Babu sea
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 953
- 747
Unaeshangilia rais zelenski wa ukraine ni sawa na unashangilia mauaji ya Adolf Hitler wa ujerumani kwa waisraeli tofauti na Ukraine kuna misemo na vitendo vya kinazi kama vile “glory to the nation death to the enemy” pia “Ukraine above all” hii ni misemo inayotekelezwa kufanya mashambulio katili kwa warusi waishio Ukraine kabla ya anguko la U.S.S.R. Pia mmarekani na vyombo vyake vya western kwanini hawataki kusema ukweli kuhusu upande wapili? Kwanini wanawaangalia tu wa Ukraine na wala sio warusi wa toka enzi za USSR?