Ukraine na uwezo wa medani waishangaza dunia

Ukraine na uwezo wa medani waishangaza dunia

Kuna baadhi ya miji warusi waliingia sasa hivi wanatanani kutoka ila hata hivyo njia ya kutoka nayo ni ngumu.
Utatuma je vifaru na magari ya kijeshi yakiwa yamesheheni wanajeshi bila kupiga mahesabu ya plan B?
Russia waliingia na plan yao A kwamba wanachukua nchi ndani ya mda mchache.
Hawakufikiri ikiwa hiyo plani itafeli nini kitachukua nafasi. Ndio huko sasa unasikia wameishiwa mafuta na chakula. Hata kama urusi itatuma makombora ya mbali kuharibu majengo ya miji kama wanavyofanya ni jambo gumu kwa jeshi la ardhini kuingia mjini kupora matumizi maana inalindwa na wazalendo walio apa kufa wakilinda haki ya hati miliki ya taifa lao.
Sasa imebaki mjini hakuingiliki, nyumbani hakurudiki.
Uzalendo unajengwa moyoni ukraine wametuonesha, kuvumilia mashumbilizi ya urusi sio mchezo, air siren zinatisha, wazee wetu walioshiriki vita ya kegera wanasimulia mziki wa BM 106 sio mchezo majeshi ya amini yalikimbia hovyohovyo, miscalculation ya babu putin ime cost Maisha ya vijana wake wamekatiwa supply, yaana wanachapwa tu kama watoto wadogo zaidi anafanya destruction kwa bombardment ila vijana wamekaza
 
Kwani nawe umepata ajira kuwa propaganda machine ya waukrain Kwa mgongo wa Nato au ni mzalendo wa Ukraine ya bongo.?
Acha utoto basi nimekujibu vizuri kuwa propaganda ni silaha ndani ya uwanja wa vita unaleta personal attach maana yake nini kaka
 
Hiyo vita ni NATO+UCRANE vs RUSIA.
NATO Huwa hawashindi,
Tulia uone!!
Rejea mikwala ya putini kuwa atakaeingilia operation yake ataangamizwa , vipi mabeberu yanatuma silaha kama kawaida na hafanyi lolote, kama hujui urusi ni taifa la watu waoga Sana, kipindi cha vita ya pili ya dunia walikufa sana maama maelfu walijisalimisha kwa majeshi Hitler wakafanya watumwa, urusi walianzisha sheria ya kuua yoyote angekataa kusonge mbele hata vijana wengi walipigwa chuma, angalia jinsi convoy zao zime stall hazisongi mbele wanaogopa moto.
 
Endeleeni kujidanganya ngoja Mrusi asafishe ghala kwanza Akianza mtarudi apa kulia lia
 
Endeleeni kujidanganya ngoja Mrusi asafishe ghala kwanza Akianza mtarudi apa kulia lia
Point yangu ni uwezo wa medani ambao ukraine wametuonesha, point ni national spirit yaani watu kuwa na uchungu na taifa lao. Ni kweli kuwa Russia amemzidi vitu kalibu vyote ukraine lakini kwenye hii vita Russia ametepeta mpaka anafanya uharibifu wote huo, hata kama weye ni shabiki wa putini babu yako ameonekana insane coz ameharibu Maisha ya jirani yake hii chuki hataisha kirahisi ipo siku waukraine watalipa kisasi
 
kwa miji ilivyo geuzwa kifusi namna ile? utafikiri ukraine imepigwa na garika la sodoma na gomola
Huwezi kamwe ukashinda vita kwa kutegemea mashambulizi ya anga tu, bila kuwa na mikakati mizuri ya ardhini, anachofanya putin ni uharibu tu hasa kwenye mji huo wa bandari.Kwani upinzani anaokutana nao hakuutegemea , na jinsi vita inavyozidi kuchukua muda mrefu na gharama pia zinaongezeka,
 
Ila tu ukraine tumekaza...hivi uzalendo huo sisi tunaweza kuwa nao kweli?
Sio kitu rahisi uzalendo hauji kama miujiza unajengwa katika misingi yake, uzalendo ni pedagogical process hivyo kuna watu wataelewa na wengine lazima watabaki nyuma. Misingi inajengwa kuanzia nyumbani mpaka kwenye taasisi zote za elimu na hudumu. Kuna jambo moja liliwahi kunishangaza kuona mafundi wanafukia mifuko ya saruji wakijenga shule kisa wanataka kupumzika. Nchini kwetu uzalendo upo kwa kiasi flani lakin wengi tunakabiliwa na nidhamu ya uoga , hatuna uchungu na nchi yetu tumeacha kikundi kidogo kiamue kwa ajiri yetu
 
Nakubali vita vya ardhini ni vigumu na ndo maana marekani ilipigika miaka 20 afghanistan. Kwanza kumbuka hii sio vita ni ops ingekuwa vita ukraine ingetekwa ndani ya wiki tu maana kusengekuwa na kujari cha raia wala cha nani bomber jet zingekuwa zinamwa ground attack bomb bila kujari nani yupo chini
img_1_1647651064537.jpg

Huwezi kamwe ukashinda vita kwa kutegemea mashambulizi ya anga tu, bila kuwa na mikakati mizuri ya ardhini, anachofanya putin ni uharibu tu hasa kwenye mji huo wa bandari.Kwani upinzani anaokutana nao hakuutegemea , na jinsi vita inavyozidi kuchukua muda mrefu na gharama pia zinaongezeka,
 
Nakubali vita vya ardhini ni vigumu na ndo maana marekani ilipigika miaka 20 afghanistan. Kwanza kumbuka hii sio vita ni ops ingekuwa vita ukraine ingetekwa ndani ya wiki tu maana kusengekuwa na kujari cha raia wala cha nani bomber jet zingekuwa zinamwa ground attack bomb bila kujari nani yupo chiniView attachment 2163156
Mwanangu unaonekana mbishi lakini content zako bado chache, Russia aliwahi kuikalia ardhi ya afighanistan kwa miaka tisa baadae yakuona hapati faida zaidi ya hasara kama kupoteza vijana akaamua kuondoka na hata kwenye battle field alipondwa vizuri, hata beberu alichapika vizuri tu kwenye uwanja wa Vietnam, tatizo lako ushabiki umekuzidi kila kitu unaleta ushabiki
 
Nakubali vita vya ardhini ni vigumu na ndo maana marekani ilipigika miaka 20 afghanistan. Kwanza kumbuka hii sio vita ni ops ingekuwa vita ukraine ingetekwa ndani ya wiki tu maana kusengekuwa na kujari cha raia wala cha nani bomber jet zingekuwa zinamwa ground attack bomb bila kujari nani yupo chiniView attachment 2163156
Eti operation?!!ulishawahi kuona wapi vita ya namna hiyo?!!ya kutaka kuua kila kiumbe kilichoko ardhini, hata kama ni vita kuna sheria za kimataifa zinaangaliwa, ukiamua kufanya hivyo dunia haiwezi kukuangalia tu, hata sasa Urusi akisema atumie nyuklia, au silaha nyingine za kibailojia NATO, hawatakubali kwani madhara yake lazima yatavuka mikapa na kuingia nchi kama poland, slovakia, na bulgaria, hata leo katibu mkuu wa NATO, ameonya hilo.

Kwani inavyoonekana sasa putin anaweza kutaka kutumia hizo silaha, NATO, wameapa kuendelea kumsaidia silaha, na zinamsaidia sana.
 
Eti operation?!!ulishawahi kuona wapi vita ya namna hiyo?!!ya kutaka kuua kila kiumbe kilichoko ardhini, hata kama ni vita kuna sheria za kimataifa zinaangaliwa, ukiamua kufanya hivyo dunia haiwezi kukuangalia tu, hata sasa Urusi akisema atumie nyuklia, au silaha nyingine za kibailojia NATO, hawatakubali kwani madhara yake lazima yatavuka mikapa na kuingia nchi kama poland, slovakia, na bulgaria, hata leo katibu mkuu wa NATO, ameonya hilo.
Kwani inavyoonekana sasa putin anaweza kutaka kutumia hizo silaha, NATO, wameapa kuendelea kumsaidia silaha, na zinamsaidia sana.
St javelin zinaponda sana vifaru vyao
 
Point yangu ni uwezo wa medani ambao ukraine wametuonesha, point ni national spirit yaani watu kuwa na uchungu na taifa lao. Ni kweli kuwa Russia amemzidi vitu kalibu vyote ukraine lakini kwenye hii vita Russia ametepeta mpaka anafanya uharibifu wote huo, hata kama weye ni shabiki wa putini babu yako ameonekana insane coz ameharibu Maisha ya jirani yake hii chuki hataisha kirahisi ipo siku waukraine watalipa kisasi
Na ameshaambiwa pesa zote za URUSI, na matajiri wake, zilizozuiliwa nchi mbalimbali dunia ndizo zitatumika kuijenga upya ukraine!hahaaa
Usicheze na wazee wa fitina
 
E bwana hicho ki silaha ukikiona utadhania cha kipuuzi, kumbe ni balaaa!!yaani kifaru kinaharibiwa utadhania kimeundwa kwa mabox!!
Hahaha kina sura mbaya lakini maajabu yake sio mchezo, harafu kina camera inaona usiku mpaka 4kilometre, yaani ukijificha unabondwa tu
 
Atakapokubali kushindwa na nchi ipo total destroyed..uje tena na bandiko lingine la kumponda kwa kufanywa jinga na westerns
 
Back
Top Bottom