Ukraine: Mataifa ya magharibi yanatuangalia kwa mbali, njooni mtusaidie

Ukraine: Mataifa ya magharibi yanatuangalia kwa mbali, njooni mtusaidie

Kuna mmoja aliandika jana eti mataifa kama Russia ni haki na halali yawepo ili ^kubalansi shobo^ za Mmarekani! I can't agree more! 🙂
Kwan umelazimishwa kuamini? Najua wewe ni pro US tulia dawa iingie blaza Putin yupo bize anagawa makonzi kwanza kwa dogo jeuri.
 
Back
Top Bottom