Ukraine na uwezo wa medani waishangaza dunia

Ukraine na uwezo wa medani waishangaza dunia

Sera za ujamaa ziliwaharibu Sana, the are humble submissive to the leader's ignorance, never Russia hawezi ku battle na mabeberu. Mabeberu ni compitetive in nature
Leo nilikuwa naangalia Aljazeera,watu wa Ukraine wanaapa kamwe hawataki kusikia swala la Ukomunist tena kwao,wanasema maisha magumu walliyoishi wazazi wao yanatosha.Wameshaonja ladha ya maisha ya kibepari uje utake tena kuwarudisha kwenye maisha ya Ujamaa,ndiyo maana wameamua kusimama kidete kujitetea.
 
Miji ya Ukraine imepangiliwa vizuri sana aisee, kweli sisi kwetu huku ni uchafu tu...wataalamu jifunzeni vitu uko sio kushangilia vita tu
 
Ukraine ikiendelea kuharibiwa soon Utasikia Mariupol republican.ila ukisikiliza west media utafiriki kwamba waukraine wanawamudu warusia.View attachment 2163912
Screenshot_20220325-131044.jpg
 
Kutokana na hii kesi ya Ukraine. Kuna mataifa nimeona ni tishio ktk medani ya vita, na hawasemwi kiviiiile.

1. UK
2. France
3. German

Endapo kusingekuwa na Nuclear, Russia hawezi kufua dafu ktk battle na hawa jamaa.
Hao wote walishapigwagwa na warussia sijui hamsomi historia au nini France vita ya Napoleon na German ww2.
 
Kutokana na hii kesi ya Ukraine. Kuna mataifa nimeona ni tishio ktk medani ya vita, na hawasemwi kiviiiile.

1. UK
2. France
3. German

Endapo kusingekuwa na Nuclear, Russia hawezi kufua dafu ktk battle na hawa jamaa.
Hii Vita huyu Napoleon alipigwa vibaya na warusi wakati huo kashavamia nchi nyingi za ulaya
Screenshot_20220325-133254.jpg
 
Miji ya Ukraine imepangiliwa vizuri sana aisee, kweli sisi kwetu huku ni uchafu tu...wataalamu jifunzeni vitu uko sio kushangilia vita tu
Ukiangalia jinsi viwanja vinavyopimwa huku Dodoma, utafukuza kazi hawa watu wa mipango mji, ni ujinga mtupu.
 
Hiyo vita usiichukulie kirahisi hivyo
Bila Nato huyo zelensky aishatoka kitambo,na Russia atashinda tu mark my words,ni muda tu..
Russian wanakwenda kuaibika hii vita, kwa ground anachapika sawa sawa, jeshi lake halina morali kabisa....Operation maalum ishafika mwezi sasa......ahhahha.
 
Kuna baadhi ya miji warusi waliingia sasa hivi wanatanani kutoka ila hata hivyo njia ya kutoka nayo ni ngumu.
Utatuma je vifaru na magari ya kijeshi yakiwa yamesheheni wanajeshi bila kupiga mahesabu ya plan B?
Russia waliingia na plan yao A kwamba wanachukua nchi ndani ya mda mchache.

Hawakufikiri ikiwa hiyo plani itafeli nini kitachukua nafasi. Ndio huko sasa unasikia wameishiwa mafuta na chakula. Hata kama urusi itatuma makombora ya mbali kuharibu majengo ya miji kama wanavyofanya ni jambo gumu kwa jeshi la ardhini kuingia mjini kupora matumizi maana inalindwa na wazalendo walio apa kufa wakilinda haki ya hati miliki ya taifa lao.

Sasa imebaki mjini hakuingiliki, nyumbani hakurudiki.
Jamaa wanachapika kweli kweli.
 
Kuna baadhi ya miji warusi waliingia sasa hivi wanatanani kutoka ila hata hivyo njia ya kutoka nayo ni ngumu.
Utatuma je vifaru na magari ya kijeshi yakiwa yamesheheni wanajeshi bila kupiga mahesabu ya plan B?
Russia waliingia na plan yao A kwamba wanachukua nchi ndani ya mda mchache.

Hawakufikiri ikiwa hiyo plani itafeli nini kitachukua nafasi. Ndio huko sasa unasikia wameishiwa mafuta na chakula. Hata kama urusi itatuma makombora ya mbali kuharibu majengo ya miji kama wanavyofanya ni jambo gumu kwa jeshi la ardhini kuingia mjini kupora matumizi maana inalindwa na wazalendo walio apa kufa wakilinda haki ya hati miliki ya taifa lao.

Sasa imebaki mjini hakuingiliki, nyumbani hakurudiki.
Russia hakujifunza vema kwenye vita yake na Afghanistan na Ile vita na Chechinia, ukiangalia wanajeshi wa Russia Ile molali ya kupigana inawaisha kwasababu Raia wa pande Mbili ni kama ndugu, Putin alikalculate kuiteka Ikulu ya Ukraine ndani ya masaa 48 ila Kwa Sasa haamini, pamoja na Russia kutumia vema anga ila ardhini wanapata tabu sana
 
Sera za ujamaa ziliwaharibu Sana, the are humble submissive to the leader's ignorance, never Russia hawezi ku battle na mabeberu. Mabeberu ni compitetive in nature

A joke from Moscow: "According to Putin the special military operation is really a conflict btw Russia and NATO about World dominance. Whats the situation now?" "Russia has lost 15000 troops, 6 generals, 500 tanks, 3 ships, 100 planes and 1000 trucks. NATO hasn't arrived yet."
 
Watanzania wasivyokuwa na kazi basi vijiweni wamefanya vita ya Urusi na Ukraine kuwa ushabiki wa Yanga na Simba. Hivi hamuwezi kupata kitu cha kufanya? Mbona methali inayosema "ndugu wakigombana chukuwa jembe ukalime" ni yetu sisi Waswahili?
 
Russia hakujifunza vema kwenye vita yake na Afghanistan na Ile vita na Chechinia, ukiangalia wanajeshi wa Russia Ile molali ya kupigana inawaisha kwasababu Raia wa pande Mbili ni kama ndugu, Putin alikalculate kuiteka Ikulu ya Ukraine ndani ya masaa 48 ila Kwa Sasa haamini, pamoja na Russia kutumia vema anga ila ardhini wanapata tabu sana
Wameachwa na kuingia kwenye miji na sasa wamezungukwa wanapokea kichapo hawawezi toka hii battle.

IMG_20220325_233647.jpg
 
Back
Top Bottom