Ukraine ndani ya Urusi, inataka kumwondoa Putin Madarakani? Je hii ni dalili ya World War III?

Ukraine ndani ya Urusi, inataka kumwondoa Putin Madarakani? Je hii ni dalili ya World War III?

Unaongea kana kwamba russia kashindwa,kumbe kateka 20+%ya ukraine,huko kursk husikii CNN wakidai ukraine kusonga,jua kichapo siyo cha mchezo
Elewa.watu hawasemi Ukrain kashinda.ila tunashangaa why 2 yrs now?ilipaswa iwe ndani ya week au 72 hrs kama ambavyo alisema Putin. Hatukutegema Ukraine itaanza shambulia Russia.yaani Temeke Market inacheza na Barcelona au Man United.nayo inashambulia?ilipaswa ijilinde tu kupunguza idadi ya magoli.
 
We uliamini nchi yenye ukubwa wa ukraine kutekwa kea siku TATU?..vita vina propaganda zake,kwanza walisema ni smo,na lengo si kuiteka nchi yote,kuteka nchi siyo smo
Kwa hiyo Putin alikuwa anajitekenya na kucheka mwenyewe?tusipomuamini Putin tukuamini wewe sasa? Yaani Jasusi kama Putin asiaminike.
 
Comment za waswahili humu zinachekesha sana😂😂😂😂😂😂😂.
Eti mtu anadiriki kuropoka eti Putin hana nguvu ana nguvu za media tu.
Aish aisee embu punguzeni kuropoka aisee.
Wakati mnaongea hivyo hiyo Russia imefanya yafuatayo kwa Ukraine licha ya Ukraine ikiwa inasaidiwa na NATO;
-Russia imeiteka Donbas,Donetsk,Kharkiv na Mariupol.
-Russia ime dismantle jeshi la Ukraine kiasi Ukraine ilikua ikikamata raia barabarani kwa nguvu ili waingie jeshini.
-Russia keshawapiga Ukraine na kukamata vifaa vya NATO ambavyo Ukraine alipewa vikiwemo vifaru vya Abrahamas na Leopard 2.
Mtu unashindwa kujiuliza Ukraine ameshindwa kukomboa maeneo yake kwa jeshi lake hilo hilo leo hii aje amtikise Russia ndani ya ardhi yake!!??
Na alichokosea zaidi ni kukigawanya kikosi kingine kwenda Belgorod,ilhali man power ni ndogo.
Hao Ukraine wamejipeleka katika kifo soon mtakuja kusoma habari zingine hapa.
Yani ardhi yako ushindwe kuitetea halafu uende ukateke ardhi ya mwingine!??
Wacheni kuwaza kama WAPUMBAVU.
Dogo haya yote unalishwa na Ustaadhi Kitinku na Sheikh Kubemendea. Huelewi kitu. Nenda kawaulize jana kwa nini waligombana nami kwenye lile group letu. Za kuambiwa changanya na zako usiwe kama Mbayuwayu....
 
Yule muhuni alikua mpishi wake kwa kuwa alikua anamwamini akampa dili la kusimamia biashara ya madini kutoka kwenye Nchi zenye vita Afrika baadae alipoanzisha vita akamrudisha kwa kuwachukua wafungwa na vijana ili wakapigane yaani muhuni akawa anapewa pesa baadae muhuni akaanza kelele kuwa hawapewi siraha za kutosha askari wake wanakufa hovyo na ndio kikawa chanzo cha muhuni kuitaka Ikulu ya Moscow...
na ndio ukawa mwisho wake
 
Comment za waswahili humu zinachekesha sana😂😂😂😂😂😂😂.
Eti mtu anadiriki kuropoka eti Putin hana nguvu ana nguvu za media tu.
Aish aisee embu punguzeni kuropoka aisee.
Wakati mnaongea hivyo hiyo Russia imefanya yafuatayo kwa Ukraine licha ya Ukraine ikiwa inasaidiwa na NATO;
-Russia imeiteka Donbas,Donetsk,Kharkiv na Mariupol.
-Russia ime dismantle jeshi la Ukraine kiasi Ukraine ilikua ikikamata raia barabarani kwa nguvu ili waingie jeshini.
-Russia keshawapiga Ukraine na kukamata vifaa vya NATO ambavyo Ukraine alipewa vikiwemo vifaru vya Abrahamas na Leopard 2.
Mtu unashindwa kujiuliza Ukraine ameshindwa kukomboa maeneo yake kwa jeshi lake hilo hilo leo hii aje amtikise Russia ndani ya ardhi yake!!??
Na alichokosea zaidi ni kukigawanya kikosi kingine kwenda Belgorod,ilhali man power ni ndogo.
Hao Ukraine wamejipeleka katika kifo soon mtakuja kusoma habari zingine hapa.
Yani ardhi yako ushindwe kuitetea halafu uende ukateke ardhi ya mwingine!??
Wacheni kuwaza kama WAPUMBAVU.
Sawa bwana Putin 😂😂😂 umeipata kijiwe gani mkuu
 
Elewa.watu hawasemi Ukrain kashinda.ila tunashangaa why 2 yrs now?ilipaswa iwe ndani ya week au 72 hrs kama ambavyo alisema Putin. Hatukutegema Ukraine itaanza shambulia Russia.yaani Temeke Market inacheza na Barcelona au Man United.nayo inashambulia?ilipaswa ijilinde tu kupunguza idadi ya magoli.
Unaweza kushangas hata mapambano hapo Kursk yakachukua miaka
 
Putin alichukulia hii vita ingekuwa rahisi jinsi alivyoichukua Crimea 2014 kama anamsukuma mlevi bila NATO kuingilia.

Akadhani itakuwa hivyo 2022. TISS Yake ikamdanganya kwasababu walimtania hadi Zelensky ni comedian ndo maana akasema 72 hours anamaliza vita.

Unakumbuka siku ya kwanza ya vita anaivamia Ukraine akachimba mkwara anaingia Ukraine na yeyote ataingiza pua kitakachomtokea hata kwenye Historia wameshangaa.

Alipoona maji yamezidi unga akaanza mkwara wa nyuklia satan 2 sijui mini.

COMEDIAN ANAMJAMBISHA MTU SERIOUS PUTIN.
Putin alibet, he did not expect Marekani ataisupport Ukraine kwa muda mrefu na hela nyingi.

Kumbe Marekani na Makoloni yake walikuwa wameiwaza vita Miaka mingi mbele
 
Tuliaminishwa Ukitoa USA mbabe mwengine wa kivita Duniani ni Urusi. Kwamba Dunia nzima anaemuweza USA ni Urusi tu. Na anaemuweza Urusi ni USA tu.

Hata kama Urusi huyu sio yule wa enzi za Mikhail Gorbachev lakini bado alibeba asilimia kubwa ya nguvu ya iliyokua USSR.

Kwamba USA akiamua kupiga mkono na nchi ingine ile Duniani isiyo USSR ni dakika tu mtu chali, vile vile Kwa Urusi. Hii vita ya Ukraine inafikirisha sana Kwa kweli.
sasa we huoni hapo urusi anapigana na marekani na washirika wake wote,,angekua marekani peke ake vita ingekua imeisha asubuhi tu
 
Putin alibet, he did not expect Marekani ataisupport Ukraine kwa muda mrefu na hela nyingi.

Kumbe Marekani na Makoloni yake walikuwa wameiwaza vita Miaka mingi mbele
Ina maana hakuwa na taarifa nzuri za kiintelejensia.au alikuwa anadhani ule mkwara wake kuwa Ukraine wakisaidiwa atatumia Nuklia ungeendelea kuwaogopesha NATO? JAMAA WAME MJARIBU WAMEMUONA anawezekana kabisa.hata akimpiga Ukraine bado ame ji expose kuwa si wa kutisha kiasi hicho.
 
Mimi nimekuwa Pro Urusi na Irani kwa muda mpaka nilipoanza kupata akili. Nikagundua Marekani wana akili. Huwaoni wakionesha silaha zao hovyo hovyo. Wanazificha. Irani , Korea, Urusi, China wanapenda kuonesha Silaha kuwatisha watu.
Mkuu si unajua hata huku mtaani, ukiona mtu anatamba yeye mtemi hababaishwi na mtu mara nyingi anakuwa anajihami hana lolote!
 
Mkuu si unajua hata huku mtaani, ukiona mtu anatamba yeye mtemi hababaishwi ma mtu mara nyingi anakuwa anajihami jana lolote!
Nimejifunza kitu kwa kweli. Sasa tumechanganyikiwa hatujui tumshike nani. Urusi ametunyong'onyesha,China suala la Taiwan tulitegemea ingewasha moto.... Leo hii Urusi ya kusaidiwa silaha na Irani kweli?ya kukodi wanajeshi wahuni na wafungwa?
 
Elewa.watu hawasemi Ukrain kashinda.ila tunashangaa why 2 yrs now?ilipaswa iwe ndani ya week au 72 hrs kama ambavyo alisema Putin. Hatukutegema Ukraine itaanza shambulia Russia.yaani Temeke Market inacheza na Barcelona au Man United.nayo inashambulia?ilipaswa ijilinde tu kupunguza idadi ya magoli.
Lengo la russia siyo kuiteka nchi,smo haziwezi kuwa kuteka nchi nzima
 
Hili jambo lilinishangaza sana. Kundi tu la wahuni liliamua kuwa linataka kumwondoa na ikabidi akimbie kujificha. Kuna mambo nashindwa yaelewa kabisa kuhusu Putin. Jinsi ambavyo tumekuwa tumiaminishwa na uhalisia kwa sasa ulivyo. Kuna tatizo sehemu. Au huyu si Putin Original?
Mbona haujawaza wahuni wa Israel walivyomuua kiongozi wa HAMAS ndani ya ardhi ya Iran, udhani Iran ni wanyonge kwa Israel
 
Sawa bwana Putin 😂😂😂 umeipata kijiwe gani mkuu
Kijiwe gani kivipi!?
Kwani vyombo vya habari havikutangaza kuhusu kuhusu Russia kuiteka Mariupol,Donbas,Kharkiv na Donetsk??
Kwani vyombo vya habari havikutangaza kuhusu silaha za NATO kukamatwa na Russia hapo Ukraine??
Kwani vyombo vya habari havikutangaza kuhusu raia kulazimishwa Ukraine kuingizwa jeshini ili kupunguza uhaba wa askari jeshi!!???
Au unataka nikuletee proof!??
Such a dunder
 
Hili jambo lilinishangaza sana. Kundi tu la wahuni liliamua kuwa linataka kumwondoa na ikabidi akimbie kujificha. Kuna mambo nashindwa yaelewa kabisa kuhusu Putin. Jinsi ambavyo tumekuwa tumiaminishwa na uhalisia kwa sasa ulivyo. Kuna tatizo sehemu. Au huyu si Putin Original?
Kipanki ndo anamdanganya
 
Back
Top Bottom