Ukoma wa Dodoma unavyoliathiri Taifa

Ukoma wa Dodoma unavyoliathiri Taifa

Screenshot_20220905-143705_Phoenix.jpg

Nyerere alikuwa kama hamnazo vile?
Watu wavunje nyumba ya kisasa wahamie ya tembe dah
 
Yaani mji mzima umejaa wakoma na upofu, halafu haya ndio makao makuu ya nchi.

Hii taswira inafikirisha sana, sijui kwanini walichagua mahali penye laana ya ukoma na upofu ndio pawe makao makuu ya nchi?

Matokeo yake uchumi wetu una ukoma, soka letu lina ukoma, maendeleo yetu yana ukoma, miradi yetu tuliuoiita miradi mikubwa ya kimkakati imejaa ukoma, sio wa treni ya mwendokasi, wala sio bwawa la kuzalisha umeme kule Rufiji tulikokata zaidi ya miti milioni mbili, kote kumejaa ukoma.

Sasa tunafikiria kwamba tozo zinaweza kutuponya na ukoma, huku ni kujidanganya.
Tuandike proposal kwa donor tuanze kuwahamisha
 
Nzi, Vumbi, Upepo, Baridi, Hatari Sana
Nilikuwepo Huko Dodoma wiki iliyopita yaani Dodoma Hali ya hewa ni shida Sana kuanzia mchana kuna jua Kali linapiga balaa alafu miti karibia mji wote imekauka na ikishafika SAA 11 jioni baridi Kali na upepo unaanza hapa SASA ndiyo balaa linaanzia...
Maji ni ya chumvi na ukioga kumbuka kujiloweka kwenye mafuta ili mwili usipauke
 
Nilikuwepo Huko Dodoma wiki iliyopita yaani Dodoma Hali ya hewa ni shida Sana kuanzia mchana kuna jua Kali linapiga balaa alafu miti karibia mji wote imekauka na ikishafika SAA 11 jioni baridi Kali na upepo unaanza hapa SASA ndiyo balaa linaanzia...
Maji ni ya chumvi na ukioga kumbuka kujiloweka kwenye mafuta ili mwili usipauke
Wanatakiwa kufanya kampeni kabambe ya kupanda miti ya kivuli maana si kwa upepo ule
 
Yaani mji mzima umejaa wakoma na upofu, halafu haya ndio makao makuu ya nchi.

Hii taswira inafikirisha sana, sijui kwanini walichagua mahali penye laana ya ukoma na upofu ndio pawe makao makuu ya nchi?

Matokeo yake uchumi wetu una ukoma, soka letu lina ukoma, maendeleo yetu yana ukoma, miradi yetu tuliuoiita miradi mikubwa ya kimkakati imejaa ukoma, sio wa treni ya mwendokasi, wala sio bwawa la kuzalisha umeme kule Rufiji tulikokata zaidi ya miti milioni mbili, kote kumejaa ukoma.

Sasa tunafikiria kwamba tozo zinaweza kutuponya na ukoma, huku ni kujidanganya.
Wanyakyusa bana
 
Nilikuwepo Huko Dodoma wiki iliyopita yaani Dodoma Hali ya hewa ni shida Sana kuanzia mchana kuna jua Kali linapiga balaa alafu miti karibia mji wote imekauka na ikishafika SAA 11 jioni baridi Kali na upepo unaanza hapa SASA ndiyo balaa linaanzia...
Maji ni ya chumvi na ukioga kumbuka kujiloweka kwenye mafuta ili mwili usipauke
Hivi ndivyo Watanzania tulivyo kwenye ulimwengu wa roho
 
Dodoma ndio lango la baraka na lango limejaa ukoma na upofu, tumekwisha kwa kweli.
 
Back
Top Bottom