Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,370
- 14,929
USA kama yeye mbabe wa Dunia arushe hata risasi Moja katika Ardhi ya Russia halafu washirika wake wakae pembeni vita ipigwe Kati yake na Russia tuone mbabe Nani?...
Vita kati ya Russia na The US kamwe haiwezi kuwa na mbabe, hawa wakipigana hawawezi kutumia conventional weapons, watatumia ICBMs, Hypersonic nk, itakuwa ni "press button weapons war" sio infantry war na bila shaka Nuke weapons zitahusika, katika hali hiyo nani ataibuka mshindi??--- hakunaga mshindi katika matumuzi ya Nuke bombs.