Ukiweza kufanikiwa Joburg basi wewe ni Mpambananji na unatakiwa upewe maua yako

Ukiweza kufanikiwa Joburg basi wewe ni Mpambananji na unatakiwa upewe maua yako

Tanzania watu wanaoshi kwemye comfort zone huo ndo ukweli ukitembea ndo utaelewa watu wako kwenye comfort zone

Ni kawaida Tanzania kupita na kukuta watu wapo kwenye vijiwe vya kahawa au shoe shine mda wa kazi wanabishania yanga na simba au mambo ya siasa, Tanzania mtu anaweza asiwe anafanya kazi na anapata mahitaji yote ya muhimu ya binadamu

Wewe kama ni hustler hapa Tanzania nenda joburg utajiona ni kama mjinga hivi ambaye ulikua unaigiza maisha Tanzania au unacheza

Real hustling ipo joburg mji unavurugu na ujambazi wa kutisha na mda huo huo unatakiwa utafute hela ule ni mji wa kiumeni ukiona mtu ametoboa joburg mheshimu

Juzi juzi hapa nilimtembelea rafiki yangu joburg aisee saa 1 tayari uko ndani ukiwa nje ni kwa your own risk bar tulizokua tunaenda ni zile zenye ulinzi mkali ukienda za kawaida uko una hatari kubwa sana ya kukabwa au kufanyiwa uhalifu, karibia wote kwenye ofisi yao kwa nyakati tofauti kila mmoja kashafanyiwa uhalifu wa kuibiwa waziwazi

Sikukaa sana ila kwa observation nilioifanya joburg ni mji wa kiumeni sana. Kwa Afrika nzima hakuna mji wa kiumeni kama joburg
Uhalifu ndio uanaume?
 
Sasa mji kuwa na vibaka ndio hustling?

Basi kama ndo hivyo chang'ombe ya Dodoma ni super street Duniani, ukitoboa chang'ombe huwez shindwa mtaa wowote hapa Duniani
Ndio hapo ushangae sasa eti uhalifu nao ni hustling. Kuna sehemu hazina fursa kabisa, Sasa mtu akitoboa kwenye miji hiyo sijui tuitaje!?
 
Mhh..hii sasa mbona hata sio sifa. Hii ni hatari.
Siwez kwenda ishi mahala kama huko. Maisha ninya kuyafurahia. Sio sifa kuhangaika au kutaabika kisa mkate wa siku. Ondoka katufute mahali penye utulivu , utafute life na pia u enjoy baada ya kupata chochote kitu.

Utafute kwa shida..utumie kwa shida...sasa ni maisha gani hayo kama sio ujinga
 
Uhalifu sio uanaume. Acheni kusifia uhalifu. Huo sio mji wa hustling ni mji wa uhalifu. Nilitegemea labda ungesema gharama za maisha ziko juu kama Luanda ndo ningekubali ni mji wa kiumeni. Huo ni mji uliojaa ushenzi.
Ndio umenena vyema . Gharama za maisha zinapokuwa juu, uhaba wa fursa uliotamalaki na bado mtu akapambana mpaka akatoboa Kwa njia za halali kabisa huo ndio uanaume.
 
Yani hapo dodoma ndio wahuni


Hebu tembeeni muone watu wahuni!

Joberg kifo ni kitu cha kawaida muda WOWOTE unarudisha kama
Mzee wa Joberg hapo ni jana usiku, tuambie hiki ni kituo cha Daladala katika Mall gani?

Ila soon nakuwa Bahi Dodoma, kwa hiyo kuwa Bahi sio kwamba mtu hawez fila Joberg au hapajui
PXL_20230921_204124102.jpg
PXL_20230921_204108375.jpg
PXL_20230921_202458521.NIGHT.jpg
 
Back
Top Bottom