Ukuraini ni jinga kabisa lini US ijitoe kusaidia nchi nyingine bila masilahi yake kwanza US hawezi kuingia kwenye vita ambayo Russia imo nayeye anaogopa uchumi wake kuanguka, katika hiyo vita aina mshindi walimpa kibri kafikiri watamsaidia masikini kaingia cha kike.Yaani tusababishe vita ya dunia kisa Ukraine ?Never. Ukraine wapambane tu kwenye uwanja wa vita. Sisi western tunamwekea vikwazo vya uchumi Urusi.