Ukraine: Mataifa ya magharibi yanatuangalia kwa mbali, njooni mtusaidie

Ukraine: Mataifa ya magharibi yanatuangalia kwa mbali, njooni mtusaidie

Nina wasiwasi sana na hii kauli kuna siku itatokea vita Ulaya na Nato watakula kona wakiona mziki mzito kwao. Nina wasiwasi sana kama member wa Nato angeshambuliwa wngekimbia pia
IPO kwenye mkataba kabisa,kuwa mwanachama yoyote akichokoza vita NATO haihusiki.
 
Anamakombala ambayo hayazuiliwi namitambo yoyote ss akilituma ni1 kwa 1 had USA au GERMAN au PARIS.
Ni kweli Urusi ina Nguvu kubwa Sana za Kijeshi Tena Sana. Lakini hawezi hata siku moja kuthubutu kutumia kombola la Nyuklia kwenye Vita. Kombola la Nyuklia ni kwa ajili ya Duterrence(Kutishia). Kinachosababisha mpaka Sasa NATO washindwe Kuingia vitani kuisaidia Ukraine ni kwasababu Russia ana Nyuklia Waepons ambazo zikitumika Basi NO WINNER,All are LOSSERS.


Urusi ina Makombora 7500 ya Nyuklia kwa takwimu za NIT. Makombora 2500 yako tayari kufyatuliwa kuelekea Endeo lolote Lile Duniani litakapotumwa. Marekani ina Miji mikubwa 358 na Majimbo 54. Kombora Moja linaugeuza mji kuwa Majivu kabisa. Kama Mrusi akituma Makombora yote 2500 kuelekea Marekani,Basi ndani ya dakika 30 hakutakuwa na USA Duniani.

Kwa Upande Mwingine,Marekani ina Makombora ya Nyuklia 6800. Kati ya hayo, 3500 yako tayari kufyatuliwa ndani ya Dakika 5 wakipokea Order na Direction ya kuyafurumusha. Urusi ina Miji mikubwa 43. Endapo USA akiona Russia kashatuma Makombora Yake kuelekea Marekani na hakuna jinsi Basi ndani ya Dakika 5, Makombora 3500 ya Marekani yatakuwa njiani kuelekea Urusi kuteketeza Miji 43,Ndani ya Nusu saa hakutakuwa na Urusi Tena. Hiyo inaitwa MUTUAL ASSURED DESTRUCTION(MAD).

Haya Sasa,Tuseme wewe ni Raisi wa Russia,utarusha hayo Makombora kuelekea Marekani au utafanya juhudi za majadiliano?

Mwishoni mwa Vita baridi kabisa (1988) Nchi za Marekani na Urusi Zilikuwa na Akiba ya Makombora 127,000 (Laki moja na elfu ishirini na Saba). Kati ya hayo, 58,000 ya Urusi na 69,000 ya USA. Embu fikilia. Kombora Moja linafuta mji mmoja wa Dar. Je,Dunia ina Miji 127,000? Jibu ni Hapana.

Kwahiyo ndugu yangu usiwe na tempa unapokuwa unachangia hizi maada,tumia Logic utaelewa tu.

Urusi na Marekani wanajuana,wakikutana Anga Furani Kila mmoja anaangalia Nani anamaslahi makubwa na anamwachia ili kuepusha Vita.

Georgia Mwaka 2008 Marekani hakuingiza mguu kusaidia Nchi hiyo dhidi ya Uvamizi wa Russia kwasababu Marekani anajua hapo Russia ana maslahi Makubwa.

Iraq mwaka 2001 Russia hakutia Mguu kwasababu Marekani alikuwa na Maslahi Makubwa.

Libya mwaka 2011 Russia hakutia Mguu kwasababu USA alikuwa na Maslahi Makubwa.

Venezuera Marekani aliogopa Msululu wa wakimbizi kumiminika nchini Marekani hata Kama angeliamua Vita Urusi angelipisha Coz pale ni Maslahi Makubwa ya kiusalama kwa USA.

Syria pale Wote Urusi na USA wanamaslahi na ndio maana mpaka Sasa wameigawana kijanja. Urusi inamhitaji Assad kwasababu Anamdai pesa ndefu. Marekani anahitaji Mafuta ndio maana mpaka leo Majeshi ya Marekani yapo Syria kulinda Visima vya Mafuta.

Kuhusu Ukraine,hata Marekani anajua kabisa Maslahi ya Urusi ni Makubwa kwahiyo lazima akae pembeni. Atashiriki tu kijanja lakini sio moja kwa moja.

MTz 255Dar.
 
Mekuelewa sana [emoji123][emoji123]

But all are predicted, mimi mwenye imani nasema hivi haya yote yatapita tuu IPO SIKU NA HAIPO MBALI si USA wala RUSIA
Na hizi siraha zinasubiria siku moja ya vita kuu duniani ambapo itapigwa kimwili na kiroho.

Haya mambo yapo ki spiritual zaidi kuliko tunavoona kimwili

TUENDELEE KUMWOMBA MUNGU BILA KUKOMA

Sent from my HTC_M9e using JamiiForums mobile app
 
Kabla ya kusikiliza marafiki. Inabidi ufikirie kwanza Sio kila kitu unasema Yes. Sasa Putin anamletea wa Chechinia. Lengo la Putin ni kumuondoa huyu Rais aliepo. Tena Putin anawashauri wanajeshi Ukraine wafanye coup d'état. Jirani alie karibu ni bora kuliko rafiki alie mbali. Alitakiwa amsikilize Putin na si Biden.
Nimeipenda gia yako ya angani, naona umeanza kuelewa siasa za NATO,USA na Urusi...Hapo Ukrane ni mhanga tu.

Kingine yule Rais ni mchanga wa siasa na Propaganda za USA na NATO, mtu katoka kuchekesha kwenye tv hadi kuwa Rais ni bahati tu...

NATO walimteka mazima nae akajaa... Hakutumia ule msemo wa wahenga kuwa za kuambiwa Changanya na zako...
 
Nimeipenda gia yako ya angani, naona umeanza kuelewa siasa za NATO,USA na Urusi...Hapo Ukrane ni mhanga tu.

Kingine yule Rais ni mchanga wa siasa na Propaganda za USA na NATO, mtu katoka kuchekesha kwenye tv hadi kuwa Rais ni bahati tu...

NATO walimteka mazima nae akajaa... Hakutumia ule msemo wa wahenga kuwa za kuambiwa Changanya na zako...
Gia ipi ya angani?Mimi huwa nadiscuss idea. Sina upande.
 
I'm not a war monger neither Vova fun...

But the man is exceptional..

Screenshot_20211005_084010.jpg
 
Weeeew! Weeee ewe hayo MAKOMBORA YA MRUSI usiombe, yakifyatuliwa yatapiga mpk KIBAHA MAILI 1 na NGARAMTONI
Mkuu unanikumbusha - Mjumbe wa Kenya kajitutumua kulaumu Urusi - kaambulia nchi yake kufananishwa na mtoto anayetikisa mbuyu akaishia kuchezesha makalio yake tu.
 
kawaida na Mataifa yenye nguvu yanachochea ugomvi ukijichangaya wenyewe wanakaa pembeni hapo msishangae vita kuja kuisha kila kitu kimeshachukuliwa ...

nyie pambaneni acheni kuhanya hanya
 
JUST IN - German Defense Minister Lambrecht fears #Putin is no longer afraid of attacking NATO partners.

Lambrecht: "He is not predictable at all right now."
 
Ni kweli Urusi ina Nguvu kubwa Sana za Kijeshi Tena Sana. Lakini hawezi hata siku moja kuthubutu kutumia kombola la Nyuklia kwenye Vita. Kombola la Nyuklia ni kwa ajili ya Duterrence(Kutishia). Kinachosababisha mpaka Sasa NATO washindwe Kuingia vitani kuisaidia Ukraine ni kwasababu Russia ana Nyuklia Waepons ambazo zikitumika Basi NO WINNER,All are LOSSERS.


Urusi ina Makombora 7500 ya Nyuklia kwa takwimu za NIT. Makombora 2500 yako tayari kufyatuliwa kuelekea Endeo lolote Lile Duniani litakapotumwa. Marekani ina Miji mikubwa 358 na Majimbo 54. Kombora Moja linaugeuza mji kuwa Majivu kabisa. Kama Mrusi akituma Makombora yote 2500 kuelekea Marekani,Basi ndani ya dakika 30 hakutakuwa na USA Duniani.

Kwa Upande Mwingine,Marekani ina Makombora ya Nyuklia 6800. Kati ya hayo, 3500 yako tayari kufyatuliwa ndani ya Dakika 5 wakipokea Order na Direction ya kuyafurumusha. Urusi ina Miji mikubwa 43. Endapo USA akiona Russia kashatuma Makombora Yake kuelekea Marekani na hakuna jinsi Basi ndani ya Dakika 5, Makombora 3500 ya Marekani yatakuwa njiani kuelekea Urusi kuteketeza Miji 43,Ndani ya Nusu saa hakutakuwa na Urusi Tena. Hiyo inaitwa MUTUAL ASSURED DESTRUCTION(MAD).

Haya Sasa,Tuseme wewe ni Raisi wa Russia,utarusha hayo Makombora kuelekea Marekani au utafanya juhudi za majadiliano?

Mwishoni mwa Vita baridi kabisa (1988) Nchi za Marekani na Urusi Zilikuwa na Akiba ya Makombora 127,000 (Laki moja na elfu ishirini na Saba). Kati ya hayo, 58,000 ya Urusi na 69,000 ya USA. Embu fikilia. Kombora Moja linafuta mji mmoja wa Dar. Je,Dunia ina Miji 127,000? Jibu ni Hapana.

Kwahiyo ndugu yangu usiwe na tempa unapokuwa unachangia hizi maada,tumia Logic utaelewa tu.

Urusi na Marekani wanajuana,wakikutana Anga Furani Kila mmoja anaangalia Nani anamaslahi makubwa na anamwachia ili kuepusha Vita.

Georgia Mwaka 2008 Marekani hakuingiza mguu kusaidia Nchi hiyo dhidi ya Uvamizi wa Russia kwasababu Marekani anajua hapo Russia ana maslahi Makubwa.

Iraq mwaka 2001 Russia hakutia Mguu kwasababu Marekani alikuwa na Maslahi Makubwa.

Libya mwaka 2011 Russia hakutia Mguu kwasababu USA alikuwa na Maslahi Makubwa.

Venezuera Marekani aliogopa Msululu wa wakimbizi kumiminika nchini Marekani hata Kama angeliamua Vita Urusi angelipisha Coz pale ni Maslahi Makubwa ya kiusalama kwa USA.

Syria pale Wote Urusi na USA wanamaslahi na ndio maana mpaka Sasa wameigawana kijanja. Urusi inamhitaji Assad kwasababu Anamdai pesa ndefu. Marekani anahitaji Mafuta ndio maana mpaka leo Majeshi ya Marekani yapo Syria kulinda Visima vya Mafuta.

Kuhusu Ukraine,hata Marekani anajua kabisa Maslahi ya Urusi ni Makubwa kwahiyo lazima akae pembeni. Atashiriki tu kijanja lakini sio moja kwa moja.

MTz 255Dar.
Tuambie kwa nini USA alishindwa kuivamia Venezuera, sababu ya wakimbizi wengi Haina mashiko.

Tuambie kwa nini USA alishindwa kumtoa Assad , maana ndio lilikuwa lengo na kabakia kushikilia vieneo vidogo mno
Halafu tueleze kwa nini hakushindwa hiyo vita.

Hata Sadam kosa lake lilikuwa kigeu geu kwa Urusi.

Libya haikuomba msaada lakini pia waliingia na kigezo Cha kusaidi binadamu kumbe wanasambaza siraha

Tupe Sasa sehemu aliyoingia Russia halafu Mmarekani akazuia
 
Haya tuambie Libya alimvamia member Gani wa Nato mpaka akapigwa vile na kuwatia kwenye madeni
Libya ni UN ilipigwa kura. Na kipindi hicho Putin hakuwa Rais. Iam Sure Putin angekuwa Rais angeweka veto yake pale na Libya isingevamiwa. Hata sasa UN wana uwezo wa kuitisha kura ila sema si US wala EU wala Uk anaetaka kwenda kupigana dhidi ya Russia. Maana hawataki vita ya dunia. Tokea 1939 hadi 2022 teknolojia imekuwa sana. Watu wana silaha za kuua dunia nzima. Watu hawataki vita ya dunia. C'est la Russie en face,ce n'est pas n'importe qui. Russia is not Libya.
 
Back
Top Bottom