Ukiweza kufanikiwa Joburg basi wewe ni Mpambananji na unatakiwa upewe maua yako

Ukiweza kufanikiwa Joburg basi wewe ni Mpambananji na unatakiwa upewe maua yako

MzEe baba Unaiachaje delft hapo?? Nilikula visu zaidi ya saba sikufa mpaka leo naamini kama mungu hajapanga haufiii....sema capetown pabaya kama hauna hela baada ya kuhamia seapoint sijawahi kuona ujinga huo mpaka naondoka SA.
Delft hunipeleki hata kwa bunduki😀,, wanaokaa kule wengi wamepinda hata wabongo,, mahomboy kibao tushawapoteza kule,,, yani mpaka dukani pia ukitaka kwenda uende na dada yao kidogo watamuonea aibu dada yao, ila ukiwa peke yako wanakurukia mchana kweupe jua linawaka 😀
 
Ila wajozi wanaigwaya cape,, huku kuna walangilangi(hawana akili hata kidogo) anakuuwa mchana jua linawaka sio kwa sababu ya hela hapana, kisa mkubwa wake wa gang kampa order akuue yawezekana mlipishana ukampiga kikumbo tu basi,, sasa ingia nyanga, gugulethu, khayretsha huko kuna chafu za kikosa kuua mpaka rand mia kwa sasa maisha yalivyo magumu,, yani bora hata langa tena kidogo sana kwa lokshini za watu weusi kuliko huko nilikokutaja at least kuna sehemu kama una usafiri wako unaweza ukaishi,, kwa upande lokshini za walangilangi at list athlone baadhi ya maeneo,, kwa kifupi south nzima kuna uhalifu mpaka vijijini, nishatolewa kwaju umtata eastern cape..
Kwaju umtata😂
 
huu uzi mbona kama kila ntu kafika J'berg!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kabla ya comment yako hii.

Kuna yupo kazungumzia GOMA(DRC), mwingine Chang'ombe ya Dodoma, pia Mafiat ya Mbeya. Alaska, El Salvador.

Bila shaka hao hawajafika Joberg
 
Mi nakupa kwamba kupinda watu wamepinda kila mahali,hapo mbeya mafiat nenda ukaone .
We unaona South ulimwenguni wakati ni ujingani tu.
Mdogo wangu anayenifata alikua huko na alikua gangster.
Baada ya kuchomwa visu mara 4 ndo nikamrudisha bongo.
sa hii anasema bro bila wewe mi ni mfu.
We mambo ya South tumeenda 90s unaongelea leo unajiona mjaanja.
Mbeya hakuna kitu , unawazungumzia wapiga nondo? Nimekaa Mbeya kuko shwari sana, hapo mafiati nimekesha sana Mbeya Carnival sijawahi kuona vurugu zozote
 
Goma mtoto sana kwa Jo burg watu wanaokufa Jo burg kwa mwaka Goma haifati
Sas kufa watu mdo mji mzuri ama ni nn mbon huna point ya maan mtoa mada. Tupe point za msing kivp hio Jo burg unatoboa kilaisi kwmb inshu gan nyepes ukifany unatoboa na sio habr za kupigwa ndole
 
Ila wajozi wanaigwaya cape,, huku kuna walangilangi(hawana akili hata kidogo) anakuuwa mchana jua linawaka sio kwa sababu ya hela hapana, kisa mkubwa wake wa gang kampa order akuue yawezekana mlipishana ukampiga kikumbo tu basi,, sasa ingia nyanga, gugulethu, khayretsha huko kuna chafu za kikosa kuua mpaka rand mia kwa sasa maisha yalivyo magumu,, yani bora hata langa tena kidogo sana kwa lokshini za watu weusi kuliko huko nilikokutaja at least kuna sehemu kama una usafiri wako unaweza ukaishi,, kwa upande lokshini za walangilangi at list athlone baadhi ya maeneo,, kwa kifupi south nzima kuna uhalifu mpaka vijijini, nishatolewa kwaju umtata eastern cape..
Kuna ile lokshen usawa wa checkers hyper....ah ah ah ah ni hatari mtoto mdogo anakushikia machete
 
Delft hunipeleki hata kwa bunduki😀,, wanaokaa kule wengi wamepinda hata wabongo,, mahomboy kibao tushawapoteza kule,,, yani mpaka dukani pia ukitaka kwenda uende na dada yao kidogo watamuonea aibu dada yao, ila ukiwa peke yako wanakurukia mchana kweupe jua linawaka 😀
Jamaa anachokisema ni kweli sema kuna watu wanabisha tu...mtu aliefanikiwa SA kwa ujumla sio joburg tu..anauwezo wa kuishi sehem yoyote duniani na akafanikiwa...maisha ya SA ni ya upambanaji sana. Binafsi huwa sijilaumu kuzamia lile chaka japo ilikuwa ni utoto na utukutu wangu lakini nilijifunza mambo mengi sana kiufupi ilikuwa ni shule tosha na sijawahi kufeli maisha from then.
 
Back
Top Bottom