Zelensky aliposema tu kuwa UKRAINE haitojiunga na NATO hapo mwamba kamarada El Comandante Putin akayaondoa majeshi kutoka Kyiv.......Hali ya usalama Ukraine inazidi kuimarika.
Ilikuwa mkuu wa umoja wa Ulaya kutembelea Kyiv, Ukraine na sasa Boris Johnson naye katia timu huko...
Putin alivosema NATO wameparanganyikana alikua amefanyia kazi vizuri hilo Jambo au ndokutegwa kwenyewe
π€£π€£π€£wasisahau kupeleka mitambo ya kukusanya vifusi.
Zelensky aliposema tu kuwa UKRAINE haitojiunga na NATO hapo mwamba kamarada El Comandante Putin akayaondoa majeshi kutoka Kyiv.......
#Siempre JMTπ
wasisahau kupeleka mitambo ya kukusanya vifusi.
Kwa maneno yake Putin alisema "HAWATASIMAMISHA MASHAMBULIZI MPAKA PALE MALENGO YAO YATAKAPOTIMIA".....Kwa hiyo kajiondoa na vita imekwisha? ππ
nato yakupuuzwa tu... wanajifanya wako bize kumtembelea huyo msanii kipindi hiki Russia ameishabomoa nchi yote na kusepa halafu wao ndo eti wanajifanya wanakuja kuwatia moyo wa Ukraine.. mi nitaona wa maana wakiweza kukaa msitari wa mbele kuikomboa donbass na krimea
πππ€£π€£Sasa naamini Russia ni super power.anatoa masharti ,na yanatimizwa na NATO wote ,pamoja na USA. jamaa anarudi nyuma kwenye Yale majimbo yake ,ambayo pia alitoa shart yatambuliwe,na masharti yote yametimizwa .halafu mwamba anasepa kunywa ghahawa huku akitikisa mguu!!
Hakika...Ikumbukwe Putin ameshiriki OP Nyingi sana kabla ya kushika mamlaka ya juu kabisa ktk nchi tena kwa muda mrefu nyuma ya rais wa Belarus kama sijakosea...
Malengo yapi yaliyotimia?View attachment 2181972Kwa maneno yake Putin alisema "HAWATASIMAMISHA MASHAMBULIZI MPAKA PALE MALENGO YAO YATAKAPOTIMIA".....
El Comandante Putin ni mjanja sana....tunakumbuka alivyouhadaa ULIMWENGU kwa kuviondoa VIKOSI 150,000 alivyoviweka mwezi mzima mipakani na kuvirudisha nchini kwake halafu akavirudisha IN FULL FORCE na kuanza mashambulizi kule DONBASS ,KYIV , MARIUPOL ,ODESSA na kwengineko.......
HAKIKA PUTIN NI MASTER [emoji1787]
Mkuu umetuwekea CONSEQUENCES za WAR.....Malengo yapi yaliyotimia?View attachment 2181972View attachment 2181973
πππ€£π€£
MWAMBA KAMA MWAMBAAAA....View attachment 2181967
Wakati wewe unadhani ni Putin ni mjanja, taarifa zilikuwa zimetolewa muda mrefu kuwa alikuwa anasubiri Olympics ziishe huko China ndio ashambulie. Hivi ule msafara wa km 64 uliishia wapi?Kwa maneno yake Putin alisema "HAWATASIMAMISHA MASHAMBULIZI MPAKA PALE MALENGO YAO YATAKAPOTIMIA".....
El Comandante Putin ni mjanja sana....tunakumbuka alivyouhadaa ULIMWENGU kwa kuviondoa VIKOSI 150,000 alivyoviweka mwezi mzima mipakani na kuvirudisha nchini kwake halafu akavirudisha IN FULL FORCE na kuanza mashambulizi kule DONBASS ,KYIV , MARIUPOL ,ODESSA na kwengineko.......
HAKIKA PUTIN NI MASTER [emoji1787]
Hakika...
Swadakta.....
Putin si JOE BIDEN π€£π€£
Vita imehamia huko.Sasa naamini Russia ni super power.anatoa masharti ,na yanatimizwa na NATO wote ,pamoja na USA. jamaa anarudi nyuma kwenye Yale majimbo yake ,ambayo pia alitoa shart yatambuliwe,na masharti yote yametimizwa .halafu mwamba anasepa kunywa ghahawa huku akitikisa mguu!!