Ukiweza kufanikiwa Joburg basi wewe ni Mpambananji na unatakiwa upewe maua yako

Ukiweza kufanikiwa Joburg basi wewe ni Mpambananji na unatakiwa upewe maua yako

Viongozi wao wanawaendekeza, wafanye km El Salvador, nchi ilikuwa hatari duniani sasa hivi mambo yamwkuwa poa
Watangaze marshal law , vikosi viingie kuwanyoosha wahalifu
Tatizo la south ni corruption na unacountability ya kishenzi iliyojengwa na ANC aka ccm ya south Africa

Sent from my Nokia 6.2 using JamiiForums mobile app
 
Wewe kama ni hustler hapa Tanzania nenda joburg utajiona ni kama mjinga hivi ambaye ulikua unaigiza maisha Tanzania au unacheza

Real hustling ipo joburg mji unavurugu na ujambazi wa kutisha na mda huo huo unatakiwa utafute hela ule ni mji wa kiumeni ukiona mtu ametoboa joburg mheshimu

Juzi juzi hapa nilimtembelea rafiki yangu joburg aisee saa 1 tayari uko ndani ukiwa nje ni kwa your own risk bar tulizokua tunaenda ni zile zenye ulinzi mkali ukienda za kawaida uko una hatari kubwa sana ya kukabwa au kufanyiwa uhalifu, karibia wote kwenye ofisi yao kwa nyakati tofauti kila mmoja kashafanyiwa uhalifu wa kuibiwa waziwazi

sikuu sana ila kwa observation nilioifanya joburg ni mji wa kiumeni sana. Kwa Afrika nzima hakuna mji wa kiumeni kama joburg
Nadhani unazungumzia experience ya kule ulikofika, kule ambako hujafika usidhani ni tambarare.
 
Hujawahi kufika Mbeya mafiat bro anayekukaba unamjua vizuri ukienda kumfuata akurudishie vitu vyako anakuambia sasa ulitaka nimkabe nani bro wakati najua braza ww Huwezi kuniua
Mi nilienda kwa mdingi pale mwanjelwa Airport.
Jioni nikawambia natoka kidogo hapo juu nikanywe soda kumbe bapa.
Wakaniambie huko hakufai saa hii nikaweka ubishi
Nje sioni watu kabisa,ilikua
sa tatu tu.
Nimegonga bapa langu narudi wazee wa nondo hawa hapa E bana walikuta na mi siko kinyoonge tulicheza kadanse mpaka wakatoka baru na nondo zao huku nawakimbiza na kelele za wezii weezii"
Badae na mi nikageuza toka baru hadi home.
Nafika home nahema mzee anauliza vp namwambia walitaka kuniua.
Akasema tulikwambia lakini usitoke usiku ukabisha
 
Mi nilienda kwa mdingi pale mwanjelwa Airport.
Jioni nikawambia natoka kidogo hapo juu nikanywe soda kumbe bapa.
Wakaniambie huko hakufai saa hii nikaweka ubishi
Nje sioni watu kabisa,ilikua
sa tatu tu.
Nimegonga bapa langu narudi wazee wa nondo hawa hapa E bana walikuta na mi siko kinyoonge tulicheza kadanse mpaka wakatoka baru na nondo zao huku nawakimbiza na kelele za wezii weezii"
Badae na mi nikageuza toka baru hadi home.
Nafika home nahema mzee anauliza vp namwambia walitaka kuniua.
Akasema tulikwambia lakini usitoke usiku ukabisha
Naongelea maisha kwa ujumla unafanisha hivyo vijiji huko mbeya na joburg tuweni serious
 
Uhalifu sio uanaume. Acheni kusifia uhalifu. Huo sio mji wa hustling ni mji wa uhalifu. Nilitegemea labda ungesema gharama za maisha ziko juu kama Luanda ndo ningekubali ni mji wa kiumeni. Huo ni mji uliojaa ushenzi.
Hakuna sehemu nimesifia uhalifu
Ni kama useme Tanzania ni maskini huwezi sema unasifia umaskin ni kweli ni maskini

Kuwa na gharama kubwa za maisha haimaanishi kuna hustling we umeshaona kuna mtu anaenda kutafuta maisha luanda

Sehemu yeyote ukiona group kubwa wanaenda kutafuta maisha ujue huko kuna hustling
 
9FF5B8DE-4549-4FE4-9682-6FE2C15A2983.jpeg


Hii nchi wangemuachia mzungu tu, weusi wanaiharibu tu nchi yao.
 
Back
Top Bottom