Labda Kigoma. Kilimanjaro iache kabisa kule watu wenye akili mingi ndo wapoLakini hauzidi Kilimanjaro na Kigoma.
Kilimanjaro na Kigoma ndio mikoa TAKATAKA kabisa nchi hii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda Kigoma. Kilimanjaro iache kabisa kule watu wenye akili mingi ndo wapoLakini hauzidi Kilimanjaro na Kigoma.
Kilimanjaro na Kigoma ndio mikoa TAKATAKA kabisa nchi hii.
Wewe uko Kilimanjaro?Labda kigoma. Kilimanjaro iache kabisa kule watu wenye akili mingi ndo wapo
Nilitoka huko...lakin huwezi ifananishaWewe uko Kilimanjaro??
Maana Mimi naishi huku.
Kilimanjaro na Kigoma hakuna cha maana. Kote kumejaa vumbi, na mapori.Nilitoka huko...lakin huwezi ifananisha
Na kigoma kwa wala mua
Kina Mwaisa wanasemaje?
Hivi ukoma bado ni janga kubwa nchini la kuhitaji mkakati wa kulikabiri? Kwa fikra zangu kuna magonjwa yanayohitaji kupewa kipaumbele zaidi ya ukoma; kama vile malaria, TB na cholera. Magonjwa niliyoyataja yanaambukizwa kirahisi zaidi ambapo kuambukizwa ukoma kunahitaji uzembe wa hali ya juu. Naifahamu familia yenye watoto 11. Wa kwnza alipata ukoma na hakuna mwingine aliyeugua ugonjwa huo mpaka hii leo.Yaani mji mzima umejaa wakoma na upofu, halafu haya ndio makao makuu ya nchi.
Hii taswira inafikirisha sana, sijui kwanini walichagua mahali penye laana ya ukoma na upofu ndio pawe makao makuu ya nchi?
Matokeo yake uchumi wetu una ukoma, soka letu lina ukoma, maendeleo yetu yana ukoma, miradi yetu tuliuoiita miradi mikubwa ya kimkakati imejaa ukoma, sio wa treni ya mwendokasi, wala sio bwawa la kuzalisha umeme kule Rufiji tulikokata zaidi ya miti milioni mbili, kote kumejaa ukoma.
Sasa tunafikiria kwamba tozo zinaweza kutuponya na ukoma, huku ni kujidanganya.
Ukoma ni ugonjwa wa laanaHivi ukoma bado ni janga kubwa nchini la kuhitaji mkakati wa kulikabiri? Kwa fikra zangu kuna magonjwa yanayohitaji kupewa kipaumbele zaidi ya ukoma; kama vile malaria, TB na cholera. Magonjwa niliyoyataja yanaambukizwa kirahisi zaidi ambapo kuambukizwa ukoma kunahitaji uzembe wa hali ya juu. Naifahamu familia yenye watoto 11. Wa kwnza alipata ukoma na hakuna mwingine aliyeugua ugonjwa huo mpaka hii leo.
Pahka pa butugasyoKudodoma kika kisu kya kutughala......
Samahani Zanzibar sirudii tena🤣😅😆Yote haya ni karma ya kuivamia Zanzibar Na kuuwa maelfu ya watu . Na hii haitaondoka mpaka Tanganyika iombe radhi na kuipa uhuru Zanzibar
Wewe ndiye Tanganyika? Hii Si mzaha , kuna roho Za watu wasio na makosa yoyote zimetolewa. Damu zinaendelea kumwagwa kila baada ya miaka mitano.Samahani Zanzibar sirudii tena🤣😅😆
Mwenge ni ukoma mwingine wa taifa. Unatafuna pesa ya Kodi zetu pasipokuwa na faida yoyote.Hivi Nyerere na akili zake zote, ilikuwaje akatuletea mwenge uwe ndio mungu wa taifa?
Dodoma hapapendezi sijui kwanini?
TrueMwenge ni ukoma mwingine wa taifa. Unatafuna pesa ya Kodi zetu pasipokuwa na faida yoyote.
Why?Lakini hauzidi Kilimanjaro na Kigoma.
Kilimanjaro na Kigoma ndio mikoa TAKATAKA kabisa nchi hii.
UchawiHivi Nyerere na akili zake zote, ilikuwaje akatuletea mwenge uwe ndio mungu wa taifa?
Anaharibu tu akili zetu na mwenge wakeMwenge ni ukoma mwingine wa taifa. Unatafuna pesa ya Kodi zetu pasipokuwa na faida yoyote.