Ukoloni Mamboleo: Media za kenya zaonyesha Live Harusi ya Mjukuu wa Malkia Elizabeth

Ukoloni Mamboleo: Media za kenya zaonyesha Live Harusi ya Mjukuu wa Malkia Elizabeth

Kwasababu harusi ya Ali Kiba haina umuhimu wowote,kisiasa,kiuchumi nk,wakenya wajanja,wakenya wanaona mbali sio kama watanzania kila kitu siasa...
Je, kunonesha harusi ya mzungu kwenye TV ina maslahi yapi kisiasa, kiuchumi nk?
Mwanzoni ulisema ameoa half cast wa kiafrika ukasema mnajali sana waafrika. So kwanini msioneshe harusi ya Alikiba?
Hivi hujui hao wazungu walikuwa wanawauza Waafrika? Hivi unakumbuka kweli machungu ya MAU MAU?
Babu zenu wakifufuka leo watatoa machozi maana walikufa kwaajili yenu. Sasa hivi mnakenua kenua menu mbele ya wazungu.
Do you think wazungus are your friends?
Utatumiaka kama muwa, utamu ukiisha wanakutena. Taja TV station nyingine Afrika imeoonesha hilo tukio la kitumwa.
 
Inawezekana..,lakini safari na mikutano ya Magufuli inaonyeshwa LIVE,watanzania wamebanwa kimawazo,kweli unafikri Bunge halionyeshi LIVE kwasababu za ghrama,..
Sasa unataka kumfananisha Rais wetu, Mkuu wa nchi kubwa ya Tanzania na hako kajukuu ka Malkia!!?
Huenda mwenzetu akili alifanyikazi vizuri.
 
Hakuna maisha bila siasa kijana. Hata hiyo ndoa ni siasa. Mtoto wa Malkia ni mwanasiasa.
Hebu niambie kipi cha maana sana kwenye hiyo ndoa!!? Kustisha matangazo ya TV zote na kuonesha harusi ya kakijana kamoja tu toka uingereza. How stupid is this.
Kuwafumbua wananchi macho,kuwawezesha wananchi kujua nini kinaendelea duniani,kuwa pamoja katika jumuia ya dunia,Tanzania tunabanwa kila kona,Bunge halionyeshwi LIVE watakunyesheni harusi ya mtoto wa malkia,mnafungwa macho msione nini kinaendelea duniani ili mpate kutawaliwa kimawazo vizuri..,

Kidumu chama cha mapinduzi na fikra za mwenyekiti,...Kidumu😀..mnatakiwa akili zenu zisiende nje ya hapo
 
Sasa unataka kumfananisha Rais wetu, Mkuu wa nchi kubwa ya Tanzania na hako kajukuu ka Malkia!!?
Huenda mwenzetu akili alifanyikazi vizuri.
Kidumu chama cha mapinduzi na fikra za mwenyekiti...Kidumu,..!!

Raisi wenu kama nani katika hii dunia,

raisi wenu analeta msukumo gani katika hii dunia!!

raisi wenu ana umuhimu gani katika hii dunia..

Kuna watu wakisema dunia nzima inatikisika

mmoja wao ni falme ya Uingereza,Magufuli anamjua nani
 
Kuwafumbua wananchi macho,kuwawezesha wananchi kujua nini kinaendelea duniani,kuwa pamoja katika jumuia ya dunia,Tanzania tunabanwa kila kona,Bunge halionyeshwi LIVE watakunyesheni harusi ya mtoto wa malkia,mnafungwa macho msione nini kinaendelea duniani ili mpate kutawaliwa kimawazo vizuri..,

Kidumu chama cha mapinduzi na fikra za mwenyekiti,...Kidumu😀..mnatakiwa akili zenu zisiende nje ya hapo
Kuwafumbua macho kwa kuonesha Harusi!!? Acha ujinga kijana. Huo ni utumwa akili.
Acha kutukuza wazungu. Wakenya mnazingua kinyama.
 
Watanzania washamba kweli. Duh!
yaani mijitu imekaa kama zoba
Hivi nyie wajanja mnaenda chooni na kuacha kujisafisha. Hivi kutembea na mbolea kwenye nguo ni ujanja!!?
Wakenya bhana. Wakenya wengi ukiwasogelea wanatoa harufu ya taka choo.
 
Je, kunonesha harusi ya mzungu kwenye TV ina maslahi yapi kisiasa, kiuchumi nk?
Mwanzoni ulisema ameoa half cast wa kiafrika ukasema mnajali sana waafrika. So kwanini msioneshe harusi ya Alikiba?
Hivi hujui hao wazungu walikuwa wanawauza Waafrika? Hivi unakumbuka kweli machungu ya MAU MAU?
Babu zenu wakifufuka leo watatoa machozi maana walikufa kwaajili yenu. Sasa hivi mnakenua kenua menu mbele ya wazungu.
Do you think wazungus are your friends?
Utatumiaka kama muwa, utamu ukiisha wanakutena. Taja TV station nyingine Afrika imeoonesha hilo tukio la kitumwa.
😀😀😀😀 mau mau tena,watu wanataka kusonga mbele wewe unaleta habari za mau mau...,kuna mtu kajibu station zinazoonyesha hili tukio,perusi perusi "comments" utapata jibu
 
Kuwafumbua macho kwa kuonesha Harusi!!? Acha ujinga kijana. Huo ni utumwa akili.
Acha kutukuza wazungu. Wakenya mnazingua kinyama.
Utumwa wa akili unao wewe,hutaki watangayika wajue nini kinatokea duniani..
 
Utumwa wa akili unao wewe,hutaki watangayika wajue nini kinatokea duniani..
Harusi ya kijana wa kizungu ndio mnaona news.
Si kila kitu kijana ni News, mambo mengine ni kujipendekeza tu maana hamjitambui. Mnajidhalilisha mbele ya waafrika.
Ndiyo maana Amina Mohamed alipigwa chini kutokana na mambo yenu ya kitoto kitoto.
 
Mkuu Media za hazionyeshi kwasababu ziko nyuma kimaendeleo Tanzania,hii harusi ya Price Harry and Meghan Markel takriban nchi zote duniani zinaonyesha LIVE,kumbuka Tanzania ndio nchi ya mwisho dunia wananchi wake kuona TV,Watanganyika wameanza kuona TV mwaka 1987..
Kwahiyo hata China, Urusi, nk wanaonesha?
 
Mkuu Media za hazionyeshi kwasababu ziko nyuma kimaendeleo Tanzania,hii harusi ya Price Harry and Meghan Markel takriban nchi zote duniani zinaonyesha LIVE,kumbuka Tanzania ndio nchi ya mwisho dunia wananchi wake kuona TV,Watanganyika wameanza kuona TV mwaka 1987..
TV za tanzania zinaonyesha mambo ya ccm tuu!!!hao watakuja serengeti hakuna hata media moja itaonyesha kisa hakuna waandishi wa habari wenye udadisi
 
Back
Top Bottom