RTI
JF-Expert Member
- Dec 20, 2018
- 2,423
- 7,155
Na ita sababisha maafa makubwa sana.Kyiv akipewa anachotaka basi hii vita itakuwa mbaya kwa wote na itachukua muda mrefu
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ita sababisha maafa makubwa sana.Kyiv akipewa anachotaka basi hii vita itakuwa mbaya kwa wote na itachukua muda mrefu
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha ushamba basi brother, mbona mwenzako katoa mawazo ya staha. Urusi imekufanyia nini wewe mbona una mihemko hivyo kaka😄😄😄 mtetezi wa mashoga na washirika wake.
Yeah ndo ugum, ukiwa hypersonic na kuwa acurate ni ngum, ila ndege zaidi ya match 5 zipo, fatilia hypersonic fighters, sema hyo speed ni katika short burstsNdege inayobeba
Watu au fighter jets zenye rubani mmoja ni Supersonic yaani less than 5 mach na sio Hypersonic, Hypersonic ni jet engine inayobeba silaha ambazo nyingi ni guided, Hypersonic (silaha) za mrusi ni more than the 5 mach na zipo accurate vya kutosha kitu ambacho kinampa hofu America.
With Physics, lakini hayo yote ni ya kuzingatia.
Atavuna alichopanda. Siyo Donbas na Lohansk peke yake kumbe jamaa wanaitaka na Crimea kabisa.
Kumbe ndiyo sababu ya mabio yote kurejea nyuma ili kujizatiti kwanza kwenye matatu hayo.
Kazi anayo.
Poland anamtamani wapi Russia nakati alipoambiwa na USA apeleke majeshi yake ya NATO Ukraine alikataa na kudai hayuko tayari kupeleka majeshi ya NATO [emoji848][emoji4]Poland anamtamani sana Urusi.
NATO na washirika walitamani sana kujua uwezo wa Urusi sasa washaujua, Urusi ana supply problem, kupitia Ukraine NATO wamepeleka ATGM nyingi ambazo zimeharibu zaidi ya 10pc ya vifaru vya Urusi
Sent using Jamii Forums mobile app
Weka hapa link au video inayoonesha Russia aliithibitishia dunia baada ya siku 3 tu atakuwa kashaichukua Ukraine, mtumwa wa fikra na mahabuba mkubwa wa USA na EU wewe [emoji16]
Mjumbe wa shetani umeshakunywa chai?Acha ushamba basi brother, mbona mwenzako katoa mawazo ya staha. Urusi imekufanyia nini wewe mbona una mihemko hivyo kaka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hivi ilikuweje Ukraine wakakapa haka kanjemba uraisi!!???
yani kama hapa bongo tukape uraisi Ka stiv Nyerere utakuwa ni utaahira!!!
Bm-21 zinawatosha UKRAINE na mabasha wake.kwa nini Russia hatumii zile kombora zake za hypersonic
Akitumia tu basi jiandae kupata haki yako ya kifo tokana na WW III [emoji847]kwa nini Russia hatumii zile kombora zake za hypersonic
Vita iendelee.Inafurahisha hii vita ambavyo wamatumbi wanaigeuza kuwa ya kidini! Hii sio Crusade war labda tukumbushane hilo maana tunaoumia ni sisi ambao hatushabikii huu umwinyi.
Maandazi siku hizi sh mia tano, mafuta ya kupikia bei ya Tanzanite, sio muda tutaacha kutumia usafiri wa umma maana nauli tunakoelekea hazishikiki.
Narudia tena hii vita atakayeumia zaidi ni Africa kuliko hata Ukraine na Russia, Endeleeni kushabikia ujinga ila nawahakikishia itafika muda humu wote mtakaa kimya baada ya kugundua mlikuwa mnaadvocate umbwiga!.
Aliyekuaminisha ndani ya siku 3 Ukraine itakua chali Ni Nani?Tukaaminishwa ndani ya siku tatu Ukraine itakua chali.
Ikaja wiki.
Wakasema kesho tu Putin anamaliza kazi.
Moto unazidi kuwaka.
Bei za vitu zinapaa.
Raia wamekomaa kusema vita iendelee
Umeamua kuwasaliti MAKOLO na kuhamia kwa Young Africans/Yanga/timu ya wananchi [emoji848][emoji38]Mtu pekee wa kusimamisha hii vita ni fiston mayele
Vita vyote ni kwa maslahi ya watawala, wahanga wakubwa ni wananchi waliowachagua pamoja na watoto...wakati familia za wanasisa zikiwa mahala salama..Sipendi vita.. Sipendi majeruhi sipendj vifo vya wasio na hatia.. Miji mizuri, historia na kumbukumbu mbali mbali vinaharibiwa kwa dakika tuu.. Miundombinu inavurugwa na kuharibiwa kabisa..SIPENDI vita nakikumbuka ya Sarajevo , Bosnia na Hezgovina sina hamu kabisa na vita
Jiwe hakuwa komedian jifunze kutofautisha vitu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni sawa na sisi tulivyompa urais mtu kama Jiwe.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ni kweli kabisa nyie wengine mnatoka kwa royal familie huenda vita kwenu ni burudani lakini kwasisi wengine vita inatuumiza.Vita iendelee.View attachment 2180198