Hii vita ni Russia vs west countries, battlefield ni ukraine,,, saa hizi ukraine wanapata support zote kuanzia intelligence, sattelite image za Russia military movements, etc,
Siku vita inaanza Russia walipanga kuuteka uwanja mkuu wa ndege wa Antonov ulio karibu na kiev, ili wakisha usecure , ndege za russia za mizigo zianze kushusha maelfu ya askari na magari ya delaya vifaru, etc tayari kwa kuuteka mji mkuu kiev,
Operation ilikua iishe ndani ya saa 24 kama walivyouteka crimea 2014,
Kilichotokea kumbe, wamarekani satelites zao zimenasa mpango wote, kwa maana ya movements za askari wa russia
Wakawapa information ukraine. Ikaandaliwa bonge ya Ambush ya hatari,
Warusi usiku wakaanza kuchupa kwa parachuti maeneo ya Antonov airport,, mamia ya paratroops,
Pale airport walikuwa wanajeshi wachache wa ukraine,, wakaweka challenge kidogo ya uongo na kweli kisha wakakimbia,,
Askari wa Russia wakajua tayari wameuteka uwanja wa antonov.
Kumbe bana jamaa wamewaotea,, basi askari wa Russia wakaanza kushuka kwa mamia. Kabla hawajakaa sawa wakaanza kushambuliwa kwa maroketi, katyusha,, mvua ya hatari ya rockets.
Hawajakaa sawa, wakazungukwa,, sasa ikaawa fighting for life,,
Russia kugundua wameingia mtego,, wakaitisha airstrike ili ziwasaidie,, zikaja helcopter karibu 50 kuwasaidia,
Shida ile vita, wamarekani wako wana monitor na kutoa direction ukraine wapige wapi,, adui yuko wapi, hivyo ukraine alenge wapi,
Zile helcopter zilionwa mapema kabla hata hazijakaribia,,, zikadunguliwa nyingi,,
Russia sasa wakapoteana, wamezungukwa na wako behind enemy line,,
Kwa ufupi, askari wengi wa Russia walikufa na kutekwa pia. Wachache sana waliokoka, karibu kikosi chite kilipotea,
Wakaupoteza uwanja,,,
Russia walikuja kuuteka tena siku tatu baadae baada ya mapigano makali sana,,
Japo majuzi waliuachia,, hivi sasa Russia kashausoma mchezo, anapambana na mataifa yote ya magharibi,
So kwa sasa anapiga kwa hesabu kubwa,, anaharibu maghala ya silaha na mafuta ya ukraine. ,kwa maana ni kuwa bila reserve za mafuta , ukraine military movements zitakuwa restricted,
Pia akiharibu maghara ya silaha na air defence system za ukraine hatimae ukraine atashindwa kupigana