Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Aiseee hujakaa sana na ushaconclude kwa Africa nzima.Sikukaa sana ila kwa observation nilioifanya joburg ni mji wa kiumeni sana. Kwa Afrika nzima hakuna mji wa kiumeni kama joburg
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aiseee hujakaa sana na ushaconclude kwa Africa nzima.Sikukaa sana ila kwa observation nilioifanya joburg ni mji wa kiumeni sana. Kwa Afrika nzima hakuna mji wa kiumeni kama joburg
hahahaaaaaaYeah mkuu ila Tanzania, mwanajeshi mmoja mpumbavu na katili anampiga ngumi ya kuua raia mmoja, watanzania wengi pale wote mikia yao wakaifwata na kuja kulalama humu
soma tena , utamwelewa jamaaSijaona hii ya kupiga ngumi raia au ni mfano tu?
Sawa sawa.soma tena , utamwelewa jamaa
Uhalifu ndio uanaume?Tanzania watu wanaoshi kwemye comfort zone huo ndo ukweli ukitembea ndo utaelewa watu wako kwenye comfort zone
Ni kawaida Tanzania kupita na kukuta watu wapo kwenye vijiwe vya kahawa au shoe shine mda wa kazi wanabishania yanga na simba au mambo ya siasa, Tanzania mtu anaweza asiwe anafanya kazi na anapata mahitaji yote ya muhimu ya binadamu
Wewe kama ni hustler hapa Tanzania nenda joburg utajiona ni kama mjinga hivi ambaye ulikua unaigiza maisha Tanzania au unacheza
Real hustling ipo joburg mji unavurugu na ujambazi wa kutisha na mda huo huo unatakiwa utafute hela ule ni mji wa kiumeni ukiona mtu ametoboa joburg mheshimu
Juzi juzi hapa nilimtembelea rafiki yangu joburg aisee saa 1 tayari uko ndani ukiwa nje ni kwa your own risk bar tulizokua tunaenda ni zile zenye ulinzi mkali ukienda za kawaida uko una hatari kubwa sana ya kukabwa au kufanyiwa uhalifu, karibia wote kwenye ofisi yao kwa nyakati tofauti kila mmoja kashafanyiwa uhalifu wa kuibiwa waziwazi
Sikukaa sana ila kwa observation nilioifanya joburg ni mji wa kiumeni sana. Kwa Afrika nzima hakuna mji wa kiumeni kama joburg
Watu wa jf tunafanana kitabia kwa asilimia kubwa ndio maana wote tupo apa[emoji16]huu uzi mbona kama kila ntu kafika J'berg!
Unauhakika gani kwamba huko kwingine sijatembelea au unanijuaAiseee hujakaa sana na ushaconclude kwa Africa nzima.
Kwenda joburg sio ujanja hata wewe unaweza kwenda huotaji visa ni passport tu tusiwe tunapenda kuona kama wengine wanajiona kwa kitu unachoweza kufanyaWatu wa jf tunafanana kitabia kwa asilimia kubwa ndio maana wote tupo apa[emoji16]
Uanaume ni pamoja na kusurvive kwenye mazingira magumu yakiwemo ya ualifuUhalifu ndio uanaume?
Ndio hapo ushangae sasa eti uhalifu nao ni hustling. Kuna sehemu hazina fursa kabisa, Sasa mtu akitoboa kwenye miji hiyo sijui tuitaje!?Sasa mji kuwa na vibaka ndio hustling?
Basi kama ndo hivyo chang'ombe ya Dodoma ni super street Duniani, ukitoboa chang'ombe huwez shindwa mtaa wowote hapa Duniani
Mkuu pande za wapi hapo Gugs?Mi niko zangu Biavo kibaridi na kimvua fulani leo.Karibuni guguletho, Amani ya kutosha huku!
Kwamba sijafika huko unakosifia mkuu au ww ndio unahadisiwa?....
Yale Yale ya mama yangu ni mpishi Bora kuliko wote duniani Kwa kuwa TU hujala Kwa wapishi wengine.Nadhani unazungumzia experience ya kule ulikofika, kule ambako hujafika usidhani ni tambarare.
Ndio umenena vyema . Gharama za maisha zinapokuwa juu, uhaba wa fursa uliotamalaki na bado mtu akapambana mpaka akatoboa Kwa njia za halali kabisa huo ndio uanaume.Uhalifu sio uanaume. Acheni kusifia uhalifu. Huo sio mji wa hustling ni mji wa uhalifu. Nilitegemea labda ungesema gharama za maisha ziko juu kama Luanda ndo ningekubali ni mji wa kiumeni. Huo ni mji uliojaa ushenzi.
Si kweli,johannesbugh na Durban ndiyo miji hatari south africa.Inasemekana Pietermaritzburg na Rustenburg ndio miji yenye uhalifu na hatari ya maisha kwa kiasi kikubwa huko South Africa
Kumbe tupo wengiMkuu pande za wapi hapo Gugs?Mi niko zangu Biavo kibaridi na kimvua fulani leo.
Mzee wa Joberg hapo ni jana usiku, tuambie hiki ni kituo cha Daladala katika Mall gani?Yani hapo dodoma ndio wahuni
Hebu tembeeni muone watu wahuni!
Joberg kifo ni kitu cha kawaida muda WOWOTE unarudisha kama
SawaKwenda joburg sio ujanja hata wewe unaweza kwenda huotaji visa ni passport tu tusiwe tunapenda kuona kama wengine wanajiona kwa kitu unachoweza kufanya
Vijana kaziniDunia ya sasa habari bila picha au video clip sw na takataka Tu