Ukraine sasa iko katika vita kamili vya kujikomboa

Ukraine sasa iko katika vita kamili vya kujikomboa

Sipendi vita.. Sipendi majeruhi sipendj vifo vya wasio na hatia.. Miji mizuri, historia na kumbukumbu mbali mbali vinaharibiwa kwa dakika tuu.. Miundombinu inavurugwa na kuharibiwa kabisa..SIPENDI vita nakikumbuka ya Sarajevo , Bosnia na Hezgovina sina hamu kabisa na vita


Mkuu ulikuwepo huko Sarajevo, Bosnia na Herzogovina vita ilipoanza??!!🤣
 
Ujinga ni kuamini kwamba hizo Hypersonic sijui Nuclear weapons anazo Russia pekee, NATO na Russia wakiingia vitamin hawachukui hata mwezi.. Russia haitabaki kitu. Russia hata kwa Germany hachomoki. Hapo tu Ukraine kapewa support ya vifaa sio ya Kijeshi na Russia kambwela.. akipata support ya kijeshi itakuwaje?

Kuwa na common sense kijana.


Hivi wewe unajua Hypersonic ni kitu gani hadi imepewa hilo jina??--- usijifanye unajua kumbe hujui kitu.

Hypersonic ni kifaa au injini inayopaa angani na kukimbia mara 5 na Zaidi ya hapo kuliko mwendokasi wa sauti, ni Russia pekee ndiye mwenye Injini za uwezo huo duniani, ingine hizo zinauwezo wa kubeba silaha za Nyuklia na hakuna defensive shield yoyote kwa muda huu inayoweza kuizuia hiyo Hypersonic , hata defense za mrusi mwenyewe S-500 ambazo ni bora kuliko defensive zote haziwezi kuzuia Hypersonic, Mrusi kwa maana hiyo ana Upper hand dhidi ya nchi yoyote pindi ikitokea the "'press button war'.
 
Hivi wewe unajua Hypersonic ni kitu gani hadi imepewa hilo jina??--- usijifanye unajua kumbe hujui kitu.

Hypersonic ni kifaa au injini inayopaa angani na kukimbia mara 5 na Zaidi ya hapo kuliko mwendokasi wa sauti, ni Russia pekee ndiye mwenye Injini za uwezo huo duniani, ingine hizo zinauwezo wa kubeba silaha za Nyuklia na hakuna defensive shield yoyote kwa muda huu inayoweza kuizuia hiyo Hypersonic , hata defense za mrusi mwenyewe S-500 ambazo ni bora kuliko defensive zote haziwezi kuzuia Hypersonic, Mrusi kwa maana hiyo ana Upper hand dhidi ya nchi yoyote pindi ikitokea the "'press button war'.
upo jikoni kabisa pale urusi

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
 
Hivi wewe unajua Hypersonic ni kitu gani hadi imepewa hilo jina??--- usijifanye unajua kumbe hujui kitu.

Hypersonic ni kifaa au injini inayopaa angani na kukimbia mara 5 na Zaidi ya hapo kuliko mwendokasi wa sauti, ni Russia pekee ndiye mwenye Injini za uwezo huo duniani, ingine hizo zinauwezo wa kubeba silaha za Nyuklia na hakuna defensive shield yoyote kwa muda huu inayoweza kuizuia hiyo Hypersonic , hata defense za mrusi mwenyewe S-500 ambazo ni bora kuliko defensive zote haziwezi kuzuia Hypersonic, Mrusi kwa maana hiyo ana Upper hand dhidi ya nchi yoyote pindi ikitokea the "'press button war'.

Unasomeka pale mkuu katika ubora wako hadi Putin anakushangaa:

IMG_20220302_122620_294.jpg
 
upo jikoni kabisa pale urusi

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app


Mimi sizungumzii "the conventional war" inayopiganwa Ukraine bali nazungumzia juu ya "Press button war (pbw)".

Pbw ni vita ya kuvurumisha makombora kutoka kwako kuelekea kwa mwenzako huna haja ya kupekeka ndege, wanajeshi na vifaru bali mnavurumishiana makombora, Russia anayo jeuri ya Hypersonics kitu ambacho hata America hana na ndio maana akataka kufanya njama kwa Ukraine ajiunge na NATO ili aweke base ya kijeshi ili iwe kwake ni rahisi kupunguza muda wa kumvurumishia Russia Makombora pindi kama vita vitaibuka. Mrusi akashtuka na hicho ndicho kiini cha hii vita kama hujui.
 
Hivi wewe unajua Hypersonic ni kitu gani hadi imepewa hilo jina??--- usijifanye unajua kumbe hujui kitu.

Hypersonic ni kifaa au injini inayopaa angani na kukimbia mara 5 na Zaidi ya hapo kuliko mwendokasi wa sauti, ni Russia pekee ndiye mwenye Injini za uwezo huo duniani, ingine hizo zinauwezo wa kubeba silaha za Nyuklia na hakuna defensive shield yoyote kwa muda huu inayoweza kuizuia hiyo Hypersonic , hata defense za mrusi mwenyewe S-500 ambazo ni bora kuliko defensive zote haziwezi kuzuia Hypersonic, Mrusi kwa maana hiyo ana Upper hand dhidi ya nchi yoyote pindi ikitokea the "'press button war'.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] Hiiiiiiiiiiiiiiiii
Screenshot_20220407-223233.jpg
 
Vita kati ya Russia na The US kamwe haiwezi kuwa na mbabe, hawa wakipigana hawawezi kutumia conventional weapons, watatumia ICBMs, Hypersonic nk, itakuwa ni "press button weapons war" sio infantry war na bila shaka Nuke weapons zitahusika, katika hali hiyo nani ataibuka mshindi??--- hakunaga mshindi katika matumuzi ya Nuke bombs.
Waeleweshe hao Mike kwa sababu wanacoment wakiwa wapo wanaishi kwq shemeji zao hawajui kama mafuta ya kupikia na fuel vimepanda juu anaeteseka mme wa dada
 
Ni hivi huyo Ukraine apigwe na Russia au asiaidiwe na NATO hainuhusu
Kinachonihusu ni huyu mpumbavu putin anavuruga utaratibu wangu wa maisha ya kila siku na tena hata siishi Ukraine,
Hili ndio tatizo kwangu ambalo linanihusu, lakini vichwa mavi vya kibongo wanaomshabikia putin, labda sababu maisha yenyewe kwao ni kubabatiza(choka mbaya) na ameshazoea umasikini kwa hiyo hata haoni gharama za maisha kupanda kutokana na sababu za kijinga za huyu mpuuzi putin.
 
Ni hivi huyo Ukraine apigwe na Russia au asiaidiwe na NATO hainuhusu
Kinachonihusu ni huyu mpumbavu putin anavuruga utaratibu wangu wa maisha ya kila siku na tena hata siishi Ukraine,
Hili ndio tatizo kwangu ambalo linanihusu, lakini vichwa mavi vya kibongo wanaomshabikia putin, labda sababu maisha yenyewe kwao ni kubabatiza(choka mbaya) na ameshazoea umasikini kwa hiyo hata haoni gharama za maisha kupanda kutokana na sababu za kijinga za huyu mpuuzi putin.
Correct.
 
Ni hivi huyo Ukraine apigwe na Russia au asiaidiwe na NATO hainuhusu
Kinachonihusu ni huyu mpumbavu putin anavuruga utaratibu wangu wa maisha ya kila siku na tena hata siishi Ukraine,
Hili ndio tatizo kwangu ambalo linanihusu, lakini vichwa mavi vya kibongo wanaomshabikia putin, labda sababu maisha yenyewe kwao ni kubabatiza(choka mbaya) na ameshazoea umasikini kwa hiyo hata haoni gharama za maisha kupanda kutokana na sababu za kijinga za huyu mpuuzi putin.
Usalama wa Russia ni muhimu kuliko maisha yako
 
Hii vita ni Russia vs west countries, battlefield ni ukraine,,, saa hizi ukraine wanapata support zote kuanzia intelligence, sattelite image za Russia military movements, etc,
Siku vita inaanza Russia walipanga kuuteka uwanja mkuu wa ndege wa Antonov ulio karibu na kiev, ili wakisha usecure , ndege za russia za mizigo zianze kushusha maelfu ya askari na magari ya delaya vifaru, etc tayari kwa kuuteka mji mkuu kiev,
Operation ilikua iishe ndani ya saa 24 kama walivyouteka crimea 2014,
Kilichotokea kumbe, wamarekani satelites zao zimenasa mpango wote, kwa maana ya movements za askari wa russia
Wakawapa information ukraine. Ikaandaliwa bonge ya Ambush ya hatari,
Warusi usiku wakaanza kuchupa kwa parachuti maeneo ya Antonov airport,, mamia ya paratroops,
Pale airport walikuwa wanajeshi wachache wa ukraine,, wakaweka challenge kidogo ya uongo na kweli kisha wakakimbia,,
Askari wa Russia wakajua tayari wameuteka uwanja wa antonov.
Kumbe bana jamaa wamewaotea,, basi askari wa Russia wakaanza kushuka kwa mamia. Kabla hawajakaa sawa wakaanza kushambuliwa kwa maroketi, katyusha,, mvua ya hatari ya rockets.
Hawajakaa sawa, wakazungukwa,, sasa ikaawa fighting for life,,
Russia kugundua wameingia mtego,, wakaitisha airstrike ili ziwasaidie,, zikaja helcopter karibu 50 kuwasaidia,
Shida ile vita, wamarekani wako wana monitor na kutoa direction ukraine wapige wapi,, adui yuko wapi, hivyo ukraine alenge wapi,
Zile helcopter zilionwa mapema kabla hata hazijakaribia,,, zikadunguliwa nyingi,,
Russia sasa wakapoteana, wamezungukwa na wako behind enemy line,,
Kwa ufupi, askari wengi wa Russia walikufa na kutekwa pia. Wachache sana waliokoka, karibu kikosi chite kilipotea,
Wakaupoteza uwanja,,,
Russia walikuja kuuteka tena siku tatu baadae baada ya mapigano makali sana,,
Japo majuzi waliuachia,, hivi sasa Russia kashausoma mchezo, anapambana na mataifa yote ya magharibi,
So kwa sasa anapiga kwa hesabu kubwa,, anaharibu maghala ya silaha na mafuta ya ukraine. ,kwa maana ni kuwa bila reserve za mafuta , ukraine military movements zitakuwa restricted,
Pia akiharibu maghara ya silaha na air defence system za ukraine hatimae ukraine atashindwa kupigana
 
Hivi wewe unajua Hypersonic ni kitu gani hadi imepewa hilo jina??--- usijifanye unajua kumbe hujui kitu.

Hypersonic ni kifaa au injini inayopaa angani na kukimbia mara 5 na Zaidi ya hapo kuliko mwendokasi wa sauti, ni Russia pekee ndiye mwenye Injini za uwezo huo duniani, ingine hizo zinauwezo wa kubeba silaha za Nyuklia na hakuna defensive shield yoyote kwa muda huu inayoweza kuizuia hiyo Hypersonic , hata defense za mrusi mwenyewe S-500 ambazo ni bora kuliko defensive zote haziwezi kuzuia Hypersonic, Mrusi kwa maana hiyo ana Upper hand dhidi ya nchi yoyote pindi ikitokea the "'press button war'.
Kkkkk, USA, Canada, Australia wanazo hypasonic
 
Ujinga ni kuamini kwamba hizo Hypersonic sijui Nuclear weapons anazo Russia pekee, NATO na Russia wakiingia vitamin hawachukui hata mwezi.. Russia haitabaki kitu. Russia hata kwa Germany hachomoki. Hapo tu Ukraine kapewa support ya vifaa sio ya Kijeshi na Russia kambwela.. akipata support ya kijeshi itakuwaje?

Kuwa na common sense kijana.
Vifaa vyakujengea nyumba au vifaa vya nn alivyopewa !!!??
 
Back
Top Bottom