Ukiweza kufanikiwa Joburg basi wewe ni Mpambananji na unatakiwa upewe maua yako

Ukiweza kufanikiwa Joburg basi wewe ni Mpambananji na unatakiwa upewe maua yako

Tanzania watu wanaoshi kwemye comfort zone huo ndo ukweli ukitembea ndo utaelewa watu wako kwenye comfort zone

Ni kawaida Tanzania kupita na kukuta watu wapo kwenye vijiwe vya kahawa au shoe shine mda wa kazi wanabishania yanga na simba au mambo ya siasa, Tanzania mtu anaweza asiwe anafanya kazi na anapata mahitaji yote ya muhimu ya binadamu

Wewe kama ni hustler hapa Tanzania nenda joburg utajiona ni kama mjinga hivi ambaye ulikua unaigiza maisha Tanzania au unacheza

Real hustling ipo joburg mji unavurugu na ujambazi wa kutisha na mda huo huo unatakiwa utafute hela ule ni mji wa kiumeni ukiona mtu ametoboa joburg mheshimu

Juzi juzi hapa nilimtembelea rafiki yangu joburg aisee saa 1 tayari uko ndani ukiwa nje ni kwa your own risk bar tulizokua tunaenda ni zile zenye ulinzi mkali ukienda za kawaida uko una hatari kubwa sana ya kukabwa au kufanyiwa uhalifu, karibia wote kwenye ofisi yao kwa nyakati tofauti kila mmoja kashafanyiwa uhalifu wa kuibiwa waziwazi

Sikukaa sana ila kwa observation nilioifanya joburg ni mji wa kiumeni sana. Kwa Afrika nzima hakuna mji wa kiumeni kama joburg
kuishi kwenye mji ambao criminal rate ipo juu kunahusiana vipi na maisha ya tanzania?.

kwamba wanaoishi Joburg kwenye uhalifu mwingi wana maisha nafuu kuliko wanaoishi let say dar kwenye uhalifu hafifu?.

NB: inasemekana wahalifu wengi wa SA ni vijana wahamiaji kutoka mataifa mengine including tanzania.
 
kuishi kwenye mji ambao criminal rate ipo juu kunahusiana vipi mtu maisha ya tanzania?.

kwamba wanaoishi Joburg kwenye uhalifu mwingi wana maisha nafuu kuliko wanaoishi let say dar kwenye uhalifu hafifu?.

NB: inasemekana wahalifu wengi wa SA ni vijana wahamiaji kutoka mataifa mengine including tanzania.
Yaani unatafuta unapata halafu wahuni wanachukua . huiwezi hata kukaa sehemu za burudani. Ndio maisha ya kusifia haya!?
 
Naongelea maisha kwa ujumla unafanisha hivyo vijiji huko mbeya na joburg tuweni serious
Mi nakupa kwamba kupinda watu wamepinda kila mahali,hapo mbeya mafiat nenda ukaone .
We unaona South ulimwenguni wakati ni ujingani tu.
Mdogo wangu anayenifata alikua huko na alikua gangster.
Baada ya kuchomwa visu mara 4 ndo nikamrudisha bongo.
sa hii anasema bro bila wewe mi ni mfu.
We mambo ya South tumeenda 90s unaongelea leo unajiona mjaanja.
 
Mi nakupa kwamba kupinda watu wamepinda kila mahali,hapo mbeya mafiat nenda ukaone .
We unaona South ulimwenguni wakati ni ujingani tu.
Mdogo wangu anayenifata alikua huko na alikua gangster.
Baada ya kuchomwa visu mara 4 ndo nikamrudisha bongo.
sa hii anasema bro bila wewe mi ni mfu.
We mambo ya South tumeenda 90s unaongelea leo unajiona mjaanja.
Hakuna sehemu nimejisifia kwenda south kwenye uzi yaani nijisifie sehemu ambayo hauhitaji visa kwenda
We ni mshamba tu maswala ya mdogo wako yananihusu nini wewe mwenyewe hata sikujui
 
Mtu anasifia uhalifu. Smh

Katika majiji 10 dangerous duniani karibu yote yanatokea South America na bado watu wanatoboa huko, hao Jo'burg wachumba tu. Uhalifu sio jambo la kusifia nonetheless.

Mtu akitoboa popote pale muheshimu. Jo'burg kuna more opportunities kuliko Songea iliyotulia, so I'd give more props kwa mtu aliyetoboa Songe/bongo kuliko SA.
 
Mtu anasifia uhalifu. Smh

Katika majiji 10 dangerous duniani karibu yote yanatokea South America na bado watu wanatoboa huko, hao Jo'burg wachumba tu. Uhalifu sio jambo la kusifia nonetheless.

Mtu akitoboa popote pale muheshimu. Jo'burg kuna more opportunities kuliko Songea iliyotulia, so I'd give more props kwa mtu aliyetoboa Songe/bongo kuliko SA.
Hakuna sehemu nimesifia uhalifu ebu onyesha sehemu niliposifia uhalifu
 
Tanzania watu wanaoshi kwemye comfort zone huo ndo ukweli ukitembea ndo utaelewa watu wako kwenye comfort zone

Ni kawaida Tanzania kupita na kukuta watu wapo kwenye vijiwe vya kahawa au shoe shine mda wa kazi wanabishania yanga na simba au mambo ya siasa, Tanzania mtu anaweza asiwe anafanya kazi na anapata mahitaji yote ya muhimu ya binadamu

Wewe kama ni hustler hapa Tanzania nenda joburg utajiona ni kama mjinga hivi ambaye ulikua unaigiza maisha Tanzania au unacheza

Real hustling ipo joburg mji unavurugu na ujambazi wa kutisha na mda huo huo unatakiwa utafute hela ule ni mji wa kiumeni ukiona mtu ametoboa joburg mheshimu

Juzi juzi hapa nilimtembelea rafiki yangu joburg aisee saa 1 tayari uko ndani ukiwa nje ni kwa your own risk bar tulizokua tunaenda ni zile zenye ulinzi mkali ukienda za kawaida uko una hatari kubwa sana ya kukabwa au kufanyiwa uhalifu, karibia wote kwenye ofisi yao kwa nyakati tofauti kila mmoja kashafanyiwa uhalifu wa kuibiwa waziwazi

Sikukaa sana ila kwa observation nilioifanya joburg ni mji wa kiumeni sana. Kwa Afrika nzima hakuna mji wa kiumeni kama joburg
Mkuu umewahi kusikia sehem inaitwa Ituri, Bunia na Butembo,? au kule kwa yule mwamba Joseph Koni?
 
Back
Top Bottom