- Thread starter
- #201
Kijeshi au kivita, Mrusi kapoteza zaidi kwa askari wengi na vifaa vingi (vifaru + ndege) kuangamizwa.
Ukraine imepoteza zaidi kwa miundombinu, majengo mengi kubomolewa, raia wengi kuuawa na kukimbilia uhamishoni.
Morali na kujitolea kupambana nako unakuzungumzia je?