Ukraine sasa iko katika vita kamili vya kujikomboa

Ukraine sasa iko katika vita kamili vya kujikomboa

Unaeshangilia rais zelenski wa ukraine ni sawa na unashangilia mauaji ya Adolf Hitler wa ujerumani kwa waisraeli tofauti na Ukraine kuna misemo na vitendo vya kinazi kama vile “glory to the nation death to the enemy” pia “Ukraine above all” hii ni misemo inayotekelezwa kufanya mashambulio katili kwa warusi waishio Ukraine kabla ya anguko la U.S.S.R. Pia mmarekani na vyombo vyake vya western kwanini hawataki kusema ukweli kuhusu upande wapili? Kwanini wanawaangalia tu wa Ukraine na wala sio warusi wa toka enzi za USSR?
 
Kijeshi au kivita, Mrusi kapoteza zaidi kwa askari wengi na vifaa vingi (vifaru + ndege) kuangamizwa.

Ukraine imepoteza zaidi kwa miundombinu, majengo mengi kubomolewa, raia wengi kuuawa na kukimbilia uhamishoni.
Mnatumia nguvu nyingi sana kuficha hasara aloipata na anayoendelea kuipata UKRAINE kwakila angle
UKRAINE wanaangamia
 
Ukraine apigane kivyovyote vile Putin na nchi nyingine zinazodharau wenzao zijifunze.Putin pamoja na kuipiga Ukraine,nadhani hakutegemea kama atakutana na anayokutana nayo.Ukraine agharamike ila na Putin pia imgharimu sana.Ukraine atasaidiwa kujijenga,Putin atapambana na protest ndani na nje ya nchi na hatimaye anaweza akafa au kuuawa siku za mbeleni.
Mkuu una akili ya kufikiria mbali . asante sana
 
Russia alikuwa anatoa vifaa chakavu store....
hajaanza kutumia silaha zake za kisasa
kwa kifupi Russia alikuwa anatafuta shimo la taka akatupe uchafu......
Sidhani mkuu Yaani aone wanajeshi wake wanakufa eti dump. La taka
 
Ni mwisho wa madikteta, Zelensky tokomeza madikteta, ukimalizana na huyo afuate dikteta wa Belarus baadae Africa.
 
Jidanganye
It’s of no consequence to me. Hata hivyo zingatia kuwa Putin (sio Urusi) anapambana na dunia. Hakuna ushindi hapo. Watamtembeza hadi aishiwe na kuachia ngazi. Ukraine wataijenga upya chap chap.

Kama walivyoua uchumi wa kikomunisti basi na tawala za kikomunisti (state dictatorship) zinahitaji akili kubwa kuzidumisha. Akajifunze kwa wajanja Xi Jinping na Kim jong un. Sio anavyojiexpose kwa jazba huko Ukraine.
 
Ukraine ni uwanja wa mapambano tu lakini vita ni vya nato na marekani dhidi ya Russia
 
German, UK, France n.k zimemuacha mbali kiuchumi Russia. Na si tu kiuchumi, hata kiteknolojia. Product za Ulaya sio za kitoto kabisa.

Ukiondoa Manuclear, tukisema zichapwe kawaida tu, UK au German au France, wanaingia mpaka Moscow mapema sana.
Hawawezi kukuamini hawa.. Russia Ameonesha weakness kubwa
 
Kwa nini usiandike, Ulaya na Marekani wapo Ukraine kuichokoza Russia.

Hili sasa jipya maana Urusi hajasema wala kulalamikia hilo. Yumkini pichani hata Putin anakushangaa pia:

IMG_20220302_122620_294.jpg
 
Ukraine apigane kivyovyote vile Putin na nchi nyingine zinazodharau wenzao zijifunze.Putin pamoja na kuipiga Ukraine,nadhani hakutegemea kama atakutana na anayokutana nayo.Ukraine agharamike ila na Putin pia imgharimu sana.Ukraine atasaidiwa kujijenga,Putin atapambana na protest ndani na nje ya nchi na hatimaye anaweza akafa au kuuawa siku za mbeleni.
Atajijengaje wakati maeneo yake muhimu itachukuliwa na warusi mpaka bahari yaani Kwa kifupi Ukraine inaenda kugawanywa.
 
That’s a very loose angle. Hiyo ni kuzipa ruhusa (blank check) nchi zenye nguvu na viongozi wakorofi kunyanyasa nchi nyonge.

Ni kama US ilipovamia Iraq 2003 bila kibali (sanction) ya UN. Au Germany ilipovamia Poland 1939 kwa kisingizio cha kujilinda kumbe tayari wana mipango ya kufagia hadi Moscow na London!


Nasema tena; kuvamia kwa nia ya kujilinda ni HAKI, mimi siungi mkono kuvamia kwa madai ya udanganyifu kama alivyofanya George Bush kule Iraq nk.
 
Nasema tena; kuvamia kwa nia ya kujilinda ni HAKI, mimi siungi mkono kuvamia kwa madai ya udanganyifu kama alivyofanya George Bush kule Iraq nk.
Kuvamia (kama ilivyo kwa kubaka) ni kuvamia tu. Haijali kafanya nani wapi.

Iwe Amini, Bush, Putin, NATO, Sirro nk. Ukivamia wewe ni mwovu tu.

Mpenda haki yeyote asipokemea hilo na astaafu tu. Atakuwa hana jipya!
 
Samahani Broh, hivi hii inaweza kuwa sababu ya kutosha kujustify uvamizi wa Russia? Marekani hawezi kufanya hivyo kupitia Estonia, Latvia au Turkey? Maana hao wote ni wanachama wa NATO wanalio karibu kabisa na Russia.
Nahitaji kujua Broh, sipo vizuri kwenye masuala haya ya siasa na migogoro ya kimataifa.


Ni sababu tosha kwani ngome pekee kwa usalama wa Russia upande wa Magharibi ni Belarus na Ukraine (neutral ground), mojawapo ya hizo ngome ikijiunga na NATO ni hatari kwa Russia na hiyo itapelekea hatari kwa usalama na amani ya dunia kwani kilichokuwa kinaendelea ni juhudi za US kuteza nguvu za Russia (super power) kupitia NATO ili hatimaye duniani kuwe na mbabe mmoja US. Hizo nchi zingine hakubali US atumie ardhi zao kama base za kijeshi, Zelensky ni pro US tofauti na Yule mtangulizi wake waliyemfurusha kwa hila madarakani kwa msaada wa US.
 
Back
Top Bottom