Ukraine sasa iko katika vita kamili vya kujikomboa

Ukraine sasa iko katika vita kamili vya kujikomboa

Ndege inayobeba
Watu au fighter jets zenye rubani mmoja ni Supersonic yaani less than 5 mach na sio Hypersonic, Hypersonic ni jet engine inayobeba silaha ambazo nyingi ni guided, Hypersonic (silaha) za mrusi ni more than the 5 mach na zipo accurate vya kutosha kitu ambacho kinampa hofu America.

With Physics, lakini hayo yote ni ya kuzingatia.
Yeah ndo ugum, ukiwa hypersonic na kuwa acurate ni ngum, ila ndege zaidi ya match 5 zipo, fatilia hypersonic fighters, sema hyo speed ni katika short bursts
 
Mnafatilia hii vita lakini.maana hao ukraine mnaowasema kazi yao ni ku defence wala sio kushambulia ndo maana kila baada ya muda utasikia warusi wamechukua mji fulani.ukraine wao wanapigana kwa kuvizia
Atavuna alichopanda. Siyo Donbas na Lohansk peke yake kumbe jamaa wanaitaka na Crimea kabisa.

Kumbe ndiyo sababu ya mabio yote kurejea nyuma ili kujizatiti kwanza kwenye matatu hayo.

Kazi anayo.
 
Poland anamtamani sana Urusi.
NATO na washirika walitamani sana kujua uwezo wa Urusi sasa washaujua, Urusi ana supply problem, kupitia Ukraine NATO wamepeleka ATGM nyingi ambazo zimeharibu zaidi ya 10pc ya vifaru vya Urusi

Sent using Jamii Forums mobile app
Poland anamtamani wapi Russia nakati alipoambiwa na USA apeleke majeshi yake ya NATO Ukraine alikataa na kudai hayuko tayari kupeleka majeshi ya NATO [emoji848][emoji4]

Poland alisisitiza tena, "ikiwa USA yuko tayari kupeleka majeshi ya NATO basi Poland apeleke hayo majeshi ya NATO pale Germany kisha USA akayachukulie pale Germany"

Sasa wewe Mmarekani mweusi toka Matombo unajifanya unaijua sana Poland kuliko Poland inavyojijua yenyewe [emoji1787]
 
Hivi ilikuweje Ukraine wakakapa haka kanjemba uraisi!!???
yani kama hapa bongo tukape uraisi Ka stiv Nyerere utakuwa ni utaahira!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni sawa na sisi tulivyompa urais mtu kama Jiwe.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Inafurahisha hii vita ambavyo wamatumbi wanaigeuza kuwa ya kidini! Hii sio Crusade war labda tukumbushane hilo maana tunaoumia ni sisi ambao hatushabikii huu umwinyi.


Maandazi siku hizi sh mia tano, mafuta ya kupikia bei ya Tanzanite, sio muda tutaacha kutumia usafiri wa umma maana nauli tunakoelekea hazishikiki.

Narudia tena hii vita atakayeumia zaidi ni Africa kuliko hata Ukraine na Russia, Endeleeni kushabikia ujinga ila nawahakikishia itafika muda humu wote mtakaa kimya baada ya kugundua mlikuwa mnaadvocate umbwiga!.
 
Tukaaminishwa ndani ya siku tatu Ukraine itakua chali.

Ikaja wiki.

Wakasema kesho tu Putin anamaliza kazi.

Moto unazidi kuwaka.

Bei za vitu zinapaa.

Raia wamekomaa kusema vita iendelee
 
Inafurahisha hii vita ambavyo wamatumbi wanaigeuza kuwa ya kidini! Hii sio Crusade war labda tukumbushane hilo maana tunaoumia ni sisi ambao hatushabikii huu umwinyi.


Maandazi siku hizi sh mia tano, mafuta ya kupikia bei ya Tanzanite, sio muda tutaacha kutumia usafiri wa umma maana nauli tunakoelekea hazishikiki.

Narudia tena hii vita atakayeumia zaidi ni Africa kuliko hata Ukraine na Russia, Endeleeni kushabikia ujinga ila nawahakikishia itafika muda humu wote mtakaa kimya baada ya kugundua mlikuwa mnaadvocate umbwiga!.
Vita iendelee.
JamiiForums-1190953639.jpg
 
Tukaaminishwa ndani ya siku tatu Ukraine itakua chali.

Ikaja wiki.

Wakasema kesho tu Putin anamaliza kazi.

Moto unazidi kuwaka.

Bei za vitu zinapaa.

Raia wamekomaa kusema vita iendelee
Aliyekuaminisha ndani ya siku 3 Ukraine itakua chali Ni Nani?
 
Sipendi vita.. Sipendi majeruhi sipendj vifo vya wasio na hatia.. Miji mizuri, historia na kumbukumbu mbali mbali vinaharibiwa kwa dakika tuu.. Miundombinu inavurugwa na kuharibiwa kabisa..SIPENDI vita nakikumbuka ya Sarajevo , Bosnia na Hezgovina sina hamu kabisa na vita
Vita vyote ni kwa maslahi ya watawala, wahanga wakubwa ni wananchi waliowachagua pamoja na watoto...wakati familia za wanasisa zikiwa mahala salama..
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni sawa na sisi tulivyompa urais mtu kama Jiwe.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Jiwe hakuwa komedian jifunze kutofautisha vitu
 
Back
Top Bottom