passioner255
JF-Expert Member
- Apr 22, 2019
- 6,192
- 11,897
Sizo takwimu umezipata wapi.this is according to Russia defence ministryA joke from Moscow: "According to Putin the special military operation is really a conflict btw Russia and NATO about World dominance. Whats the situation now?" "Russia has lost 15000 troops, 6 generals, 500 tanks, 3 ships, 100 planes and 1000 trucks. NATO hasn't arrived yet."
Endeleeni kujifarijiWameachwa na kuingia kwenye miji na sasa wamezungukwa wanapokea kichapo hawawezi toka hii battle.
View attachment 2164463
We mwenye kazi unafanya Nini kwny huu uzi.Watanzania wasivyokuwa na kazi basi vijiweni wamefanya vita ya Urusi na Ukraine kuwa ushabiki wa Yanga na Simba. Hivi hamuwezi kupata kitu cha kufanya? Mbona methali inayosema "ndugu wakigombana chukuwa jembe ukalime" ni yetu sisi Waswahili?
Wanapigwa counter offensive wao wanajibu kwa kulipua makazi ya watuWameachwa na kuingia kwenye miji na sasa wamezungukwa wanapokea kichapo hawawezi toka hii battle.
View attachment 2164463
NATO walioshindwa syria wataweza Russia? Nyie mnatunga vichekesho au.?Urusi yeye anajivunia Hypersonics na Nukes na Defences, hana offence power na ndo maana NATO wakaona wamzunguke ili iwe rahisi kumpiga kwa kutumia vibomu vidogo
Mabeberu wako after profitNATO walioshindwa syria wataweza Russia? Nyie mnatunga vichekesho au.?
Anajijua ni weakNa putin yupo serious ktk hili, sijui hofu yake ni nini hasa Ukraine akiingia NATO, mbona yeye ana zana za kutosha tu? Akitokea mtu akamzingua ipasavyo, hatashindwa kuwasha nuclear.
Inabidi tubomoe majumba yoteMiji ya Ukraine imepangiliwa vizuri sana aisee, kweli sisi kwetu huku ni uchafu tu...wataalamu jifunzeni vitu uko sio kushangilia vita tu
Medani ni uwezo ( holding out against the invaders ) maana yake ana uwezo wa ku utilise taarifa zote za ujasusi, kutumia silaha za msaada na mbinu zote zinazoitajika kwenye uwanja wa vita. Media war pia wamewin wakisaidiwa na wazee wa michongo aka mabeberu kulinda heshima na uhuru wa taifa lao hichi kitu wabongo weng hamjaliKutwa kucha Ulaya na nato wanapiga filimbi wanamsaidia Ukraine kwa silaha, intelligence info, satellite services , na ushauri wa kivita halafu mnatwambia Ukraine wapandisha viwango vya medani ya vita?
tubomoe vp tena...tujenge kwa mpangilio tu, jamaa wako fresh
Mimi ni team Zelensky ingekua unachosema ni kweli, basi hao wanajeshi wote wangeuawa. Nato wametugeuka, tumeomba no fly zone wanetunyima, tumeomba majeshi yao yaingie wametukatalia. Urusi mpaka leo wameikalia Ukraine kama nchi yao.. raia ndio wanageuka wakimbizi.
Jombaaa Urusi amefeli tena kwa aibu kubwa.Hiyo vita usiichukulie kirahisi hivyo
Bila Nato huyo zelensky aishatoka kitambo,na Russia atashinda tu mark my words,ni muda tu..