Nangu Nyau
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 5,015
- 14,139
Mkimaliza nitawakaribisha wanangu wa umangani Peshawar, Karachi, Kabul, Khost nk
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ain't got nothing you're grasp'n.I can't about a thing, if I don't know.
Umetisha 😂 Nikifanikiwa kujaribu nitakwambia.Muulize mwenyeji yeyote hapo ulipo "chakala na dombolo " ni nini au akuletee upate kujaribu.
Goma ni kuzimu!Africa nzima!!!!😳😳
Umewahi fika GOMA wewe?
Nilikaaga kiunga kimoja cha Jobegi kinaitwa 'Westonari' kwenye quarter za wafanyakazi wa migodi ya 'Kloof, Drierfountain, kruggersdop'. Palikuwa piece sanahuu uzi mbona kama kila ntu kafika J'berg!
Sawa,usipopata niambie nikukaribishe nikupikie mgeni.Umetisha 😂 Nikifanikiwa kujaribu nitakwambia.
mleta mada atujibu,kwamba kuishi kwenye mji ambao uhalifu upo juu ni sifa?.Yaani unatafuta unapata halafu wahuni wanachukua . huiwezi hata kukaa sehemu za burudani. Ndio maisha ya kusifia haya!?
Delft hunipeleki hata kwa bunduki😀,, wanaokaa kule wengi wamepinda hata wabongo,, mahomboy kibao tushawapoteza kule,,, yani mpaka dukani pia ukitaka kwenda uende na dada yao kidogo watamuonea aibu dada yao, ila ukiwa peke yako wanakurukia mchana kweupe jua linawaka 😀MzEe baba Unaiachaje delft hapo?? Nilikula visu zaidi ya saba sikufa mpaka leo naamini kama mungu hajapanga haufiii....sema capetown pabaya kama hauna hela baada ya kuhamia seapoint sijawahi kuona ujinga huo mpaka naondoka SA.
Kwaju umtata😂Ila wajozi wanaigwaya cape,, huku kuna walangilangi(hawana akili hata kidogo) anakuuwa mchana jua linawaka sio kwa sababu ya hela hapana, kisa mkubwa wake wa gang kampa order akuue yawezekana mlipishana ukampiga kikumbo tu basi,, sasa ingia nyanga, gugulethu, khayretsha huko kuna chafu za kikosa kuua mpaka rand mia kwa sasa maisha yalivyo magumu,, yani bora hata langa tena kidogo sana kwa lokshini za watu weusi kuliko huko nilikokutaja at least kuna sehemu kama una usafiri wako unaweza ukaishi,, kwa upande lokshini za walangilangi at list athlone baadhi ya maeneo,, kwa kifupi south nzima kuna uhalifu mpaka vijijini, nishatolewa kwaju umtata eastern cape..
Joburg ina gdp ya usd billion 130+ Tanzania ina gdp ya billion 80+point.
Maana tunashindwa tofautisha uhalifu na Hustling.
Na mm ngoja nije nieleze vingungutiNaongelea maisha kwa ujumla unafanisha hivyo vijiji huko mbeya na joburg tuweni serious
Joburg ina gdp ya usd billion 130+ Tanzania ina gdp ya billion 80+Na mm ngoja nije nieleze vingunguti
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]huu uzi mbona kama kila ntu kafika J'berg!
Mbeya hakuna kitu , unawazungumzia wapiga nondo? Nimekaa Mbeya kuko shwari sana, hapo mafiati nimekesha sana Mbeya Carnival sijawahi kuona vurugu zozoteMi nakupa kwamba kupinda watu wamepinda kila mahali,hapo mbeya mafiat nenda ukaone .
We unaona South ulimwenguni wakati ni ujingani tu.
Mdogo wangu anayenifata alikua huko na alikua gangster.
Baada ya kuchomwa visu mara 4 ndo nikamrudisha bongo.
sa hii anasema bro bila wewe mi ni mfu.
We mambo ya South tumeenda 90s unaongelea leo unajiona mjaanja.
Sas kufa watu mdo mji mzuri ama ni nn mbon huna point ya maan mtoa mada. Tupe point za msing kivp hio Jo burg unatoboa kilaisi kwmb inshu gan nyepes ukifany unatoboa na sio habr za kupigwa ndoleGoma mtoto sana kwa Jo burg watu wanaokufa Jo burg kwa mwaka Goma haifati
Kuna ile lokshen usawa wa checkers hyper....ah ah ah ah ni hatari mtoto mdogo anakushikia macheteIla wajozi wanaigwaya cape,, huku kuna walangilangi(hawana akili hata kidogo) anakuuwa mchana jua linawaka sio kwa sababu ya hela hapana, kisa mkubwa wake wa gang kampa order akuue yawezekana mlipishana ukampiga kikumbo tu basi,, sasa ingia nyanga, gugulethu, khayretsha huko kuna chafu za kikosa kuua mpaka rand mia kwa sasa maisha yalivyo magumu,, yani bora hata langa tena kidogo sana kwa lokshini za watu weusi kuliko huko nilikokutaja at least kuna sehemu kama una usafiri wako unaweza ukaishi,, kwa upande lokshini za walangilangi at list athlone baadhi ya maeneo,, kwa kifupi south nzima kuna uhalifu mpaka vijijini, nishatolewa kwaju umtata eastern cape..
Jamaa anachokisema ni kweli sema kuna watu wanabisha tu...mtu aliefanikiwa SA kwa ujumla sio joburg tu..anauwezo wa kuishi sehem yoyote duniani na akafanikiwa...maisha ya SA ni ya upambanaji sana. Binafsi huwa sijilaumu kuzamia lile chaka japo ilikuwa ni utoto na utukutu wangu lakini nilijifunza mambo mengi sana kiufupi ilikuwa ni shule tosha na sijawahi kufeli maisha from then.Delft hunipeleki hata kwa bunduki😀,, wanaokaa kule wengi wamepinda hata wabongo,, mahomboy kibao tushawapoteza kule,,, yani mpaka dukani pia ukitaka kwenda uende na dada yao kidogo watamuonea aibu dada yao, ila ukiwa peke yako wanakurukia mchana kweupe jua linawaka 😀
Unazungumzia fley nini😀😀 mana kule kila zinalia kama gaza😀Kuna ile lokshen usawa wa checkers hyper....ah ah ah ah ni hatari mtoto mdogo anakushikia machete