki bila dhamana.
Kwa hiyo statutory deductions, workman compensations, mortgaged loans, nk zinatangulia kwanza.
Government bonds nazo vepee mkuu zinaangukiaga pua???
Aminia mkuu,shukrani mnooHizo ni sure deals, changamoto ni kuzipata sasa.
Maana inatumika style ya bidding.
Wale waliokuwa wanauliza interest inayolipwa na benki kwa fixed deposit account. Niliongea na mmoja aliniambia wastani wa malipo ni kama hivyo ilivyo.
Hii inawafaa wasioweza kuzungusha pesa kwa njia ya biashara. Una uhakika wa kula kila mwezi na pesa yako
Yeah nazijua zote thou naona ni za miaka mingi sana. Tumegemee experience yako kwa uchache tu.Kuna nyuzi nyingi humu wanazielezea.
nimerudi sasa!Hii inalipa sijui nchi yetu lakini kwingine inawezekana ukatumia hizo Bond kukopa mpaka 80% kwa benki nyingine kwa miaka mitano ambayo sawa na 160,000,000/- sawa na marejesho ya 2.6 kwa mwezi ukajenga nyumba mbili zenye uwezo wa kukulipa 1,200,000/- zikaweza kulipa riba na kubaki na kiasi kidogo huku ukiwa umeongeza thamani ya fedha yako.
hili ni kama benki zinaweza kukubali kuchukua bond kama security ya mkopo. Ukimaliza nyumba chukua nyumba moja iwe dhamana ya mkopo mwingine wa kutafuta mradi mwingine hata kama ni duka la jumla na maisha yanaenda.
| 3,818,916.19 |
Vipi kwa secondary market?Hizo ni sure deals, changamoto ni kuzipata sasa.
Maana inatumika style ya bidding.
Vipi kwa secondary market?
Hapo ongezea Kama una gari tenga laki 2 kila mwezi,bado mavazi haujaenda kuzungusha round baa .Pesa ya kula kwa familia:-
1. Unga 1000 kilo moja
2.Mchele kilo moja 2500
3.Nazi moja 1500
4.Maji ya kunywa elfu 2000
5.Maji ya kutumia kwa siku dumu 10 = 2000
6.Mkaa vikopo viwili = 2000
7.Nyama kilo elfu 7
8.Sato/sangara kilo 11,000/8,000/=
9.Mafuta ya kupikia buku vibaba viwili......1000/=
10.mafuta ya taa nusu lita 1400/=
11.Sabuni ya kuogea Rungu 500/=
12.Sabuni ya kufulia Toffy 1000/=
13.Umeme kwa siku 2000/=
14.Nyanya 1000/=
15. Vitunguu 500/=
16.Karoti 2 @ 500/=
17.Hoho2 @ 500/=
18.Fungu la mboga 500/=
19.Maharage nusu 1500/=
20.Vocha ya bandle....... 2000
Option nyingine ni kuwekeza kwenye real estate. Ukipata kiwanja location inayoeleweka unaweka. Kwa milioni 200 unasimamisha apartments za kueleweka. Hata kwa US$500 kwa mwezi kama ziko 5 utaiona faida.
1.5m kwa matumizi ya mwezi mzima labda uwe unaishi kisela bila familia na usiwe mtu wa bata sana.
Punguza dharau
Sehem inayoeleweka yenye kupangishika ya kuweka hzo apartments kadhaa huwez pata kwa mtaj huo wa 200m.....sehem inayoeleweka square metres price znaanzia Tsh 30,000...kwa maana kiwanja cha sqm 1000 ni 30m...sasa kwa apartments utaweka ngap?...kiwanja tu hyo hela unaikata nusu nzima..kama unataka kiwanja kikubwa.
Sky 200M inaweza kujenga apartment 5? sehemu zinazoeleweka?Option nyingine ni kuwekeza kwenye real estate. Ukipata kiwanja location inayoeleweka unaweka. Kwa milioni 200 unasimamisha apartments za kueleweka. Hata kwa US$500 kwa mwezi kama ziko 5 utaiona faida.
Hata mimi nimeshangaa Kumbe Sky anatulisha kambaKiwanja cha 30M upate apartment za kupangisha usd 500!? Unaota ndoto ya mchana[emoji23][emoji23][emoji23] maana hizo bei ni mikocheni mbezi msasani huko utapata kiwanja cha 30M?!
mahesabu ya makaratasi....Forever livingHuu uzi umevamiwa na wahasibu
stori za facebook huyu Sky EclatMama, Milioni 200 huwezi kujenga nyumba 20 zenye kukupa kodi ya $500 kwa mwezi.
Hapo assumption yake ni kwamba ulishakuwa na nyumba yako watoto walishasoma wanajitegemea umebakia wewe na wife . Ukiamka unasoma magazeti tuu.1.5m kwa matumizi ya mwezi mzima labda uwe unaishi kisela bila familia na usiwe mtu wa bata sana.