Ukraine sasa iko katika vita kamili vya kujikomboa

Ukraine sasa iko katika vita kamili vya kujikomboa

Kwani hizo hypersonic hazijatumika kwenye hii vita au wewe umeanza kufuatilia jana hii vita? Zimetumika na hakuna jipya zaidi ya kasi yake ya kufikia target husika kwa haraka,lakini madhara yake ni madogo sana zinazidiwa hata na Tomahawk Missile.



Hypersonic ni jet Engine inayokimbia kwa kuanzia 5 mach na zaidi kuliko kasi ya sauti na inaweza kubeba Nuke heads, hofu kubwa ni pale ambapo hypersonic itatumika kubeba hivyo vichwa vya nuclear au cluster bombs.

Hypersonic kimsingi ni kama gari linaloweza kubeba mabomu na kuyapeleka kwa kasi kubwa kwenye target.
 
Ndege inayobeba
Watu au fighter jets zenye rubani mmoja ni Supersonic yaani less than 5 mach na sio Hypersonic, Hypersonic ni jet engine inayobeba silaha ambazo nyingi ni guided, Hypersonic (silaha) za mrusi ni more than the 5 mach na zipo accurate vya kutosha kitu ambacho kinampa hofu America.

With Physics, lakini hayo yote ni ya kuzingatia.
Soma hiyo
Screenshot_20220406-215243.jpg
Screenshot_20220406-215340.jpg
Screenshot_20220408-025225.jpg
 
Ni hivi huyo Ukraine apigwe na Russia au asiaidiwe na NATO hainuhusu
Kinachonihusu ni huyu mpumbavu putin anavuruga utaratibu wangu wa maisha ya kila siku na tena hata siishi Ukraine,
Hili ndio tatizo kwangu ambalo linanihusu, lakini vichwa mavi vya kibongo wanaomshabikia putin, labda sababu maisha yenyewe kwao ni kubabatiza(choka mbaya) na ameshazoea umasikini kwa hiyo hata haoni gharama za maisha kupanda kutokana na sababu za kijinga za huyu mpuuzi putin.

Kwamba apigwe mtu asipigwe kwa vile si wewe haikuhusu. Huo ni ubinafsi na ndipo ulipo msingi wa hoja:

"Haki kwa albino, bibi kuzeeka usukumani, haki elimu, haki ardhi, haki katiba nk."

Hii si ushabiki wa vita. Hii ni kutambua ukiukwaji wa haki na mazaga zaga yake.

Wewe kwako muhimu ni mazaga zaga peke yake?
 
Russia ni kidume wa kweli. NATO imeundwa na USA ili kukabiliana na Russia. NATO wangekubali tu kuficha aibu kwa kjtaka hii vita iishe mapema kwani katika hali yoyote ile ktk hii vita Russia atawavuruga vibaya sana.

Naona sasa USA analazimisha dunia nzima iwe upande wake anafikilia watu wote ni wapumbavu. Sasahivi kwa kulazimisha sapoti amekuja na vitisho vya kukata misaada ya 40%


Kwenye hii vita nato wameingia cha kike wamepata aibu kubwa na ndio maana wana haha kutaka sapoti ya dunia nzima
 
Kumbe wewe jamaa ni mgeni hufahamu haya mambo?!

No fly zone unaifafanuaje?

Unafikiri Zelensky alivyokuwa anaiomba alirukwa na akili?

Wewe ndiye unayeifahamu no fly zone ambayo Ukraine haiiombi tena?

Hiiiiii bagosha!

Nisiache kukukumbusha hapa si maneno yangu bali ni ya Ukraine. Au wewe sasa ndiyo unadhani wamerukwa na akili?

IMG_20220407_202246_619.jpg
 
Hii vita mrusi atanyoosha mikono juu na atapata fundisho next time asiwe na kimbelembele maana mrusi kama kuvumiliwa amevumiliwa sana na Ukraine think alichukua crimea akanyamaziwa then akaja kubeba na yale majimbo mawili tena akanyamaziwa kimya, now akaona kanogewa sasa akaingia mazima kuiteka Ukraine nzima iwe chini ya Russia hahaha , ndio maana hata mataifa ya mangaribi yamejiingiza kwenye hii vita kwa kumwaga silaha maana hata wao wameshtuka kwamba Russia akiiteka Ukraine hataishia hapo sababu kashanogewa atalivamia taifa lingine ulaya kama akinyamaziwa

Nyerere Mwenyewe aliwahi kusema endapo Idamin angenyamaziwa basi angemaliza kuiteka Tanzania kesho angefuata Kenya, ndio maana Idiamini akatembezewa kipigo chap , na anayoyafanya Putin ni yale yale ya Idamin kuiteka kagera, sasa kama Nyerere alicharuka kuingia vitani kutetea ardhi yetu iweje Zelensky akubali yaishe eti ajisalimishe kama sio wehu nyie?

Putin kwa sasa anapambana na Ulaya na marekani nzima maana washamchoka na Ulaya imeshtuka kuwa anaweza akavamia mataifa kila kukicha kama akinyamaziwa, kwa sasa Urusi atapigwa ambush kila kikicha hadi atarudi kwenye nchi yake

Maana ameingia kwenye Taifa ambalo raia wamegoma kuisaliti nchi yao na wamemwagiwa silaha na wanapigania ardhi yao yaani hata mamluki wa kuisaliti nchi hamna , Russia atakuwa anapigwa mashambulizi ya kushtukiza hadi akome na ataikimbia ukraine ni swala la muda tu, na hii vita ikiisha Putin atakuwa amepata fundisho kuwa sio kila sehem ni ya kuvamia hovyo hovyo

Na kunapoelekea kama hii vita haitoisha kwa Diplomasia au mrusi kuondosha majeshi yake Ukraine basi inaweza kuja kutokea Vita ya kutisha pale Ulaya sababu kila kukicha Ukraine anapitishiwa silaha nzito kutoka kwa majirani zake na baadhi ya majirani zake ni memba wa Nato

Sasa ipo Siku Russia atarusha kombora kwenye moja ya nchi iliyojiunga na NATO kwa kisingizio cha kuzuia kupishwa kwa silaha na hapo ndio itaibuka vita ya kutisha na tuombe sana isifikie huko ila kuna kila Dalili mrusi atakuja kushambulia nchi zinazompitishia silaha Ukraine na hapo ndio itaibuka vita kubwa ya kutisha

Hata Hitler kipindi anatabia ya kuvamia vamia nchi jirani hakuwahi kujua kuwa kuna siku atakuja kukutana na upinzani mkali , mwisho wake wengi mnaujua



Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Keyboard warriors [emoji16]
 
Poland anamtamani sana Urusi.
NATO na washirika walitamani sana kujua uwezo wa Urusi sasa washaujua, Urusi ana supply problem, kupitia Ukraine NATO wamepeleka ATGM nyingi ambazo zimeharibu zaidi ya 10pc ya vifaru vya Urusi

Sent using Jamii Forums mobile app
Russia is overrated kabisa
 
Haiombi tena sababu walimwambia wazi kwamba hawawezi kueka No fly zone wanaogopa

Hudhani kuwa ni kwa sababu sasa hivi parameters zote kwa sasa zina eleweka sawa sawa?

Hudhani kuwa ndiyo sababu kwenye red kuna husika:

IMG_20220408_095229_824.jpg
 
Wanajikomboa na nini ?.Mrusi apumzike halafu aendelee kumuwinda Zelensky.Ameitia dunia katika shida ili kufanikisha uyahudi wake.
 
Back
Top Bottom