Ukomo wa Toyota Crown Sedan

Ukomo wa Toyota Crown Sedan

Ile ilikuwa ni tolea la America, na gari ilitoka canada... ilo la cosmetics upo sawa.. walijisahu mahala..
Hio gari lazima ilikuwa yamoto mzee. Jamaa wana gari nzuri sema hatuzi afford. Kwakuwa wana za bei chee ambazo tunazikimbilia tunachukulia poa.

Kununua Toyota ya 2013 ni aghali kuliko kununua BMW ya 2013. Fuatilia hilo utaniambia kwa gari za class moja.
 
Hio gari lazima ilikuwa yamoto mzee. Jamaa wana gari nzuri sema hatuzi afford. Kwakuwa wana za bei chee ambazo tunazikimbilia tunachukulia poa.

Kununua Toyota ya 2013 ni aghali kuliko kununua BMW ya 2013.
Zamani nilikuwa na huu ujinga wa kuona toyota za kipato cha chini.. ila ukishapata exposure.. hioz fujo tuna waachia vijana wa chuo.. watu wazima tumeisha ujua ukweli 😃😃😃😃
 
1606315385643.png
1606315421437.png


Hii kitu Toyota ametoa mpaka inayotumia Diesel engine ya D-4D. upate model ya Europe speed 240 Km/h ni kama hupo kwenye SUV sema tu huna 4wd 🤣 🤣 🤣
 
Kwahio value for money ni bei ya gari mkuu? What do you get interms of reliability? Umeshalifikiria hilo?

Ukizungumzia value for money katika hizo gari mbili you get it from Lexus. Hio biduka hata kichura chura au tembelea shingo. Kukuhakikishia hilo kaangalie bei ya hio BMW Compared na Lexus kwenye Used Car market.
Bado hukunijibu swali langu la mfano wa Altezza.

Anyways, the more features you have of course the more running costs you are going to have hence depreciation price ya Bimmer na MB zinaporomoka. Hio Lexus ukitia oil ya buku 45 na filter ya buku tano unaendesha gari. BMW is a high maintainance car. Sio bure, ile ni super luxury na demand yake ni ndogo kitu ambacho kina drive price down. Ivi unafikiri ile headlight laser moja ife unafikiri bei yake ni sawa na kununua bulb ya d2r za lexus?

Bimmer inakuja na more advanced features, new things which of course will breakdown na repairing cost itakuwa high. Kuna 7 series inauzwa bei ya chini kuliko ist. Kwaio unataka kunambia IST bora kuliko bimmer 7 series?

Unajua kuwa Toyota ameamua kutumia engine from BMW kwa SUpra new model which is also a BMW Z series rebadged na toyota? Tatizo sio kwamba engine za BMW mbovu, tatizo ni bei ya parts halafu utengezaji wake. Wewe ifungue bonnet mbele uitizame ile engine layout ilivokuwa na makabrasha kibao mpaka yana ku confuse mtu. Fungua Lexus ls500. Kuna 1UR kutoka kwa Crown.


The money spent on BMW is well spent. Kuna BMW za tangu 2004 hapa tz, zinakula misere mitaani kama kawaida na zinatisha sana kuliko izo crown zilizobadilishwa body tu. Yaani toyta/lexus ni kama iphone.

Nijibu kwenye altezza A na B utaelewa pengine.

hio ambayo haina kitu, utajikuta unahangaika na engine tu. Ila hio nyengine, utahangaika na roof kuvuja, traction kukugomea. Lakini wakati wa kununua umepata vitu vingi kuliko hio yengine, all you need to do now is to well maintain it.
 
Zamani nilikuwa na huu ujinga wa kuona toyota za kipato cha chini.. ila ukishapata exposure.. hioz fujo tuna waachia vijana wa chuo.. watu wazima tumeisha ujua ukweli 😃😃😃😃
Eh bora umejitambua, angalia tu 2013 BMW 3 Series ambaye competitor wake kwenye segment ni Lexus IS250 kwenye bei zao sokoni leo.
 
Corolla ziko vizuri sana sema tu haziwekewi cosmetics ziko so basic hasa hizi zilizokuja huku Africa. Ila wame upscale sahizi kutakuja Corrolla za maana sana after 10 years maybe 2030 kutakuwa na Corrolla za maana sana bongo.
Na Corolla ndio gari ambayo inashikilia rekodi ya kuvunja mauzo makubwa duniani mpaka Leo hii, ikifatiwa na Vw Beetle.

Miaka ya nyuma wajerumani waliona Toyota Corolla kama inasifiwa bure ila wakubali kuwa ni reliable car, walishindanisha na Vw beetle nchini mwao.Mwisho wa siku Vw Beetle Kati ya wamiliki 10, 6 walilalamika kupata mara Kwa mara break down huku wamiliki wa Corolla wakiwa ni 3 Kati ya 10 na Corolla ikapewa tuzo ya Best Car of the year in German ikiwa ni Japanese car licha ya Vw beetle kutawala nyumbani.
 
Toyota anatengeneza gari kulingana na uhitaji wa eneo kijiografia. Nilipata nafasi ya kutest Toyota Avensis ya Japan na ya Netherlands yaani product mbili tofauti sema jina ni moja tu.
Watu wanashindwa kuelewa ishu kama hii. Toyota inayouzwa marekani sio kama ya Japan.
View attachment 1634592View attachment 1634593

Hii kitu Toyota ametoa mpaka inayotumia Diesel engine ya D-4D. upate model ya Europe speed 240 Km/h ni kama hupo kwenye SUV sema tu huna 4wd 🤣 🤣 🤣

Nnayo hio ya estate hapa home kutoka UK. nafikiri ni 2004 model. Front doors zinatumia zile knobs kupandisha na kushusha vioo. Wakati nina lexus is200 ya 1999 inatumia power windows! sijui toyota wanatumia logic gani.
 
Nnayo hio ya estate hapa home kutoka UK. nafikiri ni 2004 model. Front doors zinatumia zile knobs kupandisha na kushusha vioo. Wakati nina lexus is200 ya 1999 inatumia power windows! sijui toyota wanatumia logic gani.
Sasa ni sawa na kuhoji uwepo GX, GXL, VX na Sahara kwenye toleo la LC200
 
Bado hukunijibu swali langu la mfano wa Altezza.

Anyways, the more features you have of course the more running costs you are going to have hence depreciation price ya Bimmer na MB zinaporomoka. Hio Lexus ukitia oil ya buku 45 na filter ya buku tano unaendesha gari. BMW is a high maintainance car. Sio bure, ile ni super luxury na demand yake ni ndogo kitu ambacho kina drive price down. Ivi unafikiri ile headlight laser moja ife unafikiri bei yake ni sawa na kununua bulb ya d2r za lexus?

Bimmer inakuja na more advanced features, new things which of course will breakdown na repairing cost itakuwa high. Kuna 7 series inauzwa bei ya chini kuliko ist. Kwaio unataka kunambia IST bora kuliko bimmer 7 series?

Unajua kuwa Toyota ameamua kutumia engine from BMW kwa SUpra new model which is also a BMW Z series rebadged na toyota? Tatizo sio kwamba engine za BMW mbovu, tatizo ni bei ya parts halafu utengezaji wake. Wewe ifungue bonnet mbele uitizame ile engine layout ilivokuwa na makabrasha kibao mpaka yana ku confuse mtu. Fungua Lexus ls500. Kuna 1UR kutoka kwa Crown.


The money spent on BMW is well spent. Kuna BMW za tangu 2004 hapa tz, zinakula misere mitaani kama kawaida na zinatisha sana kuliko izo crown zilizobadilishwa body tu. Yaani toyta/lexus ni kama iphone.

Nijibu kwenye altezza A na B utaelewa pengine.

hio ambayo haina kitu, utajikuta unahangaika na engine tu. Ila hio nyengine, utahangaika na roof kuvuja, traction kukugomea. Lakini wakati wa kununua umepata vitu vingi kuliko hio yengine, all you need to do now is to well maintain it.
Kwahio we kwako gari bora ni lile ambalo lina usumbufu sana mkuu? Yani whats the point ya kujaza feautres ambazo wont work past the warranty period?

Likely build quality iko chini so far. Hizo ulizotaja kwenye hizo Altezza ni features ambazo unazipata kwenye gari kulingana na Trims.

Ukinunua Limited edition ya gari unapata basic features tu ukitaka advanced lazma ununue Trim ilio aghali zaidi. Sasa wengi tuna afford magari ya bei chee.

Nikupe mfao tu LC200 nyingi tunazopishana nazo ni VX V8 hapa bongo ila kuna VX-R ambayo ina vitu zaidi na ZX na SAHARA ambazo ni full options. Ila bei zake ni mkasi.
 
Sasa ni sawa na kuhoji uwepo GX, GXL, VX na Sahara kwenye toleo la LC200
Brother, it doesnt matter what version it is, hizo power windows ni standard feature. In this modern time huwezi kuniambia kuna model engine yake kuiwasha mpaka ukazungushe feni kama ma land rover ya kitambo, ntashindwa kukulewa kabisa. Rear doors zinatumia power windows, buti kufungua kwa button, ankal power window kukosekana mbele haieleweki
 
Nnayo hio ya estate hapa home kutoka UK. nafikiri ni 2004 model. Front doors zinatumia zile knobs kupandisha na kushusha vioo. Wakati nina lexus is200 ya 1999 inatumia power windows! sijui toyota wanatumia logic gani.
Toyota wanazinguaga kwenye kupangilia features...Ila labda waliona traditionally watu wa UK wanapenda kushusha vioo manually si unajua mambo ya kujali wateja.
 
Ukitaka kununua gari kwanza angalia gari lipi linawatumiaji wengi, sababu za watu kutumia gari hilo ni lipi ndio uingie sokoni. Ukitaka kwenda tofauti na wengine hakikisha chenji ipo na sio ya mawazo. Nimewaona watu wanaswitch kutoka BMW kuja kwenye SUBARU
 
Kwahio we kwako gari bora ni lile ambalo lina usumbufu sana mkuu? Yani whats the point ya kujaza feautres ambazo wont work past the warranty period?

Likely build quality iko chini so far. Hizo ulizotaja kwenye hizo Altezza ni features ambazo unazipata kwenye gari kulingana na Trims.

Ukinunua Limited edition ya gari unapata basic features tu ukitaka advanced lazma ununue Trim ilio aghali zaidi. Sasa wengi tuna afford magari ya bei chee.

Nikupe mfao tu LC200 nyingi tunazopishana nazo ni VX V8 hapa bongo ila kuna VX-R ambayo ina vitu zaidi na ZX na SAHARA ambazo ni full options. Ila bei zake ni mkasi.
Kwangu mimi bora nitoe milioni mia, ninunue gari ambayo it has much more to offer than spending milioni 100 on a basic car, where as i could spend less and get a better one or just like it with basic features. Nikiweza kumiliki gari kama 7 series, basi siendi tena kwa mudi miembeni, nitatafuta reliable garage ambao wanakupa guarantee kabisa. Nikihitaji ku change oil nitaweka ile recommended regardless of the price. Sasa tatizo la wengi na hasa hapa bongo, mtu anapesa ya mawazo anaenda kutafuta Bimmer au MB au Audi. Kuna rafiki yangu hapa juzi gari yake VW imekufa sensor ya intake na throttle valve, hapa Unguja havijapatikana katumwa mtu dar kakaa kimya, mwenyewe kaamua kuagiza dubai.

Build Quality ya MB na Bimmer iko vizuri sana tena sana tena sanaa. Tizama speakers wanazotumia, tizama stitching ya leather, quality ya hio leather, the trims inside zilivo high quality, tizama seats zilivo super comfy mambo mengine kwenye kutengeza.

Hu mfano wa Altezza nimetaka uone kuwa utaspend hio same amount kununua the best trim of the basic. At the same time, wewe mwenye basic trim, when it comes to maintenance, you have more to fix than the basic one.
 
Kwangu mimi bora nitoe milioni mia, ninunue gari ambayo it has much more to offer than spending milioni 100 on a basic car, where as i could spend less and get a better one or just like it with basic features. Nikiweza kumiliki gari kama 7 series, basi siendi tena kwa mudi miembeni, nitatafuta reliable garage ambao wanakupa guarantee kabisa. Nikihitaji ku change oil nitaweka ile recommended regardless of the price. Sasa tatizo la wengi na hasa hapa bongo, mtu anapesa ya mawazo anaenda kutafuta Bimmer au MB au Audi. Kuna rafiki yangu hapa juzi gari yake VW imekufa sensor ya intake na throttle valve, hapa Unguja havijapatikana katumwa mtu dar kakaa kimya, mwenyewe kaamua kuagiza dubai.

Build Quality ya MB na Bimmer iko vizuri sana tena sana tena sanaa. Tizama speakers wanazotumia, tizama stitching ya leather, quality ya hio leather, the trims inside zilivo high quality, tizama seats zilivo super comfy mambo mengine kwenye kutengeza.

Hu mfano wa Altezza nimetaka uone kuwa utaspend hio same amount kununua the best trim of the basic. At the same time, wewe mwenye basic trim, when it comes to maintenance, you have more to fix than the basic one.
Ndio maana nikakuelewesha mapema we don't have to be comparing apples with pears.

Achana na Altezza Lets go Lexus with BMW! Hayo mavitu mengi unayoyataka yamezingatiwa humo. Ukitaka gari ilioko on Par na hizo German makes go for Lexus.
 
Toyota wanazinguaga kwenye kupangilia features...Ila labda waliona traditionally watu wa UK wanapenda kushusha vioo manually si unajua mambo ya kujali wateja.
Hili ndio jambo ninalolizungumzia sasa. Toyota anatengeza gari very basic uki compare na wenzake ambao wanaweka more effort.

Power windows are more likely to fail than hizo za kupandisha manual. When it comes to relaibility, hio manual mpaka utakufa wewe. Sasa hizo za umeme tone la maji tu likipenya mara motor imeunguwa. Lakini we both agree kama power windows are efficient na convenience.

Mimi simlaumu mtu wa TZ kuchagua toyota au lexus over BMW/MB. Nina rafiki yangu hapa zenji ana VW imekufa intake manifold sensor tu, kakosa unguja nzima.

Kuna uzi nafikiri wa mshana ule akihimiza watu wahamie kwa mjerumani, michango yangu yote utaona kuwa naponda reliability issues za haya magari na cost of maintainance, lakini when it comes to design, features and tech, Mjerumani aachwe kwanza.
 
Ndio maana nikakuelewesha mapema we don't have to be comparing apples with pears.

Achana na Altezza Lets go Lexus with BMW! Hayo mavitu mengi unayoyataka yamezingatiwa humo. Ukitaka gari ilioko on Par na hizo German makes go for Lexus.
Hata huko kwenye lexus, what keeps their value is their reliability, less features means less maintainance. Kitu 2020 750 kina memrize ulivoingia kwenye parking wakati wa kutoka inajitoa wenyewe kama ulivoingiza. Sasa subiri hio system iharibike ndio uone cost yake.

Yaani kwa mimi, nitanunua lexus kwa sababu ya umaskini wangu lakini sio kwa sababu nimeona iko better over BMW. najua lexus ikiharibika napata spea kiurahisi na kwa bei nafuu. Juzi nimenunua vvti solenoid mpya sio genuine kwa 70k nimeweka hadi leo gari haijanisumbua. Mfano ingekuwa bmw afu ata sio genuine bei pia kiboko, kiasi demand ya haya magari iwe ndogo na mmiliki aliuze bei chee.
 
Hata huko kwenye lexus, what keeps their value is their reliability, less features means less maintainance. Kitu 2020 750 kina memrize ulivoingia kwenye parking wakati wa kutoka inajitoa wenyewe kama ulivoingiza. Sasa subiri hio system iharibike ndio uone cost yake.
Do we really need that in our environment? Hio parking assist inakusaidia nini zaidi ya kuongeza list ya malfunctioning systems ambazo zitakugharimu sana eventually.

Yani hapa ndio napata picha pengine wewe ni wale jamaa ambao anaweza kuinvest 6M kununua laptop yenye best NVIDIA GPU, 16GB Ram na 4TB ila utilization ya hizo Specs ni 0.5%! Hufanyi graphics wala hutumii strong data processing applications kama gaming. Ila unajiskia raha tu ukisema Laptop yangu ina 16GB mbele za watu.

Wakati kazi unazofanya za kutuma email na kutengeneza documents hazihitaji hata laptop ya laki 6.
 
Do we really need that in our environment? Hio parking assist inakusaidia nini zaidi ya kuongeza list ya malfunctioning systems ambazo zitakugharimu sana eventually.

Yani hapa ndio napata picha pengine wewe ni wale jamaa ambao anaweza kununua laptop yenye best NVIDIA GPU, 16GB Ram na 4TB ila utilization ya hizo Specs ni 0.5%! Hufanyi graphics wala hutumii strong data processing applications. Ila unajiskia raha tu ukisema Laptop yangu ina 16GB.
Hayo madude tunawaachia UAE (Dubai) sisi kimbilio letu Mjapani
 
Back
Top Bottom