Ukraine sasa iko katika vita kamili vya kujikomboa

Ukraine sasa iko katika vita kamili vya kujikomboa

Kwa hiyo ndio aachwe tu avamie nchi nyingine. Kuvamia nchi nyingine siyo sawa - iwe na Russia ama USA.
Hivi wewe unajua Hypersonic ni kitu gani hadi imepewa hilo jina??--- usijifanye unajua kumbe hujui kitu.

Hypersonic ni kifaa au injini inayopaa angani na kukimbia mara 5 na Zaidi ya hapo kuliko mwendokasi wa sauti, ni Russia pekee ndiye mwenye Injini za uwezo huo duniani, ingine hizo zinauwezo wa kubeba silaha za Nyuklia na hakuna defensive shield yoyote kwa muda huu inayoweza kuizuia hiyo Hypersonic , hata defense za mrusi mwenyewe S-500 ambazo ni bora kuliko defensive zote haziwezi kuzuia Hypersonic, Mrusi kwa maana hiyo ana Upper hand dhidi ya nchi yoyote pindi ikitokea the "'press button war'.
 
Hii vita ni Russia vs west countries, battlefield ni ukraine,,, saa hizi ukraine wanapata support zote kuanzia intelligence, sattelite image za Russia military movements, etc,
Siku vita inaanza Russia walipanga kuuteka uwanja mkuu wa ndege wa Antonov ulio karibu na kiev, ili wakisha usecure , ndege za russia za mizigo zianze kushusha maelfu ya askari na magari ya delaya vifaru, etc tayari kwa kuuteka mji mkuu kiev,
Operation ilikua iishe ndani ya saa 24 kama walivyouteka crimea 2014,
Kilichotokea kumbe, wamarekani satelites zao zimenasa mpango wote, kwa maana ya movements za askari wa russia
Wakawapa information ukraine. Ikaandaliwa bonge ya Ambush ya hatari,
Warusi usiku wakaanza kuchupa kwa parachuti maeneo ya Antonov airport,, mamia ya paratroops,
Pale airport walikuwa wanajeshi wachache wa ukraine,, wakaweka challenge kidogo ya uongo na kweli kisha wakakimbia,,
Askari wa Russia wakajua tayari wameuteka uwanja wa antonov.
Kumbe bana jamaa wamewaotea,, basi askari wa Russia wakaanza kushuka kwa mamia. Kabla hawajakaa sawa wakaanza kushambuliwa kwa maroketi, katyusha,, mvua ya hatari ya rockets.
Hawajakaa sawa, wakazungukwa,, sasa ikaawa fighting for life,,
Russia kugundua wameingia mtego,, wakaitisha airstrike ili ziwasaidie,, zikaja helcopter karibu 50 kuwasaidia,
Shida ile vita, wamarekani wako wana monitor na kutoa direction ukraine wapige wapi,, adui yuko wapi, hivyo ukraine alenge wapi,
Zile helcopter zilionwa mapema kabla hata hazijakaribia,,, zikadunguliwa nyingi,,
Russia sasa wakapoteana, wamezungukwa na wako behind enemy line,,
Kwa ufupi, askari wengi wa Russia walikufa na kutekwa pia. Wachache sana waliokoka, karibu kikosi chite kilipotea,
Wakaupoteza uwanja,,,
Russia walikuja kuuteka tena siku tatu baadae baada ya mapigano makali sana,,
Japo majuzi waliuachia,, hivi sasa Russia kashausoma mchezo, anapambana na mataifa yote ya magharibi,
So kwa sasa anapiga kwa hesabu kubwa,, anaharibu maghala ya silaha na mafuta ya ukraine. ,kwa maana ni kuwa bila reserve za mafuta , ukraine military movements zitakuwa restricted,
Pia akiharibu maghara ya silaha na air defence system za ukraine hatimae ukraine atashindwa kupigana
Hii vita mrusi atanyoosha mikono juu na atapata fundisho next time asiwe na kimbelembele maana mrusi kama kuvumiliwa amevumiliwa sana na Ukraine think alichukua crimea akanyamaziwa then akaja kubeba na yale majimbo mawili tena akanyamaziwa kimya, now akaona kanogewa sasa akaingia mazima kuiteka Ukraine nzima iwe chini ya Russia hahaha , ndio maana hata mataifa ya mangaribi yamejiingiza kwenye hii vita kwa kumwaga silaha maana hata wao wameshtuka kwamba Russia akiiteka Ukraine hataishia hapo sababu kashanogewa atalivamia taifa lingine ulaya kama akinyamaziwa

Nyerere Mwenyewe aliwahi kusema endapo Idamin angenyamaziwa basi angemaliza kuiteka Tanzania kesho angefuata Kenya, ndio maana Idiamini akatembezewa kipigo chap , na anayoyafanya Putin ni yale yale ya Idamin kuiteka kagera, sasa kama Nyerere alicharuka kuingia vitani kutetea ardhi yetu iweje Zelensky akubali yaishe eti ajisalimishe kama sio wehu nyie?

Putin kwa sasa anapambana na Ulaya na marekani nzima maana washamchoka na Ulaya imeshtuka kuwa anaweza akavamia mataifa kila kukicha kama akinyamaziwa, kwa sasa Urusi atapigwa ambush kila kikicha hadi atarudi kwenye nchi yake

Maana ameingia kwenye Taifa ambalo raia wamegoma kuisaliti nchi yao na wamemwagiwa silaha na wanapigania ardhi yao yaani hata mamluki wa kuisaliti nchi hamna , Russia atakuwa anapigwa mashambulizi ya kushtukiza hadi akome na ataikimbia ukraine ni swala la muda tu, na hii vita ikiisha Putin atakuwa amepata fundisho kuwa sio kila sehem ni ya kuvamia hovyo hovyo

Na kunapoelekea kama hii vita haitoisha kwa Diplomasia au mrusi kuondosha majeshi yake Ukraine basi inaweza kuja kutokea Vita ya kutisha pale Ulaya sababu kila kukicha Ukraine anapitishiwa silaha nzito kutoka kwa majirani zake na baadhi ya majirani zake ni memba wa Nato

Sasa ipo Siku Russia atarusha kombora kwenye moja ya nchi iliyojiunga na NATO kwa kisingizio cha kuzuia kupishwa kwa silaha na hapo ndio itaibuka vita ya kutisha na tuombe sana isifikie huko ila kuna kila Dalili mrusi atakuja kushambulia nchi zinazompitishia silaha Ukraine na hapo ndio itaibuka vita kubwa ya kutisha

Hata Hitler kipindi anatabia ya kuvamia vamia nchi jirani hakuwahi kujua kuwa kuna siku atakuja kukutana na upinzani mkali , mwisho wake wengi mnaujua



Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
 
Ulipo mgogoro kila kitu ni wazi.

NATO kajiingiza ila vita ndani ya Ukraine. Haipo siri tena:

"Vita vikuu vya dunia kupiganiwa Ukraine."

Putin kaonyesha kulielewa somo mapema. Amekimbia mbio sana mithili ya aliyefumaniwa kuwahi Donbas, Lohansk na Crimea.

Hayupo anayetaka vita. Ukraine kapelekewa vita. Ukraine yuko katika kujikomboa na gharama yake ameikubali.

Habari ndiyo hiyo.
Umevaa dela la rangi gani??
 
Hii vita mrusi atanyoosha mikono juu na atapata fundisho next time asiwe na kimbelembele maana mrusi kama kuvumiliwa amevumiliwa sana na Ukraine think alichukua crimea akanyamaziwa then akaja kubeba na yale majimbo mawili tena akanyamaziwa kimya, now akaona kanogewa sasa akaingia mazima kuiteka Ukraine nzima iwe chini ya Russia hahaha , ndio maana hata mataifa ya mangaribi yamejiingiza kwenye hii vita kwa kumwaga silaha maana hata wao wameshtuka kwamba Russia akiiteka Ukraine hataishia hapo sababu kashanogewa atalivamia taifa lingine ulaya kama akinyamaziwa

Nyerere Mwenyewe aliwahi kusema endapo Idamin angenyamaziwa basi angemaliza kuiteka Tanzania kesho angefuata Kenya, ndio maana Idiamini akatembezewa kipigo chap , na anayoyafanya Putin ni yale yale ya Idamin kuiteka kagera, sasa kama Nyerere alicharuka kuingia vitani kutetea ardhi yetu iweje Zelensky akubali yaishe eti ajisalimishe kama sio wehu nyie?

Putin kwa sasa anapambana na Ulaya na marekani nzima maana washamchoka na Ulaya imeshtuka kuwa anaweza akavamia mataifa kila kukicha kama akinyamaziwa, kwa sasa Urusi atapigwa ambush kila kikicha hadi atarudi kwenye nchi yake

Maana ameingia kwenye Taifa ambalo raia wamegoma kuisaliti nchi yao na wamemwagiwa silaha na wanapigania ardhi yao yaani hata mamluki wa kuisaliti nchi hamna , Russia atakuwa anapigwa mashambulizi ya kushtukiza hadi akome na ataikimbia ukraine ni swala la muda tu, na hii vita ikiisha Putin atakuwa amepata fundisho kuwa sio kila sehem ni ya kuvamia hovyo hovyo

Na kunapoelekea kama hii vita haitoisha kwa Diplomasia au mrusi kuondosha majeshi yake Ukraine basi inaweza kuja kutokea Vita ya kutisha pale Ulaya sababu kila kukicha Ukraine anapitishiwa silaha nzito kutoka kwa majirani zake na baadhi ya majirani zake ni memba wa Nato

Sasa ipo Siku Russia atarusha kombora kwenye moja ya nchi iliyojiunga na NATO kwa kisingizio cha kuzuia kupishwa kwa silaha na hapo ndio itaibuka vita ya kutisha na tuombe sana isifikie huko ila kuna kila Dalili mrusi atakuja kushambulia nchi zinazompitishia silaha Ukraine na hapo ndio itaibuka vita kubwa ya kutisha

Hata Hitler kipindi anatabia ya kuvamia vamia nchi jirani hakuwahi kujua kuwa kuna siku atakuja kukutana na upinzani mkali , mwisho wake wengi mnaujua



Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Lakini
RUSSIA sio ZIMBABWE
 
Hivi wewe unajua Hypersonic ni kitu gani hadi imepewa hilo jina??--- usijifanye unajua kumbe hujui kitu.

Hypersonic ni kifaa au injini inayopaa angani na kukimbia mara 5 na Zaidi ya hapo kuliko mwendokasi wa sauti, ni Russia pekee ndiye mwenye Injini za uwezo huo duniani, ingine hizo zinauwezo wa kubeba silaha za Nyuklia na hakuna defensive shield yoyote kwa muda huu inayoweza kuizuia hiyo Hypersonic , hata defense za mrusi mwenyewe S-500 ambazo ni bora kuliko defensive zote haziwezi kuzuia Hypersonic, Mrusi kwa maana hiyo ana Upper hand dhidi ya nchi yoyote pindi ikitokea the "'press button war'.
Inaonekana wewe mwenyewe hujui hiyo hypersonic ni kitu gani. Ndio maana unasema kuwa ni Russia pekee ndiye mwenye uwezo nayo.

ICBM zote zinazofahamika duniani ni 'hypersonic' in nature. Maana hata ICBM ina uwezo wa kusafiri kwa kasi ya zaidi ya mara 20 ya kasi ya sauti. Sijakosea; mara 20 ya kasi ya sauti!

Kasi sio issue!

Tofauti kubwa kati ya ICBM na hypersonic missile ni moja: hypersonic missile ni 'non-ballistic'. Yaani, ina uwezo wa kubadili badili uelekeo katikati ya safari, tofauti na ICBM ambayo uelekeo wake ni mmoja. Katika physics tunasema, projectile motion.
 
Ni hivi huyo Ukraine apigwe na Russia au asiaidiwe na NATO hainuhusu
Kinachonihusu ni huyu mpumbavu putin anavuruga utaratibu wangu wa maisha ya kila siku na tena hata siishi Ukraine,
Hili ndio tatizo kwangu ambalo linanihusu, lakini vichwa mavi vya kibongo wanaomshabikia putin, labda sababu maisha yenyewe kwao ni kubabatiza(choka mbaya) na ameshazoea umasikini kwa hiyo hata haoni gharama za maisha kupanda kutokana na sababu za kijinga za huyu mpuuzi putin.
Maisha yako ww yana mhusu nn yeye?
Kinacho angaliwa ni maslahi ya taifa lake na sio mlala njaa kama ww.
 
We ni mpumbavu
Mara ngap amemtaka huyo Putin kichaa wazungumze huyo mshenzi amekataa

Mpumbavu tuu huyo
Dunia ya sasa haitak vita
Tunakuja kumkwiba Zelensk akacheze koki [emoji23][emoji23][emoji23]
status_me_status_IMG-20220312-WA0000.jpg
 
Ulipo mgogoro kila kitu ni wazi.

NATO kajiingiza ila vita ndani ya Ukraine. Haipo siri tena:

"Vita vikuu vya dunia kupiganiwa Ukraine."

Putin kaonyesha kulielewa somo mapema. Amekimbia mbio sana mithili ya aliyefumaniwa kuwahi Donbas, Lohansk na Crimea.

Hayupo anayetaka vita. Ukraine kapelekewa vita. Ukraine yuko katika kujikomboa na gharama yake ameikubali.

Habari ndiyo hiyo.
Unafuatilia huu mpambano unavyokwenda au unakielezea kile unachokielewa kwa kile unachokiona kuhusu huu mpambano?

Kwa ufupi umeachwa nyuma kwa taarifa nyingi sana! Au pengine uruhusu kuwasikiliza wajuzi wa mbinu za kivita kama wengine tunavyofanya, na hili ni bora zaidi kwako na kwa wengineo wenye mfano wa kwako.

Kuizingira miji mfano wa Kieve ni mbinu ya kivita ndivyo wataalamu wanavyosema. Huo ni mji mkuu wa nchi hivyo utalindwa kwa gharama yoyote ili usianguke. Msafara wa jeshi la Russia kuonekana unaelekea Kieve ukawafanya sehemu kubwa ya jeshi la ukraine kuuhami mji wao kwa gharama ya namna yoyote. Sehemu nyengine za nchi zikabakiwa na idadi ndogo ya jeshi kukabiliana na Russia.

Alichokifanya Russia ni kuuzunguka mji wote. Mianya yote akaiziba. Hii ikawa ni faida kwa sehemu nyengine za Ukraine zenye majeshi kuteketezwa kwa urahisi kwa sababu upinzani ulikuwa mdogo.

-Nukta nyengine ni kwamba mkutano wa uliyofanyika baina ya Russia na Ukraine ya amani uliyofanyika nchini Turkey moja miongoni mwa guarantee walizokubaliana nazo kwa kukubaliana baadhi ya matakwa ili kuiendea amani kwa mustakabali wa pande zote mbili ni Russia kuondosha sehemu za majeshi yake baadhi ya sehemu za Ukraine. Ndiyo maana Russia akaondoa majeshi yake Kieve na kwengineko ili kuonyesha kuwa yupo serious na anaheshimu makubaliano.

Hotuba ya rais wa Russia ipo wazi na kama mdau wa juu Mokaze alivyowasilisha huu mgogoro una historia. Naam, tutamlaumu Putin kwa alichokifanya ila kuulewa huu mgogoro zaidi inakubidi uutumie muda wako kusoma majarida mbalimbali ya uhasama baina ya NATO na Russia(Soviet).

Maazimio ya kile Rais wa Russia alichokiita Special military operation ni yaliyojikita kwa usalama wa Russia na usalama wa raia wa majimbo yaliyojtangaza kujitenga Ukraine ambayo ni:

1)Kupunguza nguvu jeshi la Ukraine na kuondoa NAZI.
2)Kuyakomboa majimbo yaliyojitenga nchini Ukraine dhidi ya uonevu wa jeshi la Ukraine.

-Nukta ya kwanza ambayo kwa mujibu wa Russia tayari wameshaitekeleza. Ikiwa kama kweli unafuatilia hii vita utaona tangu siku ya kwanza jeshi la Russia lilikuwa likilenga kambi za jeshi, maghala ya kuhifadhia silaha, maghala ya kuhifadhia mafuta, yaani miundombinu yote ya kijeshi kwa ujumla. Hii ndiyo demilitarization. 90% ya jeshi la Ukraine limeharibiwa na hili limethibitishwa na msemaji wa Ikulu ya Ukraine.

-Phase 2 ambayo Russia wameitangaza ndiyo hiyo ya kuikomboa hiyo miji kutoka mikononi mwa jeshi la Ukraine ambapo mpaka jana taarifa zinasema kulikuwa na idadi ya 6000 ya wanajeshi wa Ukraine.

Mpaka sasa taarifa ni kuwa: "The cleanup of Mariupol continues. As of April 7,2022, the allied army of the DPR and Russia liberated Novogrigorovka (Volodarsky district), Pannovka, Suzhenka, Lugovoye, Sadovoye, Fedorovka, Kalchinovka, Nazarovka, Ukrainka, Republic, Ksenovka, Novoromanovka, Sergeevka, Starchenkovo, Peremoga, Priazovskoye, Shevchenko (Pershotravnevy district), Ilyichovskoye, Rybatskoye, Chervonoye..."


Short situation report: Mwendo huo huo ndiyo wanaokwenda nao:•
-Kherson-Nikolaev.
-Odessa.
-Zaporozhye.
-Ugledar-Velika Novoselka
-Maryinka.
-Avdiivka.
-Izyum.
-Kharkiv—Sumy.

Ukraine ameshapoteza kwenye huu mpambano pakubwa sana!
 
Tatizo mimi sizindikizi maisha kama wewe, bali ninayaishi kikamilifu kwa hiyo lazima nimuone putini ni mpumbavu fulani hivi....
Ww ndio mpumbavu kwa sababu umeshindwa kujua ya kwamba kila mtu hapa duniani huwa anajiangalia yeye kwanza na simwingine .

Na hii ndio kanuni ya maisha.

Kwa hiyo Putin anacho kiangalia ni taifa lake kwanza na si ww au taifa lako maana ww hujamuweka Madarakani.

Hata ww katika maisha yako ya kila siku unacho kiangalia ni maslahi ya yako na familia yako kwanza, huwezi kuacha kufanya kitu chenye manufaa kwa familia yako eti kisa mwingine hapendi labda uwe mpumbavu kama ww.
 
Atavuna alichopanda. Siyo Donbas na Lohansk peke yake kumbe jamaa wanaitaka na Crimea kabisa.

Kumbe ndiyo sababu ya mabio yote kurejea nyuma ili kujizatiti kwanza kwenye matatu hayo.

Kazi anayo.
Mzee, kwa nini unajiweka kifungoni wakati milango ya gereza ipo wazi?

Ikiwa kama Ukraine ni mshindi, tangu lini mshindi akawa ni mwenye kuomba msaada?

Ukraine inahangaika UN, EU, NATO mpaka Zelensky akafikia hatua ya kuomba dunia iandamane kwa anachokifanya Russia nchini mwake. Raia wa Ukraine wanalalamika na wanasema hawaioni future mbeleni mwao.
 
Hii vita mrusi atanyoosha mikono juu na atapata fundisho next time asiwe na kimbelembele maana mrusi kama kuvumiliwa amevumiliwa sana na Ukraine think alichukua crimea akanyamaziwa then akaja kubeba na yale majimbo mawili tena akanyamaziwa kimya, now akaona kanogewa sasa akaingia mazima kuiteka Ukraine nzima iwe chini ya Russia hahaha , ndio maana hata mataifa ya mangaribi yamejiingiza kwenye hii vita kwa kumwaga silaha maana hata wao wameshtuka kwamba Russia akiiteka Ukraine hataishia hapo sababu kashanogewa atalivamia taifa lingine ulaya kama akinyamaziwa

Nyerere Mwenyewe aliwahi kusema endapo Idamin angenyamaziwa basi angemaliza kuiteka Tanzania kesho angefuata Kenya, ndio maana Idiamini akatembezewa kipigo chap , na anayoyafanya Putin ni yale yale ya Idamin kuiteka kagera, sasa kama Nyerere alicharuka kuingia vitani kutetea ardhi yetu iweje Zelensky akubali yaishe eti ajisalimishe kama sio wehu nyie?

Putin kwa sasa anapambana na Ulaya na marekani nzima maana washamchoka na Ulaya imeshtuka kuwa anaweza akavamia mataifa kila kukicha kama akinyamaziwa, kwa sasa Urusi atapigwa ambush kila kikicha hadi atarudi kwenye nchi yake

Maana ameingia kwenye Taifa ambalo raia wamegoma kuisaliti nchi yao na wamemwagiwa silaha na wanapigania ardhi yao yaani hata mamluki wa kuisaliti nchi hamna , Russia atakuwa anapigwa mashambulizi ya kushtukiza hadi akome na ataikimbia ukraine ni swala la muda tu, na hii vita ikiisha Putin atakuwa amepata fundisho kuwa sio kila sehem ni ya kuvamia hovyo hovyo

Na kunapoelekea kama hii vita haitoisha kwa Diplomasia au mrusi kuondosha majeshi yake Ukraine basi inaweza kuja kutokea Vita ya kutisha pale Ulaya sababu kila kukicha Ukraine anapitishiwa silaha nzito kutoka kwa majirani zake na baadhi ya majirani zake ni memba wa Nato

Sasa ipo Siku Russia atarusha kombora kwenye moja ya nchi iliyojiunga na NATO kwa kisingizio cha kuzuia kupishwa kwa silaha na hapo ndio itaibuka vita ya kutisha na tuombe sana isifikie huko ila kuna kila Dalili mrusi atakuja kushambulia nchi zinazompitishia silaha Ukraine na hapo ndio itaibuka vita kubwa ya kutisha

Hata Hitler kipindi anatabia ya kuvamia vamia nchi jirani hakuwahi kujua kuwa kuna siku atakuja kukutana na upinzani mkali , mwisho wake wengi mnaujua



Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
 
Madikiteta most of time hawatumii akili
Madikteta kwa mtazamo wa nani?

Kwa mtazamo wa demokrasi wanaozungumzia watu wa west?

Kila nchi ina miundombinu yake tamaduni zake za kujiendesha na kujitawala zenyewe kwa namna ambayo inaona inafaa kwa raia mmoja mmoja na kwa jamii/Taifa kwa ujumla.

Hivyo tusilazimishe watu wafanane wakati watu wanatamaduni tofauti. Kwa Russia Putin anaonekana ni mzalendo.
 
Urusi haihitaji silaha zozote kutoka kwa yeyote kimsingi kwenye vita hivi. Kila mtu akiwamo Ukraine na NATO wanaujua ukweli huo.

Hata hivyo Mrusi anatambua vita hivi kaingia cha kike. Kumbuka msururu wa magari yale umeishia wapi?

Mrusi alipo sasa anatambua Ukraine na NATO hawatasalimu amri bali watapigana hadi dakika ya mwisho.
Sasa hii haitomsaidia Ukraine bali hii itafanya Ukraine wafe zaidi kwa sababu kinachofanyika ni kurefusha vita na ni kitu ambacho si kizuri kwa Ukraine. Ijapokuwa pande 2 zote zinauana ila kwa Ukraine wanakufa zaidi.

Nguvu ya kivita ya Mrusi inafahamika. Nguvu aliyoitumia Syria kupambana na ISIS ukilinganisha na anayoitumia Ukraine ni tofauti ikiwa kama wewe ni mfuatiliaji wa haya masuala.

Bashar Al Assad nchi ilikuwa imemshamshinda! Sehemu kubwa ya nchi ilishakuwa chini ya ISIS. Ndani ya miezi 6 baada ya Russia kuingia kabadili mchezo wote. Maeneo mengi yakarudi mikononi mwa Assad.

Nguvu ya namna hii siajiona Russia akiitumia kwa Ukraine. Nguvu aliyoitumia Russia Chenchen war 2 bado sijaiona akiitumia Ukraine.

Ukraine akizidi kurefusha vita itamlazimu Russia kututumua misuli yake. Ukraine inaweza ikanyeshelezewa makombora masaa 48 mfululizo kutoka nchi kavu, baharini na angani unafikiri itakuwa katika hali gani?

Ukraine kuna kipindi ndani ya siku 1 ilipigwa makombora sehemu tofauti tofauti ndani ya nchi kwa wastani wanchi nzima pasipo mashambulizi kupoa ililalamika sana na kupaza sauti kimataifa.

Ukraine wanakufa sana! Na ndiyo maana wakikamata mjeda 1 au 2 au zaidi wa Warusi zipo video na mwenyewe nimeziona na nyengine picha wanasulubu mpaka maiti. Nyengine wamenyofoa macho kwa visu, nyengine wamezipiga na nyundo utosini n.k hii yote inatokana na hasira ya hasara waliyoipata.
 
Mambo mengi yako wazi sasa. Ukraine haombi tena no fly zone wala NATO kuingilia.

Ukraine anapewa silaha zote anazohitaji kumfurusha Mrusi. Ukraine kafika bei kuwa mzozo huu umalizikie ndani ya Ukraine.

Mrusi anakabiliwa na ukweli mpya ambao hakuutegemea.

Ndipo sasa kimbembe kilipo.
Kumbe wewe jamaa ni mgeni hufahamu haya mambo?!

No fly zone unaifafanuaje?

Unafikiri Zelensky alivyokuwa anaiomba alirukwa na akili?
 
Vita zinakua na false flag nyingi sana........
Na mwanzoni mrusi katumia silaha zake za zamani sana,,,hii pia imemsaidia kupima upepo ajue round ya pili anaingia vipi maana ameshaona jamaa nao wana uwezo wa kutumia silaha zipi, kwa vile vifaa vya mwanzo angekua anapigana na ukraine peke yake kazi ingeisha round ya kwanza tu, ila kwa sasa hapigani na ukraine pekee kuna nchi nyingi tu anapigana nazo humo lazima ajipange upya
Pro Russia mnajifajiri ujinga,eti silaha za zamani kwani nani akimkataza asitumie mpya na hizi hypersonic ni silaha za zamani?
 
Back
Top Bottom