Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
- Thread starter
-
- #101
Ndo maana hata wabakaji wanashauriwa kuvaa condom. Mzee wako angevaa Condom wakati akifanya hivyo usingekuwepo leo hii unaandika makamasi kama haya.kisa tu umeambiwa na Sheikh Kitunku.🤣Kuzidi kwako kuonesha personal attack kunazidi kuonesha wewe huna hoja ni mweupe kichwani.
Nimekuletea hoja zipinge hoja.
Dalili moja wapo ya mpumbavu ni kuleta mashambulizi binafsi na kujikweza ni mjuaji ilhali ameshashindwa hoja.
Nasubiri unijibu maswali nilokuuliza sawa kijana.
Yani mzee wako namlaumu sana😂😂😂shahawa za maana kapigia nyeto zile za nyeto umezaliwa wewe doh!
Yule bibi huwa namkumbuka sana......🤣🤣🤣🤣Oves 😂😂😂😂 nimemkumbuka yule bibi
Supapawa kashindwa kuilinda Kursk...Hii hali inamsikitisha sana Putin. Ni suala ambalo he never expected kabisa. Hii vita ilipaswa kuwa operation ya siku 2 tatu ikizidi week. Sasa ni mwaka wa pili. Na hawa Ukraine wameanza kuingia ndani ya Russia.
Wanasonga mbele. Nini tatizo? Putin kweli wa kusaidiwa na vinchi vidogo vidogo? Iran wamejitahidi sana kumsaidia Putin. Lakini naona hali bado si nzuri sana.
Au itakuwa anafanya makusudi ili asioneshe nguvu zake kwa maadui zake? Anajifanya mnyonge? Putin tulimtegemea sana afanye kweli. Hii nchi ipo tu hapo pembeni yake. Ka nchi kadogo tu. Si mbali. Angeamuru tu jeshi lake liende kukafyekelea mbali.
View attachment 3072237View attachment 3072238View attachment 3072239View attachment 3072240
Supapawa kashindwa kuilinda Kursk...
Aya naona hawa walioeleza haya ni sheikh kitunku.Ndo maana hata wabakaji wanashauriwa kuvaa condom. Mzee wako angevaa Condom wakati akifanya hivyo usingekuwepo leo hii unaandika makamasi kama haya.kisa tu umeambiwa na Sheikh Kitunku.🤣
Kwa kukuongezea tu ili hao Ukraine waendelee kushikilia hilo eneo wanatakiwa wawe na man power pamoja na silaha za kutosha.Ndo maana hata wabakaji wanashauriwa kuvaa condom. Mzee wako angevaa Condom wakati akifanya hivyo usingekuwepo leo hii unaandika makamasi kama haya.kisa tu umeambiwa na Sheikh Kitunku.🤣
Wewe una akili fupi kama clitorissssssss....🤣Kwa kukuongezea tu ili hao Ukraine waendelee kushikilia hilo eneo wanatakiwa wawe na man power pamoja na silaha za kutosha.
Na kama hizo supply zikiwa na shortage basi hakuna askari jeshi wa Ukraine atayepona.
Ukraine lengo lao ni kushikilia kitu ambacho wanaweza wakafanya nacho majadiliano na Russia ili kumaliza vita.
Ila je wataweza kuishikilia hiyo Kursk kwa muda mrefu!???
Wakati unazungumza haya ukumbuke 2018 kipindi crimea inaporwa na Russia kutoka Ukraine hao wazungu wa magharibi walikuwepo pia,lakini Crimea hadi leo mali ya Russia.
Una akili fupi sana kama mkojo wa asubuhi.
Umeshaishiwa hoja.Wewe una akili fupi kama clitorissssssss....🤣
Kwa kukuongezea tu ili hao Ukraine waendelee kushikilia hilo eneo wanatakiwa wawe na man power pamoja na silaha za kutosha.
Na kama hizo supply zikiwa na shortage basi hakuna askari jeshi wa Ukraine atayepona.
Ukraine lengo lao ni kushikilia kitu ambacho wanaweza wakafanya nacho majadiliano na Russia ili kumaliza vita.
Ila je wataweza kuishikilia hiyo Kursk kwa muda mrefu!???
Wakati unazungumza haya ukumbuke 2018 kipindi crimea inaporwa na Russia kutoka Ukraine hao wazungu wa magharibi walikuwepo pia,lakini Crimea hadi leo mali ya Russia.
Una akili fupi sana kama mkojo wa asubuhi.
Sheikh Kitinku anakujaza tu.....Kwa kukuongezea tu ili hao Ukraine waendelee kushikilia hilo eneo wanatakiwa wawe na man power pamoja na silaha za kutosha.
Na kama hizo supply zikiwa na shortage basi hakuna askari jeshi wa Ukraine atayepona.
Ukraine lengo lao ni kushikilia kitu ambacho wanaweza wakafanya nacho majadiliano na Russia ili kumaliza vita.
Ila je wataweza kuishikilia hiyo Kursk kwa muda mrefu!???
Wakati unazungumza haya ukumbuke 2018 kipindi crimea inaporwa na Russia kutoka Ukraine hao wazungu wa magharibi walikuwepo pia,lakini Crimea hadi leo mali ya Russia.
Una akili fupi sana kama mkojo wa asubuhi.
Si ndo umeyaleta hayo......hukutaka hoja.Umeshaishiwa hoja.
Ngojea nikuache.
Huku ni mengine watu wanakimbizwa chupi mkononiHii hali inamsikitisha sana Putin. Ni suala ambalo he never expected kabisa. Hii vita ilipaswa kuwa operation ya siku 2 tatu ikizidi week. Sasa ni mwaka wa pili. Na hawa Ukraine wameanza kuingia ndani ya Russia.
Wanasonga mbele. Nini tatizo? Putin kweli wa kusaidiwa na vinchi vidogo vidogo? Iran wamejitahidi sana kumsaidia Putin. Lakini naona hali bado si nzuri sana.
Au itakuwa anafanya makusudi ili asioneshe nguvu zake kwa maadui zake? Anajifanya mnyonge? Putin tulimtegemea sana afanye kweli. Hii nchi ipo tu hapo pembeni yake. Ka nchi kadogo tu. Si mbali. Angeamuru tu jeshi lake liende kukafyekelea mbali.
View attachment 3072237View attachment 3072238View attachment 3072239View attachment 3072240
Ndo vita ni kawaida tena kwa Ukraine kataifa kadogo vs Russia big NationHuku ni mengine watu wanakimbizwa chupi mkononiView attachment 3072763
Inaonekana huna ufahamu thaniti urusi iko Donbus toka 2014 na bado wanapigana humo humo mwaka wa10 je hayo ni mafanikio?!!Kwanza utambue Urusi anapigana na NATO katika Ardhi ya Ukraine.
Hata hiyo oparesheni ya kushtukiza kuingia Jimbo la KURSK-Urusi, ni matokeo ya Intelijensia ya NATO kuwapa Ukraine na Majeshi ya NATO taarifa sahihi za Uwezo wa kijeshi wa Urusi KURSK.
Ukraine walitaka kuteka kinu Cha Nyukilia kilichopo KURSK ili kukitumia kufanya Negotiation.
Pili, kuilazimisha Urusi Kupunguza Majeshi Donbass kuyaleta KURSK baada ya kuona kule Donbass Urusi anatoa Kichapo na kuzidi kuchukua maeneo
Hata hivo, Urusi inajua hiyo NIA, Kichapo kitaendelea kote kote, iwe ni DONBASS, KURSK Kichapo Kiko pale pale
Inabidi ufaham, Urusi ni Nchi yenye Nyukilia , Kamwe NATO hawawezi kuishinda .
Kumwondoa Putin ni sawa na ndoto za Alinacha .
Putin anaogopa NATO wala swala la haki za binadamu haijawahi kuwa msamiati kwakeWe kilaza. Putin toka lini anaogopa haki za binadamu za NATO? dogo humjui Putin na hujui Russia. Yaani leo hii Putin ambaye alitakalo hakuna wa kumzuia anawaogopa hao Haki za Binadamu? Si ndo hao hao walisema ushoga. Akawaambia hataki kusikia huo upuuzi? Kuna mashtaka gani ya kumtisha Putin? Dogo hujui. Nyamaza. Kunywa uji ulale.. au.... 😁
Pale ndio nilijua hata malaw bado umempa cheo yaan siku ile Wagner asingedanganywa na belarus Putin alikuwa ashakimbia Moscow ndio nilijua russia hamna kitu RT walikuwa wapoleeee🤣🤣🤣Putin ana nguvu za media tu kama ndugu zake wengine Rais wa Ukraine alietaka kumtoa madarakani yupo kwenye ardhi yake...
Mimi toka wale wahuni walioitaka Ikulu ya Moscow kwa miguu nikajua mshikaji ni kama Rais wa Malawi tu ila kelele nyingi..
Achana nae huyo ana mahaba na Russia ya ajab tuu, najiuliza kwamba hiivi kipindi marekan akiwa anapiga iraq ama nchi yeyote ingeteka jiji mojawapo pale USA ndio na USA ingetulia hiiv kuwa inasikilizia upepo??🤣🤣🤣Sababu gani tena ya kumpiga zaidi? Umeandika kama hujatawadha ndugu. Sababu si ilishakuwepo yaani miaka 2 ya vita hakuwa na sababu ya kumpiga? Aiseee..... Nyie madogo sijui mna fail wapi
NATO VS RUSSIANdo vita ni kawaida tena kwa Ukraine kataifa kadogo vs Russia big Nation
YULE JAMAA NILIMTOA MAANA KABISA. ANACHAMBUA KISHABIKI ALITUJAZA UONGO MWINGI WATU TUKAIPENDA RUSSIA. KUMBE NAYE NI KAMA ANAVYOSHABIKIA SIMBA TU.Yericko Nyerere njoo ukanushe hiki kipigo mnachopewa KURSK