Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,219
- 4,608
Nyerere alikuwa kama hamnazo vile?
Watu wavunje nyumba ya kisasa wahamie ya tembe dah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wana laanaMkoa umejaa mabango ya chama hadi kinyaa
Hawajielewi kabisa
Soma Isaya 50:11 laana juu ya laanaIkiwa Dodoma ndo lango la nchi hii tumekwisha , maana huo ukoma uatenea Tanzania nzima, viongoz WA kiroho kazi kwenu utakaseni mji
Tuandike proposal kwa donor tuanze kuwahamishaYaani mji mzima umejaa wakoma na upofu, halafu haya ndio makao makuu ya nchi.
Hii taswira inafikirisha sana, sijui kwanini walichagua mahali penye laana ya ukoma na upofu ndio pawe makao makuu ya nchi?
Matokeo yake uchumi wetu una ukoma, soka letu lina ukoma, maendeleo yetu yana ukoma, miradi yetu tuliuoiita miradi mikubwa ya kimkakati imejaa ukoma, sio wa treni ya mwendokasi, wala sio bwawa la kuzalisha umeme kule Rufiji tulikokata zaidi ya miti milioni mbili, kote kumejaa ukoma.
Sasa tunafikiria kwamba tozo zinaweza kutuponya na ukoma, huku ni kujidanganya.
Nilikuwepo Huko Dodoma wiki iliyopita yaani Dodoma Hali ya hewa ni shida Sana kuanzia mchana kuna jua Kali linapiga balaa alafu miti karibia mji wote imekauka na ikishafika SAA 11 jioni baridi Kali na upepo unaanza hapa SASA ndiyo balaa linaanzia...Nzi, Vumbi, Upepo, Baridi, Hatari Sana
Wanatakiwa kufanya kampeni kabambe ya kupanda miti ya kivuli maana si kwa upepo uleNilikuwepo Huko Dodoma wiki iliyopita yaani Dodoma Hali ya hewa ni shida Sana kuanzia mchana kuna jua Kali linapiga balaa alafu miti karibia mji wote imekauka na ikishafika SAA 11 jioni baridi Kali na upepo unaanza hapa SASA ndiyo balaa linaanzia...
Maji ni ya chumvi na ukioga kumbuka kujiloweka kwenye mafuta ili mwili usipauke
Umesahau na Maji yasiyoeleweka kama ni asidi au tindikali.Nzi, Vumbi, Upepo, Baridi, Hatari Sana
Wanyakyusa banaYaani mji mzima umejaa wakoma na upofu, halafu haya ndio makao makuu ya nchi.
Hii taswira inafikirisha sana, sijui kwanini walichagua mahali penye laana ya ukoma na upofu ndio pawe makao makuu ya nchi?
Matokeo yake uchumi wetu una ukoma, soka letu lina ukoma, maendeleo yetu yana ukoma, miradi yetu tuliuoiita miradi mikubwa ya kimkakati imejaa ukoma, sio wa treni ya mwendokasi, wala sio bwawa la kuzalisha umeme kule Rufiji tulikokata zaidi ya miti milioni mbili, kote kumejaa ukoma.
Sasa tunafikiria kwamba tozo zinaweza kutuponya na ukoma, huku ni kujidanganya.
Panapopendeza ni wapi?Dodoma hapapendezi sijui kwanini?
Kina Mwaisa wanasemaje?Wanyakyusa bana
Hapana, sina watoto, mimi ndiye mtoto mwenyeweMbna unaandika km mtoto
Na wewe unawatoto wanakutegemea?
TREE OF LIFE FOUNDATION mnaitwa hukuWanatakiwa kufanya kampeni kabambe ya kupanda miti ya kivuli maana si kwa upepo ule
Hivi ndivyo Watanzania tulivyo kwenye ulimwengu wa rohoNilikuwepo Huko Dodoma wiki iliyopita yaani Dodoma Hali ya hewa ni shida Sana kuanzia mchana kuna jua Kali linapiga balaa alafu miti karibia mji wote imekauka na ikishafika SAA 11 jioni baridi Kali na upepo unaanza hapa SASA ndiyo balaa linaanzia...
Maji ni ya chumvi na ukioga kumbuka kujiloweka kwenye mafuta ili mwili usipauke
Makao Makuu ya CCM yatapendezaje? LaanakhumDodoma hapapendezi sijui kwanini?
Ipo haja kuharakisha maji ya lake Victoria yafike DodomaMaji ni ya chumvi na ukioga kumbuka kujiloweka kwenye mafuta ili mwili usipauke
Hapana, sina watoto, mimi ndiye mtoto mwenyewe