Nkerebhuke
JF-Expert Member
- Nov 1, 2021
- 796
- 2,026
Limbukeni sana wewe kuna vitu vimekuzidi uelewa unaanika ujinga wako hapaMjumbe wa shetani umeshakunywa chai?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Limbukeni sana wewe kuna vitu vimekuzidi uelewa unaanika ujinga wako hapaMjumbe wa shetani umeshakunywa chai?
Majeshi au Ndege vitaPoland anamtamani wapi Russia nakati alipoambiwa na USA apeleke majeshi yake ya NATO Ukraine alikataa na kudai hayuko tayari kupeleka majeshi ya NATO [emoji848][emoji4]
Poland alisisitiza tena, "ikiwa USA yuko tayari kupeleka majeshi ya NATO basi Poland apeleke hayo majeshi ya NATO pale Germany kisha USA akayachukulie pale Germany"
Sasa wewe Mmarekani mweusi toka Matombo unajifanya unaijua sana Poland kuliko Poland inavyojijua yenyewe [emoji1787]
Humu namo mna vita ,ingawa ya maneno between West and East
Si unaona ulivyo boya,Mimi nimeitwa na yule jamaa Ni Mjumbe wa shetani na ww ukasema jamaa ametumia lugha nzuri,na Mimi nikakuita wewe Ni agent wa shetani nione response yako naona Sasa uko unapiga mayowe.Limbukeni sana wewe kuna vitu vimekuzidi uelewa unaanika ujinga wako hapa
Na mashetani wanajulikana hapo,Ni ule upande unaolazimisha watu wawe mashoga na wasagaji na kulipigia debe suala hilo ambapo upande huo ni US/NATO na mashabiki wao popote pale walipo duniani.Naam humu namo kuna vita kama ya Shetani (mabaya) na Mungu (mema)
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji116]View attachment 2180172View attachment 2180171
😄😄😄😄 Labda nimetoka 'Loyal family' na sio royal family.Ni kweli kabisa nyie wengine mnatoka kwa royal familie huenda vita kwenu ni burudani lakini kwasisi wengine vita inatuumiza.
Kuna siku utakuja kugundua wewe ndio muathirika mkuu wa hii vita kuliko hata Russia na Ukraine.
Sinaga team mimi mkuuUmeamua kuwasaliti MAKOLO na kuhamia kwa Young Africans/Yanga/timu ya wananchi [emoji848][emoji38]
Ni ivyo ivyo Russia hawezi kurusha hata bunduki pale Poland tuuuuu, anaogopa atapigwa na kitu kizito kichwaniUSA kama yeye mbabe wa Dunia arushe hata risasi Moja katika Ardhi ya Russia halafu washirika wake wakae pembeni vita ipigwe Kati yake na Russia tuone mbabe Nani?...
[emoji2][emoji2]..ungeandika kiswahili tuu mkuu ghara la silaha au amoury...Sawa Mtunza Amare wa URUSI
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] Basi hizo habari zote nitakua nimeziandika Mimi kutoka kichwani kwangu [emoji1][emoji1][emoji1]Uongo uongo... Hakuna nchi inaweza kutangaza kitu kama hicho hata km kina ukweli.
Katafute. TusichoshaneAliyekuaminisha ndani ya siku 3 Ukraine itakua chali Ni Nani?
*102# na *149*60#Katafute. Tusichoshane
Akiwemo PutinMadikiteta most of time hawatumii akili
We kanjanja huelew chochote uko unakula mihogo tuu na kunyaa....juzi hapa wamesema USA, UK, Astralia na Canada wameungana kufanya intensive research juu ya hypersonic bombs..ww unakunya kunya tu kuwa wanayooKkkkk, USA, Canada, Australia wanazo hypasonic
Kwa hiyo wameamua ku clear ghafla la silaha za kizamani na kuwatoa muhanga Askari wake wa kirusi kuuawa kama kuku Ukraine ?Russia alikuwa anatoa vifaa chakavu store....
hajaanza kutumia silaha zake za kisasa
kwa kifupi Russia alikuwa anatafuta shimo la taka akatupe uchafu......
Una bima?*102# na *149*60#
No.2457894312-Jubilee ins.Una bima?