Nyamizi
Platinum Member
- Feb 19, 2009
- 9,186
- 13,757
Kwa hiyo hizo hypersonic ni za enzi za Cold war? Mara ngapi Putin anatoa mikwara mbuzi ya yeyote atakaesaidia Ukraine atakiona cha moto,mbona silaha zinapelekwa tena bila kificho na kaufyata,au kupeleka silaha siyo kuwasaidia Ukraine Kivita. Russia was overrated,kwa sasa uhalisia wa jeshi lake umeonekana.Mm sijui kuhusu hypersonic wew unaongelea supersonic kaa kwa kutulia Kam vp kaingilie mzozo tukuone