Ukraine na uwezo wa medani waishangaza dunia

Ukraine na uwezo wa medani waishangaza dunia

Mm sijui kuhusu hypersonic wew unaongelea supersonic kaa kwa kutulia Kam vp kaingilie mzozo tukuone
Kwa hiyo hizo hypersonic ni za enzi za Cold war? Mara ngapi Putin anatoa mikwara mbuzi ya yeyote atakaesaidia Ukraine atakiona cha moto,mbona silaha zinapelekwa tena bila kificho na kaufyata,au kupeleka silaha siyo kuwasaidia Ukraine Kivita. Russia was overrated,kwa sasa uhalisia wa jeshi lake umeonekana.
 
Kwa hiyo hizo hypersonic ni za enzi za Cold war? Mara ngapi Putin anatoa mikwara mbuzi ya yeyote atakaesaidia Ukraine atakiona cha moto,mbona silaha zinapelekwa tena bila kificho na kaufyata,au kupeleka silaha siyo kuwasaidia Ukraine Kivita. Russia was overrated,kwa sasa uhalisia wa jeshi lake umeonekana.
Sawa overrated nenda kweny uwanja wa Vita si umechoka kula ugali na dagaa
 
Kwa propaganda Ukraine ameshinda vita, ila ukweli rais Zelensky anaujua, maana anapata daily briefing ya nchi yake.

Usione mtu analia, anaomba maongezi, anailaumu Nato na kuitaka dunia tumsaidie. Watu milion 10 wemekimbia nchi, je baada ya miezi 2 itakuaje?

Mji wa mariupol zimebaki gofu tu, je baada ya siku 90 hali itakuaje? Tuache ushabiki maandazi.
Wewe ndiyo una ushabiki wa vitumbua 🙂,nani kasema Zelensikky kashinda vita? Hapa tunamsifia Ukraine kutoa upinzani mkali ambao haukutegemewa kabisa na Russia.Sasa kubomoa majumba ndiyo ushindi wa vita? Ni nini kinachoifanya Russia mpaka leo imeshindwa kuingia Kyiv,operation ya masaa 72 imegeuka kuwa aibu kubwa kwa supapawa wa makaratasi.
 
Nyamizi ushamezeshwa propaganda tayar ni ngumu kukusaidia
Watu wengi mnataja sana "propaganda" bila kujua maana yake halisi, propaganda ni psychological instrument inayoweza kutumika kwenye ushindani wa siasa na vita, ukiweza kuimudu vizuri basi unapata kitu kinaitwa morale victory, westerners wanalijua hili vizuri ndio maana urusi amedhibitiwa kupata legitimacy ya kumvamia jirani yake ukraine, propaganda zipo kwa pande zote maana huwezi kutenganisha vita na propaganda vingi nevyo utakumbana na demoralization
 
Russia hawatakaa wasahau,walijiaminisha wao ni vidume kumbe hovyo kabisa .

Ona hii hasara hapa ya majenerali 👇

Screenshot_20220324-212426.png
 
Wewe ndiyo una ushabiki wa vitumbua 🙂,nani kasema Zelensikky kashinda vita? Hapa tunamsifia Ukraine kutoa upinzani mkali ambao haukutegemewa kabisa na Russia.Sasa kubomoa majumba ndiyo ushindi wa vita? Ni nini kinachoifanya Russia mpaka leo imeshindwa kuingia Kyiv,operation ya masaa 72 imegeuka kuwa aibu kubwa kwa supapawa wa makaratasi.
Tatizo wengi wamekalili neno propaganda ila kimsingi hawajui propaganda yenyewe ni nini
 
Russia hawatakaa wasahau,walijiaminisha wao ni vidume kumbe hovyo kabisa .

Ona hii hasara hapa ya majenerali 👇

View attachment 2163754

Russia hawatakaa wasahau,walijiaminisha wao ni vidume kumbe hovyo kabisa .

Ona hii hasara hapa ya majenerali 👇

View attachment 2163754
Sera za ujamaa ziliwaharibu Sana, the are humble submissive to the leader's ignorance, never Russia hawezi ku battle na mabeberu. Mabeberu ni compitetive in nature
 
Atakapokubali kushindwa na nchi ipo total destroyed..uje tena na bandiko lingine la kumponda kwa kufanywa jinga na westerns
Nchi si inajengwa na pesa za kina Putin zilizopigwa pin,hapa pointi ni mtu kutetea kilicho chake.Wewe kama uko tayari kutelekeza mke na watoto wako kisa jirani yako kaja nyumbani kwako kutaka kuwachukua kwa nguvu utakuwa Baba wa ajabu sana
 
Russia wanakula kichapo hadi hawaamini kwamba makombora bado hayajawasaidia zaidi ya kuharibu miundombinu ya kiraia tuu.

Kazi iendelee 😄😆

Screenshot_20220324-212426.png


Screenshot_20220324-212247.png


Screenshot_20220324-211232.png
 
vijana wa kibongo niwaoga waoga ndio wanaongoza kuwashauri waukraine wajisalimishe wangejiuliza nyerere angejidalimisha kwa idamin leo ingekuwaje
Tena wa Dar ndiyo kabisa,walikimbizwa na panya road tu wakatelekeza magari barabarani kujiokoa 😅
 
Egypt yakumbana na athari mbaya za vita ya Ukraine,ilikuwa inategemea ngano kutoka huko kwa takribani zaidi ya 50% ya matumizi yake

Screenshot_20220324-211140.png
 
kwa miji ilivyo geuzwa kifusi namna ile? utafikiri ukraine imepigwa na garika la sodoma na gomola
Kuwa wa kisasa usiwe wa kizamani russia inaonekana hana uzoefu wa vita vya mkono kwa mkono hata kidogo, yale magorofa anaangusha kwa bombs kutoka mbali sana na utakuta anayaangusha ata hakuna mtu ndani labda anaua mmoja au 2 mapak 4, ukitoa kule hospitali ambako watu wasiojiweza wazee na watoto walihifadhiwa.

Inasemekana anatumia silaha za kizamani sio silaha za kisasa ambazo direct zitaenda ulipokusudia, silaha zake mara nyingi labda hukusudia kupiga kikombe lakini anaenda kugonga mwiko

Jengine angalia vifaru (tanks) alizomimina kutoka russia hatimae zinasagwasagwa na Javelin St. unayoeka begani tu mukaenda na safari, wanasema Putin hii vita ame miscalculated na itamugarimu

Kwa hapa ashapofikia magharibi wamemsoma 100% udhaifu wake na wanamkebehi kweli kweli, kilichobaki sasa kwa putini ni kubonyeza nuclear au kuua watu kwa sumu za chemical
 
Kufuatia uvumizi wa urusi ndani ya ardhi ya jirani yake ukraine dunia imeshuudia kwa mara nyingine sura halisi ya uzalendo na uwezo wa watu kulinda uhuru wao. Kwa sababu zake mwenyewe wengi walitarajia compaign ya babu putin ingeweza kufanikiwa mapema ikizingatia uwezo wa jeshi lake katika nyanja zote za medani ila hali imekuwa tofauti maana ni mwezi sasa vikosi vyake vinahonja juice chungu ya wanaume wazalendo walioamua kufa wakiilinda nchi yao

Kwa vijana ambao hawajasoma historia kwa mapana yake Russia chini ya Stalin aliwahi kutuma jeshi lake kuvamia kitaifa kidogo cha Finland alichokutana nacho mpaka sasa hawezi kusimulia maana alichapika kwelikweli, niwaambie kuwa na jeshi kubwa ni jambo moja ila kwenye uwanja wa medani ( battle field) ni kitu kingine kwani ndani ya miezi mitatu warusi ( wajamaa wenzetu) walichakazwa na jeshi dogo lilojaa wakulima lakini shupavu na hodari. Kuna mtu anaitwa simo hayha au white death anatajwa kuwa sniper hatari zaidi kuwahi kutokea duniani, jamaa aliwafyeka sana wasocialist sio mchezo.

Kuna vijana wengi wako sympathetic na ukraine kuwa ni bora angejisalimisha kwa putini badala ya kutinisha misuli dhidi ya mbabe ni ukweli wengi hawajui maana halisi ya uzalendo zaidi ya kusoma na kusikia kwa wanasiasa wetu wakitafuta mtaji wa siasa.

Licha ya kuzidiwa kila kitu na urusi bado watu wa Ukraine wanasababu ya kupigania nchi yao dhidi ya uvamizi wowote ule kama ambayo wanatoa mechi ngumu kwa majeshi dhaifu ya babu putin, najua kuna watu watapinga ila ukraine wanakitu ambacho russia hana nacho ni morale na uhodari ndani ya uwanja wa medani. Ukraine wameshinda maeneo muhimu yaani morale victory na propaganda na ndio maana hawakupunic baada ya kuvamia wamesimama na kupambania ardhi yao.

Russia historically inakabiliwa na nidhamu ya uoga kutokana na ucommunist ambao msingi wake nikuwafanya watu kuwa humble submissive kwa viongozi wao hili lipo hata kwetu tz kwa waswahili. Hata kwenye vita ya pili ya dunia warusi walikufa sana sababu ya top down decision making yaani Rais akiakiamua amemaliza hata kama taarifa zinaonesha kuna mtego, rejea Stalin alipuuza taarifa za kijasusi kuwa Hitler angevamia kilichotokea ni historia mpaka leo.

Wepiganaji wa ukraine na mercenaries wameonesha weledi kwenye uwanja wa medani kwani mpaka sasa urusi hajafanya significant advance zaidi ya kurusha makombora akiwa mbali maana kwenye ground ni mchumba tu anatomaswa tomaswa na St javelin. Analyst wengi wanafanya speculation kuwa mfumo wa utawala wa uongozi umeoza au hawakujipanga vizuri na mission. Wanajiuliza inakuaje wanashindwa kuwa simple logistics kama mafuta ya kutosha ili kunywesha vifaru na magari. Kitu kingine ukraine wamefanya nikuwapa junior officers kufanya maamuzi badala ya kusubili wakubwa wao. Kuharibu supply line kumewatesa vijana wa Putin kwa aibu wengine wameonekana wakiiba kuku na chakulu kwenye supermarket.

Wanaodhani Russia ni super power anaweza kushindana na mabeberu alete fact kwenye uwezo wa Russia umeonekana wazi na mbinu za kizembe
Walimsifu na kumpamba sana Putini, sasa kwa nionavyo hii vita itaendelea kumsumbua + vikwazo on behined, ni mwisho wa putini
 
Back
Top Bottom