Ukraine na uwezo wa medani waishangaza dunia

Ukraine na uwezo wa medani waishangaza dunia

Bado URUSI hajatangaza Vita lakini Tayari Zelensky keshaomba Msaada kila pande ya Dunia!
Leo watu Wamagharibi wanataka Sisi watu Weusi tuwaunge mkono kuinyanyasa URUSI!
Ulaya na Marekani wanaipa msaada Ukraine wa kila kitu ili kuidhibiti hii Operation ya kijeshi!
Lakini watu wanazidi kuikimbia Nchi yao,Rais wao yuko desperate!

Mungu aepushie mbali isitokee URUSI akatangaza VITA na Ukraine pamoja na Washirika wao!
Huko Ulaya kutageuka Majivu.
Hakutakuwa na Mshindi.
Dunia itakuwa ngumu sana kuishi.
Operation ya kijeshi imeshashindwa ndani ya time frame.Tusubiri vita kamili.
Operation ya Aibu.
 
Kwa propaganda Ukraine ameshinda vita, ila ukweli rais Zelensky anaujua, maana anapata daily briefing ya nchi yake.

Usione mtu analia, anaomba maongezi, anailaumu Nato na kuitaka dunia tumsaidie. Watu milion 10 wemekimbia nchi, je baada ya miezi 2 itakuaje?

Mji wa mariupol zimebaki gofu tu, je baada ya siku 90 hali itakuaje? Tuache ushabiki maandazi.
 
Hii mbinu waliitumia hata waingereza, wanaweka vifaru fake kuzitega ndege Germany maana zilikuwa hatari zana pilot wake walikuwa trained kwelikweli, Germany hatajwi lakini hawa jamaa wakiamua kulejenga jeshi lao niwadeadly balaa
Kutokana na hii kesi ya Ukraine. Kuna mataifa nimeona ni tishio ktk medani ya vita, na hawasemwi kiviiiile.

1. UK
2. France
3. German

Endapo kusingekuwa na Nuclear, Russia hawezi kufua dafu ktk battle na hawa jamaa.
 
Achana ni hizi mzee baba kuna uzi jamaa kaandika kuwa zama za vifaru zimefika mwisho maana vinakaangwa sio mchezo, technical specifications zake ni habari nyingine, yaani ni automatic ukichungulia tu ukipata target ukapiga imo
Hapo ndio ujue kati ya silaha za Marekani na Russia ni zipi zipo effectives kwenye really war na sio kwenye mapicha na mdomoni.
 
Kutokana na hii kesi ya Ukraine. Kuna mataifa nimeona ni tishio ktk medani ya vita, na hawasemwi kiviiiile.

1. UK
2. France
3. German

Endapo kusingekuwa na Nuclear, Russia hawezi kufua dafu ktk battle na hawa jamaa.
Umemsahau Mjapani,huyo ni kwere aiseee
 
Kutokana na hii kesi ya Ukraine. Kuna mataifa nimeona ni tishio ktk medani ya vita, na hawasemwi kiviiiile.

1. UK
2. France
3. German

Endapo kusingekuwa na Nuclear, Russia hawezi kufua dafu ktk battle na hawa jamaa.
Russia sio hao tuu,bali hata Finland na Poland wanamtoa kamasi.
 
Hapo ndio ujue kati ya silaha za Marekani na Russia ni zipi zipo effectives kwenye really war na sio kwenye mapicha na mdomoni.
Nimeanza kupata wasiwasi juu ya uwezo wa zile s300, s400 n.k yamkini hizi sio effectively kama patriot au THAAD
 
Kuna baadhi ya miji warusi waliingia sasa hivi wanatanani kutoka ila hata hivyo njia ya kutoka nayo ni ngumu.
Utatuma je vifaru na magari ya kijeshi yakiwa yamesheheni wanajeshi bila kupiga mahesabu ya plan B?
Russia waliingia na plan yao A kwamba wanachukua nchi ndani ya mda mchache.

Hawakufikiri ikiwa hiyo plani itafeli nini kitachukua nafasi. Ndio huko sasa unasikia wameishiwa mafuta na chakula. Hata kama urusi itatuma makombora ya mbali kuharibu majengo ya miji kama wanavyofanya ni jambo gumu kwa jeshi la ardhini kuingia mjini kupora matumizi maana inalindwa na wazalendo walio apa kufa wakilinda haki ya hati miliki ya taifa lao.

Sasa imebaki mjini hakuingiliki, nyumbani hakurudiki.
Mimi ni team Zelensky ingekua unachosema ni kweli, basi hao wanajeshi wote wangeuawa. Nato wametugeuka, tumeomba no fly zone wanetunyima, tumeomba majeshi yao yaingie wametukatalia. Urusi mpaka leo wameikalia Ukraine kama nchi yao.. raia ndio wanageuka wakimbizi.
 
Kuna baadhi ya miji warusi waliingia sasa hivi wanatanani kutoka ila hata hivyo njia ya kutoka nayo ni ngumu.
Utatuma je vifaru na magari ya kijeshi yakiwa yamesheheni wanajeshi bila kupiga mahesabu ya plan B?
Russia waliingia na plan yao A kwamba wanachukua nchi ndani ya mda mchache.

Hawakufikiri ikiwa hiyo plani itafeli nini kitachukua nafasi. Ndio huko sasa unasikia wameishiwa mafuta na chakula. Hata kama urusi itatuma makombora ya mbali kuharibu majengo ya miji kama wanavyofanya ni jambo gumu kwa jeshi la ardhini kuingia mjini kupora matumizi maana inalindwa na wazalendo walio apa kufa wakilinda haki ya hati miliki ya taifa lao.

Sasa imebaki mjini hakuingiliki, nyumbani hakurudiki.
Sure! Ndege na makombora hayawezi kuteka mji!
Wanaoteka na kukalia mji na vijiji ni Askari wa miguu[emoji123][emoji106]
 
Bado URUSI hajatangaza Vita lakini Tayari Zelensky keshaomba Msaada kila pande ya Dunia!
Leo watu Wamagharibi wanataka Sisi watu Weusi tuwaunge mkono kuinyanyasa URUSI!
Ulaya na Marekani wanaipa msaada Ukraine wa kila kitu ili kuidhibiti hii Operation ya kijeshi!
Lakini watu wanazidi kuikimbia Nchi yao,Rais wao yuko desperate!

Mungu aepushie mbali isitokee URUSI akatangaza VITA na Ukraine pamoja na Washirika wao!
Huko Ulaya kutageuka Majivu.
Hakutakuwa na Mshindi.
Dunia itakuwa ngumu sana kuishi.
Pro Putin mnajua kujipa moyo😀
 
Propaganda zinafanywa na ulaya na USA .hao Ukraine target ya kwanza ni kuwaondolea hata hiyo nguvu ya propaganda,angalia riport ni za upande mmoja wa Ukraine,Tena zilizo chanya zaidi.[emoji125]
Hamjazuiwa kufanya propaganda, vita ni propaganda ili wanajeshi wasife moyo
 
Ni kweli ndugu, ukraine anapata back up ya mabeberu , but these men have strong balls, Russia in its military power amepata casaulities wengi Russia mwenyewe amethibitisha
Urusi hana kitu hata angekuja Tz tungempiga
 
Back
Top Bottom