Ukraine ndani ya Urusi, inataka kumwondoa Putin Madarakani? Je hii ni dalili ya World War III?

Ukraine ndani ya Urusi, inataka kumwondoa Putin Madarakani? Je hii ni dalili ya World War III?

Kwanza utambue Urusi anapigana na NATO katika Ardhi ya Ukraine.

Hata hiyo oparesheni ya kushtukiza kuingia Jimbo la KURSK-Urusi, ni matokeo ya Intelijensia ya NATO kuwapa Ukraine na Majeshi ya NATO taarifa sahihi za Uwezo wa kijeshi wa Urusi KURSK.

Ukraine walitaka kuteka kinu Cha Nyukilia kilichopo KURSK ili kukitumia kufanya Negotiation.

Pili, kuilazimisha Urusi Kupunguza Majeshi Donbass kuyaleta KURSK baada ya kuona kule Donbass Urusi anatoa Kichapo na kuzidi kuchukua maeneo

Hata hivo, Urusi inajua hiyo NIA, Kichapo kitaendelea kote kote, iwe ni DONBASS, KURSK Kichapo Kiko pale pale


Inabidi ufaham, Urusi ni Nchi yenye Nyukilia , Kamwe NATO hawawezi kuishinda .

Kumwondoa Putin ni sawa na ndoto za Alinacha .
Nilochojifunza JF kuhusu pro Russia na Iran ni waongeaji saaaana kama walivyo Warusi na Wairan wenyewe, lakini kwenye vitendo Sasa mpaka unatamani kucheka kama sio kulia!!
 
Putin ana nguvu sana ila wanajeshi wake wengi sio Wazalendo na kumbuka wengi wamelazimishwa kuingia Vitani yaani Russia ingekua wanajeshi wake ni Wazalendo kama wa Ukraine vita ingeisha muda mrefu angalia hata afya za hao wanajeshi wa kirusi na umri wao unaona ni wale machalii na wanaokotwa tu walinde sehemu swala la wao kutekwa ni kawaida tu na Putin bado utamuona kwenye TV yake kama yule waziri wa Iraq Ali Sahafu huku wahuni wakimega maeneo..
Unaongea kana kwamba russia kashindwa,kumbe kateka 20+%ya ukraine,huko kursk husikii CNN wakidai ukraine kusonga,jua kichapo siyo cha mchezo
 
Kwanza utambue Urusi anapigana na NATO katika Ardhi ya Ukraine.

Hata hiyo oparesheni ya kushtukiza kuingia Jimbo la KURSK-Urusi, ni matokeo ya Intelijensia ya NATO kuwapa Ukraine na Majeshi ya NATO taarifa sahihi za Uwezo wa kijeshi wa Urusi KURSK.

Ukraine walitaka kuteka kinu Cha Nyukilia kilichopo KURSK ili kukitumia kufanya Negotiation.

Pili, kuilazimisha Urusi Kupunguza Majeshi Donbass kuyaleta KURSK baada ya kuona kule Donbass Urusi anatoa Kichapo na kuzidi kuchukua maeneo

Hata hivo, Urusi inajua hiyo NIA, Kichapo kitaendelea kote kote, iwe ni DONBASS, KURSK Kichapo Kiko pale pale


Inabidi ufaham, Urusi ni Nchi yenye Nyukilia , Kamwe NATO hawawezi kuishinda .

Kumwondoa Putin ni sawa na ndoto za Alinacha .
Warusi wa buza kwenye ubora wao
 
We uliamini nchi yenye ukubwa wa ukraine kutekwa kea siku TATU?..vita vina propaganda zake,kwanza walisema ni smo,na lengo si kuiteka nchi yote,kuteka nchi siyo smo
Mkuu nisimuamini Putin ntamuamini nani tena kumbuka Putin wa kwenye media sio huyu wa virani...mimi binafsi walivyochukua maeneo yale kwa haraka nilijua hakuna vita labda kama wenzangu mlikua mnaangalia hii vita kwa jicho tofauti..
 
Mkuu nisimuamini Putin ntamuamini nani tena kumbuka Putin wa kwenye media sio huyu wa virani...mimi binafsi walivyochukua maeneo yale kwa haraka nilijua hakuna vita labda kama wenzangu mlikua mnaangalia hii vita kwa jicho tofauti..
Full out war ya mrusi hapo ukraine dunia ingepiga kelele sana, russia anachukua miji ya kuifanya buffer zone,maana dogo alivunja makubaliano ya minsk kwa kushirikiana na nato,pili urusi kapiga hela ndefu kwa kuuza ngano baada ya kuivuruga ukraine,wazungu wala vyakula vya mbwa,punguza milo wakati warusi maisha yaleyale
 
Tuliaminishwa Ukitoa USA mbabe mwengine wa kivita Duniani ni Urusi. Kwamba Dunia nzima anaemuweza USA ni Urusi tu. Na anaemuweza Urusi ni USA tu.

Hata kama Urusi huyu sio yule wa enzi za Mikhail Gorbachev lakini bado alibeba asilimia kubwa ya nguvu ya iliyokua USSR.

Kwamba USA akiamua kupiga mkono na nchi ingine ile Duniani isiyo USSR ni dakika tu mtu chali, vile vile Kwa Urusi. Hii vita ya Ukraine inafikirisha sana Kwa kweli.

SISI Kuna sheikh alikuwa anatuambia Urusi ndo baba wa Dunia kwa sasa akitaka kuifuta Marekani ni sekunde tu. Yaani Marekani wana mwogopa Mrusi kama kifo. Yule Sheikh alitufundisha mambo mengi sana. Kuwa Urusi ina Silaha hatari Dunia haijawahi shuhudia.
 
Full out war ya mrusi hapo ukraine dunia ingepiga kelele sana, russia anachukua miji ya kuifanya buffer zone,maana dogo alivunja makubaliano ya minsk kwa kushirikiana na nato,pili urusi kapiga hela ndefu kwa kuuza ngano baada ya kuivuruga ukraine,wazungu wala vyakula vya mbwa,punguza milo wakati warusi maisha yaleyale
Hii amekuambia ustaadhi Kitinku? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Alianza kuniambia huu ujinga nikamtolea data. Aka ni remove kwenye group. Yule mjinga anawajaza ujinga wenzie. Urusi ina hali mbaya na imekuwa exposed. Asikudanganye mtu. Tumia akili ndogo tu ya darasa la 4.
 
Nilochojifunza JF kuhusu pro Russia na Iran ni waongeaji saaaana kama walivyo Warusi na Wairan wenyewe, lakini kwenye vitendo Sasa mpaka unatamani kucheka kama sio kulia!!
Mimi nimekuwa Pro Urusi na Irani kwa muda mpaka nilipoanza kupata akili. Nikagundua Marekani wana akili. Huwaoni wakionesha silaha zao hovyo hovyo. Wanazificha. Irani , Korea, Urusi, China wanapenda kuonesha Silaha kuwatisha watu.
 
Hii amekuambia ustaadhi Kitinku? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Alianza kuniambia huu ujinga nikamtolea data. Aka ni remove kwenye group. Yule mjinga anawajaza ujinga wenzie. Urusi ina hali mbaya na imekuwa exposed. Asikudanganye mtu. Tumia akili ndogo tu ya darasa la 4.
Hali mbaya ya nini!?..hapo jimbo la kursk penyewe watu wako wanna km za eneo 1000,jimbo ni kubwa
 
Hii amekuambia ustaadhi Kitinku? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Alianza kuniambia huu ujinga nikamtolea data. Aka ni remove kwenye group. Yule mjinga anawajaza ujinga wenzie. Urusi ina hali mbaya na imekuwa exposed. Asikudanganye mtu. Tumia akili ndogo tu ya darasa la 4.
 
Tuliposema kuwa hii operation ya urusi inaenda tofauti na matarajio ProRussia wengi walisema ni Urusi ndio hataki vita viishe mapema huo ndio mkakati wake. Swali ni je sahivi Ukraine wameingia ndani kwa Urusi bado ni mkakati wa Urusi huu?
 
Hii hali inamsikitisha sana Putin. Ni suala ambalo he never expected kabisa. Hii vita ilipaswa kuwa operation ya siku 2 tatu ikizidi week. Sasa ni mwaka wa pili. Na hawa Ukraine wameanza kuingia ndani ya Russia.

Wanasonga mbele. Nini tatizo? Putin kweli wa kusaidiwa na vinchi vidogo vidogo? Iran wamejitahidi sana kumsaidia Putin. Lakini naona hali bado si nzuri sana.

Au itakuwa anafanya makusudi ili asioneshe nguvu zake kwa maadui zake? Anajifanya mnyonge? Putin tulimtegemea sana afanye kweli. Hii nchi ipo tu hapo pembeni yake. Ka nchi kadogo tu. Si mbali. Angeamuru tu jeshi lake liende kukafyekelea mbali.
View attachment 3072237View attachment 3072238View attachment 3072239View attachment 3072240
Comment za waswahili humu zinachekesha sana😂😂😂😂😂😂😂.
Eti mtu anadiriki kuropoka eti Putin hana nguvu ana nguvu za media tu.
Aish aisee embu punguzeni kuropoka aisee.
Wakati mnaongea hivyo hiyo Russia imefanya yafuatayo kwa Ukraine licha ya Ukraine ikiwa inasaidiwa na NATO;
-Russia imeiteka Donbas,Donetsk,Kharkiv na Mariupol.
-Russia ime dismantle jeshi la Ukraine kiasi Ukraine ilikua ikikamata raia barabarani kwa nguvu ili waingie jeshini.
-Russia keshawapiga Ukraine na kukamata vifaa vya NATO ambavyo Ukraine alipewa vikiwemo vifaru vya Abrahamas na Leopard 2.
Mtu unashindwa kujiuliza Ukraine ameshindwa kukomboa maeneo yake kwa jeshi lake hilo hilo leo hii aje amtikise Russia ndani ya ardhi yake!!??
Na alichokosea zaidi ni kukigawanya kikosi kingine kwenda Belgorod,ilhali man power ni ndogo.
Hao Ukraine wamejipeleka katika kifo soon mtakuja kusoma habari zingine hapa.
Yani ardhi yako ushindwe kuitetea halafu uende ukateke ardhi ya mwingine!??
Wacheni kuwaza kama WAPUMBAVU.
 
Back
Top Bottom