Ukoloni Mamboleo: Media za kenya zaonyesha Live Harusi ya Mjukuu wa Malkia Elizabeth

Ukoloni Mamboleo: Media za kenya zaonyesha Live Harusi ya Mjukuu wa Malkia Elizabeth

Media kuu Za kenya (Citizen,KTN,NTV) zote sinaonyesha harusi hii ya Price Harry and Meghan Markel live. Kwa kweli hapa kenya bado kiakili tumetekwa na wakoloni.
Tanzania hata hakuna yeyote ambaye anashugulika na harusi ya wakoloni.
Povu ruksa
boss samahani but unajua tv na redio zinaishi kwa advertizement as well as marketing?sasa kama wameoima upepo wakaona viewers wao wnegi watahtaji hili unaachaje kurusha?is all about business mkuuu nothing personal
 
boss samahani but unajua tv na redio zinaishi kwa advertizement as well as marketing?sasa kama wameoima upepo wakaona viewers wao wnegi watahtaji hili unaachaje kurusha?is all about business mkuuu nothing personal
Ina maanisha kwamba kuna mashabiki wengi kenya na wengine wengi ambao wametekwa kiakili na wakoloni. Thats why it makes business sense to broadcast that event in kenya. We actually agree on this, its business nothing personal
 
  • Thanks
Reactions: UCD
Media kuu Za kenya (Citizen,KTN,NTV) zote sinaonyesha harusi hii ya Price Harry and Meghan Markel live. Kwa kweli hapa kenya bado kiakili tumetekwa na wakoloni.
Tanzania hata hakuna yeyote ambaye anashugulika na harusi ya wakoloni.
Povu ruksa

Kwanini unaanika upumbavu wako kila kuchao hapa JF!? Nani hajui kila media house inawania ratings na nafasi za kibiashara? Harusi kama hiyo ni kivutio kikubwa cha matangazo ya biashara. Kama huko kwenu mumelalia masikio,endeleeni vivyo hivyo!
 
Kwanini unaanika upumbavu wako kila kuchao hapa JF!? Nani hajui kila media house inawania ratings na nafasi za kibiashara? Harusi kama hiyo ni kivutio kikubwa cha matangazo ya biashara. Kama huko kwenu mumelalia masikio,endeleeni vivyo hivyo!
Harusi inavutia nani kama hajatekwa akili na wakoloni? Hata ukienda france ungalie france24 tv hakuna hii upuzi huko na wao ni majirani wa England
 
Mjuu wa wa mailkia ameoa marekani mwanamke aliemuoa ana asili ya kiafrika(African America),mwanamke ameshawahi kuolewa na kuachwa na director wa sinema,..

Kwasababu mwanamke anaeolewa na Harry ana asili ya kiafrika ndio maana harusi imenoga,media zote duniani zinaonyesha harusi hiyo Live,isoikuwa Tanzania🙁,kwasababu hawajui umuhimu wa mwafrika kuonewa na mjukuu wa mfalme wa Uingereza..

View attachment 781083
Meghan Markel na baba ake
View attachment 781084
Meghan Markel na mama ake
View attachment 781085
Meghan Markel na Harry
Kuna swala la entertainment pia ...watu hawajui tu fursa
Humo ungepitisha matangazo kibaooo
 
Issue is not abt Meghan kuwa na weusi kwa mbali...ts abt Royalty....mana hata ya Kate na William ilikua high profile mnoo
Ya Harry saivi ndo usiseme mana wotee wawili ni famous ile mbaya...labda kwa watu msokua na exposure za entertainment
 
Media kuu Za kenya (Citizen,KTN,NTV) zote sinaonyesha harusi hii ya Price Harry and Meghan Markel live. Kwa kweli hapa kenya bado kiakili tumetekwa na wakoloni.
Tanzania hata hakuna yeyote ambaye anashugulika na harusi ya wakoloni.
Povu ruksa
wewe mtanzania hujui maana ya hio harusi ndio maana huelewi mbona ikawekwa live,sio kupenda kwako...lakini mbona uwashwe na pilipili usioila?
 
Media kuu Za kenya (Citizen,KTN,NTV) zote sinaonyesha harusi hii ya Price Harry and Meghan Markel live. Kwa kweli hapa kenya bado kiakili tumetekwa na wakoloni.
Tanzania hata hakuna yeyote ambaye anashugulika na harusi ya wakoloni.
Povu ruksa
WaKE siyo washamba na mbumbumbu kiuchumi kama WaTZ - and this is from me (a Tanzanian!).

media za Kenya hazifanyi hiyo coverage kisiasa au kumfurahisha mtu mind you... zipo kibiashara zaidi.

media hizo zinalijua soko lake liko vipi. so hutumia opportunities zitakazojitokeza ambazo zina manufaa kibiashara.

obviously, coverage ya royal wedding ina attract multitudes of viewers across the country.... so customers wa media hizo wana capitalize on that opportunity kwa ajili ya commercials zao ambazo zinawa target viewers (ambao ni customers wa customers wa media).

kapish???
 
Mbona TBC ilikuwa inaonesha ligi ya Uingereza hamkupiga kelele enyi wadanganyika?
 
Tanzania hapendi shobo kama hakuna maslahi
Mkuu katika hili kuna masilahi makubwa sana kwa wafanyabiashara,matangazo tu ya biashara ni maslahi tosha,kwa vile "coverage" kama hii watu wengi wanataangalia,sema tukubali tu Tanzania bado tuko nyuma,watawala wanataka tumuone Magufuli tu kwenye TV,Tanzania na North Korea hazitafautiani sana,hizi nchi ziko sambamba katika kuwabana wananchi wake
 
Hivi nyie wajanja mnaenda chooni na kuacha kujisafisha. Hivi kutembea na mbolea kwenye nguo ni ujanja!!?
Wakenya bhana. Wakenya wengi ukiwasogelea wanatoa harufu ya taka choo.
nvqKt8yLH_cbRE1nzJyJCFx4wIIx7Mi59Mn4ecKZJSi6gNJIX1fcaq9zVuTa6Nm_AvMYHqXvq0djYXABAb6UyvWm7y_3l3kUQx1N3cTzDYTQ0pfgp_6sXbAC7lEv_g=w320-h240-nc
 
Mkuu katika hili kuna masilahi makubwa sana kwa wafanyabiashara,matangazo tu ya biashara ni maslahi tosha,kwa vile "coverage" kama hii watu wengi wanataangalia,sema tukubali tu Tanzania bado tuko nyuma,watawala wanataka tumuone Magufuli tu kwenye TV,Tanzania na North Korea hazitafautiani sana,hizi nchi ziko sambamba katika kuwabana wananchi wake
Tanzania inajitambua
 
Media kuu Za kenya (Citizen,KTN,NTV) zote sinaonyesha harusi hii ya Price Harry and Meghan Markel live. Kwa kweli hapa kenya bado kiakili tumetekwa na wakoloni.
Tanzania hata hakuna yeyote ambaye anashugulika na harusi ya wakoloni.
Povu ruksa
Vitu vingine unacheka tu
 
Hii ndiyo maana ya kutekwa Akili. Yaani sasa kwa sababu Meghan ni halfcast unaona Wakoloni wamekuwa familia moja na Mwafrika..😀😀
Badala ya kushangaa kwanini hadi leo Uingereza ina military base hapo Kenya, unashangaa TV za Kenya kuonyesha harusi ya royal family!!!!
 
Back
Top Bottom