Mrs Besyige
JF-Expert Member
- Aug 27, 2019
- 1,040
- 2,923
huu uzi mbona kama kila ntu kafika J'berg!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo kona kama sio maeneo ya Esando basi ni huko Borgsburg na viunga vyake...Nipo hii kona hapa Mkuu, karibu.View attachment 2905259
Watangaze marshal law , vikosi viingie kuwanyoosha wahalifuViongozi wao wanawaendekeza, wafanye km El Salvador, nchi ilikuwa hatari duniani sasa hivi mambo yamwkuwa poa
Umeona wanatoa mikopo, ila bongo ungesikia mikopo umiza, bongo kila kitu ni hasi.Hiyo kona kama sio maeneo ya Esando basi ni huko Borgsburg na viunga vyake...
Nadhani unazungumzia experience ya kule ulikofika, kule ambako hujafika usidhani ni tambarare.Wewe kama ni hustler hapa Tanzania nenda joburg utajiona ni kama mjinga hivi ambaye ulikua unaigiza maisha Tanzania au unacheza
Real hustling ipo joburg mji unavurugu na ujambazi wa kutisha na mda huo huo unatakiwa utafute hela ule ni mji wa kiumeni ukiona mtu ametoboa joburg mheshimu
Juzi juzi hapa nilimtembelea rafiki yangu joburg aisee saa 1 tayari uko ndani ukiwa nje ni kwa your own risk bar tulizokua tunaenda ni zile zenye ulinzi mkali ukienda za kawaida uko una hatari kubwa sana ya kukabwa au kufanyiwa uhalifu, karibia wote kwenye ofisi yao kwa nyakati tofauti kila mmoja kashafanyiwa uhalifu wa kuibiwa waziwazi
sikuu sana ila kwa observation nilioifanya joburg ni mji wa kiumeni sana. Kwa Afrika nzima hakuna mji wa kiumeni kama joburg
Na hakuna aliyepigwa ngumi hapo!,kila mtu ame relax
Goma mtoto sana kwa Jo burg watu wanaokufa Jo burg kwa mwaka Goma haifatiAfrica nzima!!!![emoji15][emoji15]
Umewahi fika GOMA wewe?
Mi nilienda kwa mdingi pale mwanjelwa Airport.Hujawahi kufika Mbeya mafiat bro anayekukaba unamjua vizuri ukienda kumfuata akurudishie vitu vyako anakuambia sasa ulitaka nimkabe nani bro wakati najua braza ww Huwezi kuniua
Kabisa hakuna kitu kinashindikana, ANC wanawaendekeza tu, waunde task force uone km hapajatuliaWatangaze marshal law , vikosi viingie kuwanyoosha wahalifu
Tatizo la south ni corruption na unacountability ya kishenzi iliyojengwa na ANC aka ccm ya south Africa
Sent from my Nokia 6.2 using JamiiForums mobile app
S.A police wakiwa wachache hawawezi kufanya/kushuka kwenye gari katikati ya umati wa watu vichaa kama hao.Na hakuna aliyepigwa ngumi hapo!,kila mtu ame relax
Naongelea maisha kwa ujumla unafanisha hivyo vijiji huko mbeya na joburg tuweni seriousMi nilienda kwa mdingi pale mwanjelwa Airport.
Jioni nikawambia natoka kidogo hapo juu nikanywe soda kumbe bapa.
Wakaniambie huko hakufai saa hii nikaweka ubishi
Nje sioni watu kabisa,ilikua
sa tatu tu.
Nimegonga bapa langu narudi wazee wa nondo hawa hapa E bana walikuta na mi siko kinyoonge tulicheza kadanse mpaka wakatoka baru na nondo zao huku nawakimbiza na kelele za wezii weezii"
Badae na mi nikageuza toka baru hadi home.
Nafika home nahema mzee anauliza vp namwambia walitaka kuniua.
Akasema tulikwambia lakini usitoke usiku ukabisha
Hakuna sehemu nimesifia uhalifuUhalifu sio uanaume. Acheni kusifia uhalifu. Huo sio mji wa hustling ni mji wa uhalifu. Nilitegemea labda ungesema gharama za maisha ziko juu kama Luanda ndo ningekubali ni mji wa kiumeni. Huo ni mji uliojaa ushenzi.
Ile ni dunia nyingine
Kwamba clip au picha ndo inaweza elezea maisha ya mahaliDunia ya sasa habari bila picha au video clip sw na takataka Tu
Yeah mkuu ila Tanzania, mwanajeshi mmoja mpumbavu na katili anampiga ngumi ya kuua raia mmoja, watanzania wengi pale wote mikia yao wakaifwata na kuja kulalama humuS.A police wakiwa wachache hawawezi kufanya/kushuka kwenye gari kwenye umati wa watu vichaa kama hao.