Nkerebhuke
JF-Expert Member
- Nov 1, 2021
- 796
- 2,026
Kufuatia uvumizi wa urusi ndani ya ardhi ya jirani yake ukraine dunia imeshuudia kwa mara nyingine sura halisi ya uzalendo na uwezo wa watu kulinda uhuru wao. Kwa sababu zake mwenyewe wengi walitarajia compaign ya babu putin ingeweza kufanikiwa mapema ikizingatia uwezo wa jeshi lake katika nyanja zote za medani ila hali imekuwa tofauti maana ni mwezi sasa vikosi vyake vinahonja juice chungu ya wanaume wazalendo walioamua kufa wakiilinda nchi yao
Kwa vijana ambao hawajasoma historia kwa mapana yake Russia chini ya Stalin aliwahi kutuma jeshi lake kuvamia kitaifa kidogo cha Finland alichokutana nacho mpaka sasa hawezi kusimulia maana alichapika kwelikweli, niwaambie kuwa na jeshi kubwa ni jambo moja ila kwenye uwanja wa medani ( battle field) ni kitu kingine kwani ndani ya miezi mitatu warusi ( wajamaa wenzetu) walichakazwa na jeshi dogo lilojaa wakulima lakini shupavu na hodari. Kuna mtu anaitwa simo hayha au white death anatajwa kuwa sniper hatari zaidi kuwahi kutokea duniani, jamaa aliwafyeka sana wasocialist sio mchezo.
Kuna vijana wengi wako sympathetic na ukraine kuwa ni bora angejisalimisha kwa putini badala ya kutinisha misuli dhidi ya mbabe ni ukweli wengi hawajui maana halisi ya uzalendo zaidi ya kusoma na kusikia kwa wanasiasa wetu wakitafuta mtaji wa siasa.
Licha ya kuzidiwa kila kitu na urusi bado watu wa Ukraine wanasababu ya kupigania nchi yao dhidi ya uvamizi wowote ule kama ambayo wanatoa mechi ngumu kwa majeshi dhaifu ya babu putin, najua kuna watu watapinga ila ukraine wanakitu ambacho russia hana nacho ni morale na uhodari ndani ya uwanja wa medani. Ukraine wameshinda maeneo muhimu yaani morale victory na propaganda na ndio maana hawakupunic baada ya kuvamia wamesimama na kupambania ardhi yao.
Russia historically inakabiliwa na nidhamu ya uoga kutokana na ucommunist ambao msingi wake nikuwafanya watu kuwa humble submissive kwa viongozi wao hili lipo hata kwetu tz kwa waswahili. Hata kwenye vita ya pili ya dunia warusi walikufa sana sababu ya top down decision making yaani Rais akiakiamua amemaliza hata kama taarifa zinaonesha kuna mtego, rejea Stalin alipuuza taarifa za kijasusi kuwa Hitler angevamia kilichotokea ni historia mpaka leo.
Wepiganaji wa ukraine na mercenaries wameonesha weledi kwenye uwanja wa medani kwani mpaka sasa urusi hajafanya significant advance zaidi ya kurusha makombora akiwa mbali maana kwenye ground ni mchumba tu anatomaswa tomaswa na St javelin. Analyst wengi wanafanya speculation kuwa mfumo wa utawala wa uongozi umeoza au hawakujipanga vizuri na mission. Wanajiuliza inakuaje wanashindwa kuwa simple logistics kama mafuta ya kutosha ili kunywesha vifaru na magari. Kitu kingine ukraine wamefanya nikuwapa junior officers kufanya maamuzi badala ya kusubili wakubwa wao. Kuharibu supply line kumewatesa vijana wa Putin kwa aibu wengine wameonekana wakiiba kuku na chakulu kwenye supermarket.
Wanaodhani Russia ni super power anaweza kushindana na mabeberu alete fact kwenye uwezo wa Russia umeonekana wazi na mbinu za kizembe
Kwa vijana ambao hawajasoma historia kwa mapana yake Russia chini ya Stalin aliwahi kutuma jeshi lake kuvamia kitaifa kidogo cha Finland alichokutana nacho mpaka sasa hawezi kusimulia maana alichapika kwelikweli, niwaambie kuwa na jeshi kubwa ni jambo moja ila kwenye uwanja wa medani ( battle field) ni kitu kingine kwani ndani ya miezi mitatu warusi ( wajamaa wenzetu) walichakazwa na jeshi dogo lilojaa wakulima lakini shupavu na hodari. Kuna mtu anaitwa simo hayha au white death anatajwa kuwa sniper hatari zaidi kuwahi kutokea duniani, jamaa aliwafyeka sana wasocialist sio mchezo.
Kuna vijana wengi wako sympathetic na ukraine kuwa ni bora angejisalimisha kwa putini badala ya kutinisha misuli dhidi ya mbabe ni ukweli wengi hawajui maana halisi ya uzalendo zaidi ya kusoma na kusikia kwa wanasiasa wetu wakitafuta mtaji wa siasa.
Licha ya kuzidiwa kila kitu na urusi bado watu wa Ukraine wanasababu ya kupigania nchi yao dhidi ya uvamizi wowote ule kama ambayo wanatoa mechi ngumu kwa majeshi dhaifu ya babu putin, najua kuna watu watapinga ila ukraine wanakitu ambacho russia hana nacho ni morale na uhodari ndani ya uwanja wa medani. Ukraine wameshinda maeneo muhimu yaani morale victory na propaganda na ndio maana hawakupunic baada ya kuvamia wamesimama na kupambania ardhi yao.
Russia historically inakabiliwa na nidhamu ya uoga kutokana na ucommunist ambao msingi wake nikuwafanya watu kuwa humble submissive kwa viongozi wao hili lipo hata kwetu tz kwa waswahili. Hata kwenye vita ya pili ya dunia warusi walikufa sana sababu ya top down decision making yaani Rais akiakiamua amemaliza hata kama taarifa zinaonesha kuna mtego, rejea Stalin alipuuza taarifa za kijasusi kuwa Hitler angevamia kilichotokea ni historia mpaka leo.
Wepiganaji wa ukraine na mercenaries wameonesha weledi kwenye uwanja wa medani kwani mpaka sasa urusi hajafanya significant advance zaidi ya kurusha makombora akiwa mbali maana kwenye ground ni mchumba tu anatomaswa tomaswa na St javelin. Analyst wengi wanafanya speculation kuwa mfumo wa utawala wa uongozi umeoza au hawakujipanga vizuri na mission. Wanajiuliza inakuaje wanashindwa kuwa simple logistics kama mafuta ya kutosha ili kunywesha vifaru na magari. Kitu kingine ukraine wamefanya nikuwapa junior officers kufanya maamuzi badala ya kusubili wakubwa wao. Kuharibu supply line kumewatesa vijana wa Putin kwa aibu wengine wameonekana wakiiba kuku na chakulu kwenye supermarket.
Wanaodhani Russia ni super power anaweza kushindana na mabeberu alete fact kwenye uwezo wa Russia umeonekana wazi na mbinu za kizembe