Mtili wandu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 8,257
- 11,499
LaantulahMakao Makuu ya CCM yatapendezaje? Laanakhum
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
LaantulahMakao Makuu ya CCM yatapendezaje? Laanakhum
Maji Ya Magadi Yanatoka Mzakwe Jeshini Ukioga, Kufua, Unapauka Mpaka Upake GreaseUmesahau na Maji yasiyoeleweka kama ni asidi au tindikali.
Mji Mgumu Hali Ya Hewa Ngumu, Maji Chumvi, VumbiNilikuwepo Huko Dodoma wiki iliyopita yaani Dodoma Hali ya hewa ni shida Sana kuanzia mchana kuna jua Kali linapiga balaa alafu miti karibia mji wote imekauka na ikishafika SAA 11 jioni baridi Kali na upepo unaanza hapa SASA ndiyo balaa linaanzia...
Maji ni ya chumvi na ukioga kumbuka kujiloweka kwenye mafuta ili mwili usipauke
Haa Dodoma Pagumu
- Tiba ya kizungu ilikwama baada ya wananzengo kuwachoma watafiti wakidhani wanafanya ulozi wa ardhi yao.
- Kwa tiba ya kiafrika, je aliyeweka irizi yupo tayari kuitoa?
Itapendeza Sana kama maji ya uhakika yatapatikanaIpo haja kuharakisha maji ya lake Victoria yafike Dodoma
Mwanza yenyewe wenye victoria maji ni tabu kuu tena mjini kabisa, ndio yatafika Dodoma?Ipo haja kuharakisha maji ya lake Victoria yafike Dodoma
Shinyanga, Tabora, Nzega na Igunga wanaoga mara tatu kwa siku na soon SingidaMwanza yenyewe wenye victoria maji ni tabu kuu tena mjini kabisa, ndio yatafika Dodoma?
Nzi wa kule ni tofauti.Nzi hao hueneza ugonjwa wa macho.Na upepo wake ni mkavu,unachusha na kupausha hadi ngozi kupasuka kama gamba la mti.Makete kuna baridi kama Ulaya.Uliwahi sikia Makete wanalia njaa?Ni wapi ambako hamna Nzi?? Eti baridi na makete wasemaje??
HatariNzi wa kule ni tofauti.Nzi hao hueneza ugonjwa wa macho.Na upepo wake ni mkavu,unachusha na kupausha hadi ngozi kupasuka kama gamba la mti.Makete kuna baridi kama Ulaya.Uliwahi sikia Makete wanalia njaa?
Kuna sehemu kuna mpka maji ya chumviMwanza yenyewe wenye victoria maji ni tabu kuu tena mjini kabisa, ndio yatafika Dodoma?
Ndiyo Dodoma HiyoKuna sehemu kuna mpka maji ya chumvi
niko Dodoma na sijakutana na mkoma hata mmoja. hao wakoma wapo wapi? au unamaanisha hawa machangudoa wanaofuata wabunge hapa?Yaani mji mzima umejaa wakoma na upofu, halafu haya ndio makao makuu ya nchi.
Hii taswira inafikirisha sana, sijui kwanini walichagua mahali penye laana ya ukoma na upofu ndio pawe makao makuu ya nchi?
Matokeo yake uchumi wetu una ukoma, soka letu lina ukoma, maendeleo yetu yana ukoma, miradi yetu tuliuoiita miradi mikubwa ya kimkakati imejaa ukoma, sio wa treni ya mwendokasi, wala sio bwawa la kuzalisha umeme kule Rufiji tulikokata zaidi ya miti milioni mbili, kote kumejaa ukoma.
Sasa tunafikiria kwamba tozo zinaweza kutuponya na ukoma, huku ni kujidanganya.
Unaishi Sehemu Gani Dodoma?Isijekuwa Hujichanganyi Na Jamiiniko Dodoma na sijakutana na mkoma hata mmoja. hao wakoma wapo wapi? au unamaanisha hawa machangudoa wanaofuata wabunge hapa?
mida ya jioni njoo pale chako ni chako, au royal, au esperance, au maeneo yote. ukinikosa huko basi njoo katikati ya mji barabara zote 8.Unaishi Sehemu Gani Dodoma?Isijekuwa Hujichanganyi Na Jamii
His idea was very good. But implementation went wrong, for instance look at What was Mwenge village in Dar es Salaam it was built to be an example of Ujamaa village in Tanzania. I stand to be corrected.View attachment 2346461
Nyerere alikuwa kama hamnazo vile?
Watu wavunje nyumba ya kisasa wahamie ya tembe dah
Kuishi Kwako Dodoma Hujaona Hayomida ya jioni njoo pale chako ni chako, au royal, au esperance, au maeneo yote. ukinikosa huko basi njoo katikati ya mji barabara zote 8.
Kwa hiyo uwepo wa mirembe Pyschiatric hospital inaonyesha ni makao makuu ya machizi pia?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Makao makuu ya hospitali ya machizi yako Dodoma ndio maana hata watafiti wa afya wanasema nchi yetu kwenye kila watu wanne mmoja zezeta. Kidumu chama cha Mazezeta
Pia gereza la kunyonga waliohukumiwa kifo lipo Dodoma,Makao makuu ya hospitali ya machizi yako Dodoma ndio maana hata watafiti wa afya wanasema nchi yetu kwenye kila watu wanne mmoja zezeta. Kidumu chama cha Mazezeta