4by94
JF-Expert Member
- Oct 1, 2019
- 9,214
- 8,306
ulikuwa wap Putin alipokuwa anakwepa majadilianoUkraine anabahati mbaya sana. Atapondwapondwa mpaka nukta ya mwisho. Hakuna kitu kitasalia. Lawama zote ziende kwa Zelensky, alitakiwa kukaa pamoja na Putin wayamalize.