Ukraine sasa iko katika vita kamili vya kujikomboa

Ukraine sasa iko katika vita kamili vya kujikomboa

Kijeshi au kivita, Mrusi kapoteza zaidi kwa askari wengi na vifaa vingi (vifaru + ndege) kuangamizwa.

Ukraine imepoteza zaidi kwa miundombinu, majengo mengi kubomolewa, raia wengi kuuawa na kukimbilia uhamishoni.

Morali na kujitolea kupambana nako unakuzungumzia je?
 
Ukraine anabahati mbaya sana. Atapondwapondwa mpaka nukta ya mwisho. Hakuna kitu kitasalia. Lawama zote ziende kwa Zelensky, alitakiwa kukaa pamoja na Putin wayamalize.
Akae pamoja na mvamizi! Akili za kicomunist buana! Yaani Nyerere alitakiwa akae pamoja na nduli amini.
 
Ujinga ni kuamini kwamba hizo Hypersonic sijui Nuclear weapons anazo Russia pekee, NATO na Russia wakiingia vitamin hawachukui hata mwezi.. Russia haitabaki kitu. Russia hata kwa Germany hachomoki. Hapo tu Ukraine kapewa support ya vifaa sio ya Kijeshi na Russia kambwela.. akipata support ya kijeshi itakuwaje?

Kuwa na common sense kijana.
German, UK, France n.k zimemuacha mbali kiuchumi Russia. Na si tu kiuchumi, hata kiteknolojia. Product za Ulaya sio za kitoto kabisa.

Ukiondoa Manuclear, tukisema zichapwe kawaida tu, UK au German au France, wanaingia mpaka Moscow mapema sana.
 
USA kama yeye mbabe wa Dunia arushe hata risasi Moja katika Ardhi ya Russia halafu washirika wake wakae pembeni vita ipigwe Kati yake na Russia tuone mbabe Nani?...
Kwanini Russia asirushe Alaska afu aseme lilikuwa eneo lake la zamani ndo maana amerusha
 
We ni mpumbavu
Mara ngap amemtaka huyo Putin kichaa wazungumze huyo mshenzi amekataa

Mpumbavu tuu huyo
Dunia ya sasa haitak vita
Eti dunia ya sasa haitaki vita....
JamiiForums-1924464711_341x512.jpg
 
Kijeshi au kivita, Mrusi kapoteza zaidi kwa askari wengi na vifaa vingi (vifaru + ndege) kuangamizwa.

Ukraine imepoteza zaidi kwa miundombinu, majengo mengi kubomolewa, raia wengi kuuawa na kukimbilia uhamishoni.
Kama uchaguzi ukifanyika Ukraine huyu raisi wa sasa hapati kitu.
 
German, UK, France n.k zimemuacha mbali kiuchumi Russia. Na si tu kiuchumi, hata kiteknolojia. Product za Ulaya sio za kitoto kabisa.

Ukiondoa Manuclear, tukisema zichapwe kawaida tu, UK au German au France, wanaingia mpaka Moscow mapema sana.
Russia ni kama kiduku tu, wanajivunia nuclear lakini kavukavu hamna kitu
 
Morali na kujitolea kupambana nako unakuzungumzia je?

Certainly, Ukraine ni zaidi. Urusi wameonyesha udhaifu mkubwa. Tegemeo lao kubwa ni ndege, mizinga na makombora. Ground combat wanazidiwa na Ukraine.
 
Inaonekana jana usiku ulipelekewa moto mpaka wenge limekushika asa unaona na ursi nae anapelewa moto em kaa kwa kutulia afu washa feny jipepelee kwanza huo usweetest ...upoe kwanza maana bado una wenge la jana.....
Unatype huku umeshikishwa ukuta, mwambie huyo Basha achomoe kwanza uandike vizuri.
 
Certainly, Ukraine ni zaidi. Urusi wameonyesha udhaifu mkubwa. Tegemeo lao kubwa ni ndege, mizinga na makombora. Ground combat wanazidiwa na Ukraine.

Wanapambana na yatima aliyetayari kujilinda hata kwa mawe.

Wako tayari kuuwa wangapi?
 
zelensk hakuwa rais aliyechaguliwa na wa Ukraine wenyewe,NI pandikizi la USA &NATO ,alipandikizwa ili a push ku accomplish the mission dhidi ya russia. Thus why haoni hasara yeyote kwa dhiki wanayopitia waukraine .since when US & NATO become a truely friend!!?? Since when !!!???, if you see Americans are close to u ,there something paratable for their stomach!!!
Hivi mtu kama huyu alichaguliwaje kua rais?
Screenshot_20220329-215255.jpg
 
Inaonekana jana usiku ulipelekewa moto mpaka wenge limekushika asa unaona na ursi nae anapelewa moto em kaa kwa kutulia afu washa feny jipepelee kwanza huo usweetest ...upoe kwanza maana bado una wenge la jana.....
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] aiseee
 
Inafurahisha hii vita ambavyo wamatumbi wanaigeuza kuwa ya kidini! Hii sio Crusade war labda tukumbushane hilo maana tunaoumia ni sisi ambao hatushabikii huu umwinyi.


Maandazi siku hizi sh mia tano, mafuta ya kupikia bei ya Tanzanite, sio muda tutaacha kutumia usafiri wa umma maana nauli tunakoelekea hazishikiki.

Narudia tena hii vita atakayeumia zaidi ni Africa kuliko hata Ukraine na Russia, Endeleeni kushabikia ujinga ila nawahakikishia itafika muda humu wote mtakaa kimya baada ya kugundua mlikuwa mnaadvocate umbwiga!.
Hasahasa hawa wavaa makobasi. Na mwezi huu wapo kwenye mfungo sijui watafuturu na uji wa mahindi maana bidhaa bei zake zipo juu.

Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom