Ukraine sasa iko katika vita kamili vya kujikomboa

Ukraine sasa iko katika vita kamili vya kujikomboa

USA kama yeye mbabe wa Dunia arushe hata risasi Moja katika Ardhi ya Russia halafu washirika wake wakae pembeni vita ipigwe Kati yake na Russia tuone mbabe Nani?...


Vita kati ya Russia na The US kamwe haiwezi kuwa na mbabe, hawa wakipigana hawawezi kutumia conventional weapons, watatumia ICBMs, Hypersonic nk, itakuwa ni "press button weapons war" sio infantry war na bila shaka Nuke weapons zitahusika, katika hali hiyo nani ataibuka mshindi??--- hakunaga mshindi katika matumuzi ya Nuke bombs.
 
Mzee Kiduku wa North Korea tunaomba utuongezee silaha sisi Warusi huku Ukraine

Urusi haihitaji silaha zozote kutoka kwa yeyote kimsingi kwenye vita hivi. Kila mtu akiwamo Ukraine na NATO wanaujua ukweli huo.

Hata hivyo Mrusi anatambua vita hivi kaingia cha kike. Kumbuka msururu wa magari yale umeishia wapi?

Mrusi alipo sasa anatambua Ukraine na NATO hawatasalimu amri bali watapigana hadi dakika ya mwisho.
 
Urusi hauitaki silaha zozote kutoka kwa yeyote kimsingi kwenye vita hivi. Kila mtu akiwamo Ukraine na NATO wanaujua ukweli huo.

Hata hivyo Mrusi anatambua vita hivi kaingia cha kike. Kumbuka msururu wa magari yale umeishia wapi?

Mrusi alipo sasa anatambua Ukraine na NATO hawatasalimu amri bali watapigana hadi dakika ya mwisho.
Vita zinakua na false flag nyingi sana........
Na mwanzoni mrusi katumia silaha zake za zamani sana,,,hii pia imemsaidia kupima upepo ajue round ya pili anaingia vipi maana ameshaona jamaa nao wana uwezo wa kutumia silaha zipi, kwa vile vifaa vya mwanzo angekua anapigana na ukraine peke yake kazi ingeisha round ya kwanza tu, ila kwa sasa hapigani na ukraine pekee kuna nchi nyingi tu anapigana nazo humo lazima ajipange upya
 
Umeelewa kilichomkimbiza Mrusi kutokea Kyiv? Si Putin alishatoa siku 3 kwa Zelensky kutoka madarakani?

Ni hivi, parameters zote za vita ziko wazi, kila kitu kinajulikana na pande zote zimeridhia.

"Uwanja wa vita ni Ukraine."

Kwani wewe unaongelea vita ipi tena ya kurusha risasi au kombora wapi kusikohusika ndugu?
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Sasa Wamarekani na EU mtatumia vijambio vyenu kuzalisha gas.
FO8ZDkZXEAwed6v.jpg
 
Vita zinakua na false flag nyingi sana........
Na mwanzoni mrusi katumia silaha zake za zamani sana,,,hii pia imemsaidia kupima upepo ajue round ya pili anaingia vipi maana ameshaona jamaa nao wana uwezo wa kutumia silaha zipi, kwa vile vifaa vya mwanzo angekua anapigana na ukraine peke yake kazi ingeisha round ya kwanza tu, ila kwa sasa hapigani na ukraine pekee kuna nchi nyingi tu anapigana nazo humo lazima ajipange upya

Mambo mengi yako wazi sasa. Ukraine haombi tena no fly zone wala NATO kuingilia.

Ukraine anapewa silaha zote anazohitaji kumfurusha Mrusi. Ukraine kafika bei kuwa mzozo huu umalizikie ndani ya Ukraine.

Mrusi anakabiliwa na ukweli mpya ambao hakuutegemea.

Ndipo sasa kimbembe kilipo.
 
Urusi hauitaki silaha zozote kutoka kwa yeyote kimsingi kwenye vita hivi. Kila mtu akiwamo Ukraine na NATO wanaujua ukweli huo.

Hata hivyo Mrusi anatambua vita hivi kaingia cha kike. Kumbuka msururu wa magari yale umeishia wapi?

Mrusi alipo sasa anatambua Ukraine na NATO hawatasalimu amri bali watapigana hadi dakika ya mwisho.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Wamarekani wa ukerewe bana.
FO5UG84XEAArrIr.jpg
 
Ukraine apigane kivyovyote vile Putin na nchi nyingine zinazodharau wenzao zijifunze.Putin pamoja na kuipiga Ukraine,nadhani hakutegemea kama atakutana na anayokutana nayo.Ukraine agharamike ila na Putin pia imgharimu sana.Ukraine atasaidiwa kujijenga,Putin atapambana na protest ndani na nje ya nchi na hatimaye anaweza akafa au kuuawa siku za mbeleni.
 
Sipendi vita.. Sipendi majeruhi sipendj vifo vya wasio na hatia.. Miji mizuri, historia na kumbukumbu mbali mbali vinaharibiwa kwa dakika tuu.. Miundombinu inavurugwa na kuharibiwa kabisa..SIPENDI vita nakikumbuka ya Sarajevo , Bosnia na Hezgovina sina hamu kabisa na vita
 
Sipendi vita.. Sipendi majeruhi sipendj vifo vya wasio na hatia.. Miji mizuri, historia na kumbukumbu mbali mbali vinaharibiwa kwa dakika tuu.. Miundombinu inavurugwa na kuharibiwa kabisa..SIPENDI vita nakikumbuka ya Sarajevo , Bosnia na Hezgovina sina hamu kabisa na vita

Hakuna mwenye akili timamu anayependa wala kushabikia vita.

Ukraine vita kaletewa. Kupambana na mvamizi ni jukumu halali.

Utamwacha mvamizi kutamalaki ndugu?

Ukraine kama tulivyo mfurusha Amini, na huyu ni halali kwake kupambana naye.
 
Matusi yote hayo ya nini??.

Russia na NATO & the US--- wanajuana kwa undani zaidi kuliko sisi tunavyowajua, Historia ya uhasama wao inaanzia tangu vita kuu ya pili, vita baridi, kuvunjika kwa Soviet na WARSAW, WARSAW ni counterpart ya NATO kabla ya kuvunjika kwa Soviet.

Mzozo huu chimbuko lake ni uhasama wa kihistoria uliokuwa unafukuta chini kwa chini na hatimaye kuibuka hivi karibuni.

Tuombe Mungu kwani harufu ya WW lll ndio inanukia kwani silaha zinazoingizwa Ukraine kutoka NATO na USA zitachochea vita kuwa kubwa na athari mbaya na hivyo kuanzisha WW lll, Putin hawezi kukubali kushindwa kirahisi atatumia Hypersonic zenye uwezo wa kubeba Nuke heads, hapo dunia itakuwa Finito.
Majitu ya Bongo Mijinga sana.. as if wewe ndio unamjua Putin vizuri au ni mkewe?
 
Majitu ya Bongo Mijinga sana.. as if wewe ndio unamjua Putin vizuri au ni mkewe?

Haihitaji mtu kuwa mkewe au kutokuwa mkewe wa awaye yote, kutambua na hivyo kutoa maoni binafsi ya nani ni mchokozi katika kadhia yoyote baada ya kuisikiliza au kuifuatilia.
 
Vita zinakua na false flag nyingi sana........
Na mwanzoni mrusi katumia silaha zake za zamani sana,,,hii pia imemsaidia kupima upepo ajue round ya pili anaingia vipi maana ameshaona jamaa nao wana uwezo wa kutumia silaha zipi, kwa vile vifaa vya mwanzo angekua anapigana na ukraine peke yake kazi ingeisha round ya kwanza tu, ila kwa sasa hapigani na ukraine pekee kuna nchi nyingi tu anapigana nazo humo lazima ajipange upya
Russia alikuwa anatoa vifaa chakavu store....
hajaanza kutumia silaha zake za kisasa
kwa kifupi Russia alikuwa anatafuta shimo la taka akatupe uchafu......
 
Back
Top Bottom