Ukraine sasa iko katika vita kamili vya kujikomboa

Ukraine sasa iko katika vita kamili vya kujikomboa

Mimi sizungumzii "the conventional war" inayopiganwa Ukraine bali nazungumzia juu ya "Press button war (pbw)".

Pbw ni vita ya kuvurumisha makombora kutoka kwako kuelekea kwa mwenzako huna haja ya kupekeka ndege, wanajeshi na vifaru bali mnavurumishiana makombora, Russia anayo jeuri ya Hypersonics kitu ambacho hata America hana na ndio maana akataka kufanya njama kwa Ukraine ajiunge na NATO ili aweke base ya kijeshi ili iwe kwake ni rahisi kupunguza muda wa kumvurumishia Russia Makombora pindi kama vita vitaibuka. Mrusi akashtuka na hicho ndicho kiini cha hii vita kama hujui.
Hawa watu hawajui hili!

Usalama wa nchi si wa kuruhusu kuchezewa au wa kusema ngoja tuwaone wafanyaje! Ikiwa kama diplomasia imeshindikana njia pekee ni kutumia nguvu.

Sasa hawa wengine wanaleta mizani ya ?mbinu za kisiasa na ndiyo watakuambia Ukraine nchi huru. Uhuru wa kuhatarisha usalama wa nchi jirani yako!? Hii kitu haipo!
 
Hivi wewe unajua Hypersonic ni kitu gani hadi imepewa hilo jina??--- usijifanye unajua kumbe hujui kitu.

Hypersonic ni kifaa au injini inayopaa angani na kukimbia mara 5 na Zaidi ya hapo kuliko mwendokasi wa sauti, ni Russia pekee ndiye mwenye Injini za uwezo huo duniani, ingine hizo zinauwezo wa kubeba silaha za Nyuklia na hakuna defensive shield yoyote kwa muda huu inayoweza kuizuia hiyo Hypersonic , hata defense za mrusi mwenyewe S-500 ambazo ni bora kuliko defensive zote haziwezi kuzuia Hypersonic, Mrusi kwa maana hiyo ana Upper hand dhidi ya nchi yoyote pindi ikitokea the "'press button war'.
Kwani hizo hypersonic hazijatumika kwenye hii vita au wewe umeanza kufuatilia jana hii vita? Zimetumika na hakuna jipya zaidi ya kasi yake ya kufikia target husika kwa haraka,lakini madhara yake ni madogo sana zinazidiwa hata na Tomahawk Missile.
 
Hivi wewe unajua Hypersonic ni kitu gani hadi imepewa hilo jina??--- usijifanye unajua kumbe hujui kitu.

Hypersonic ni kifaa au injini inayopaa angani na kukimbia mara 5 na Zaidi ya hapo kuliko mwendokasi wa sauti, ni Russia pekee ndiye mwenye Injini za uwezo huo duniani, ingine hizo zinauwezo wa kubeba silaha za Nyuklia na hakuna defensive shield yoyote kwa muda huu inayoweza kuizuia hiyo Hypersonic , hata defense za mrusi mwenyewe S-500 ambazo ni bora kuliko defensive zote haziwezi kuzuia Hypersonic, Mrusi kwa maana hiyo ana Upper hand dhidi ya nchi yoyote pindi ikitokea the "'press button war'.
View attachment 2179858
Screenshot_20220406-215340.jpg
 
Ikiwa kama Ukraine ni mshindi, tangu lini mshindi akawa ni mwenye kuomba msaada?

Ukraine inahangaika UN, EU, NATO mpaka Zelensky akafikia hatua ya kuomba dunia iandamane kwa anachokifanya Russia nchini mwake. Raia wa Ukraine wanalalamika na wanasema hawaioni future mbeleni mwao.
Hiyo hoja kuhusu "kuomba msaada" sidhani kama ina uzito wowote ukizingatia hata historia ya masuala ya vita duniani.

Wakati USSR inavamiwa na Hitler (Operation Barbarossa) kipindi cha Vita ya Pili ya Dunia, kina Stalin waliomba misaada kwa nchi zote washirika ili kumkabili Hitler.

Walipatiwa misaada ya namna mbalimbali ambayo ilikuwa na mchango mkubwa katika kufanikisha kumuondoa Hitler.

Ni historia ambayo mpaka leo iko katika kumbukumbu za Urusi ya sasa, na inasherehekewa kila mwaka, kutokana na jinsi ambavyo mchango wa nchi washirika ulivyoweza kusaidia kupatikana kwa ushindi katika Vita ya Pili ya Dunia.
 
Ni hivi huyo Ukraine apigwe na Russia au asiaidiwe na NATO hainuhusu
Kinachonihusu ni huyu mpumbavu putin anavuruga utaratibu wangu wa maisha ya kila siku na tena hata siishi Ukraine,
Hili ndio tatizo kwangu ambalo linanihusu, lakini vichwa mavi vya kibongo wanaomshabikia putin, labda sababu maisha yenyewe kwao ni kubabatiza(choka mbaya) na ameshazoea umasikini kwa hiyo hata haoni gharama za maisha kupanda kutokana na sababu za kijinga za huyu mpuuzi putin.
Mpuuzi ni wewe na nchi yako mzee sio putin!
 
Hii vita ni Russia vs west countries, battlefield ni ukraine,,, saa hizi ukraine wanapata support zote kuanzia intelligence, sattelite image za Russia military movements, etc,
Siku vita inaanza Russia walipanga kuuteka uwanja mkuu wa ndege wa Antonov ulio karibu na kiev, ili wakisha usecure , ndege za russia za mizigo zianze kushusha maelfu ya askari na magari ya delaya vifaru, etc tayari kwa kuuteka mji mkuu kiev,
Operation ilikua iishe ndani ya saa 24 kama walivyouteka crimea 2014,
Kilichotokea kumbe, wamarekani satelites zao zimenasa mpango wote, kwa maana ya movements za askari wa russia
Wakawapa information ukraine. Ikaandaliwa bonge ya Ambush ya hatari,
Warusi usiku wakaanza kuchupa kwa parachuti maeneo ya Antonov airport,, mamia ya paratroops,
Pale airport walikuwa wanajeshi wachache wa ukraine,, wakaweka challenge kidogo ya uongo na kweli kisha wakakimbia,,
Askari wa Russia wakajua tayari wameuteka uwanja wa antonov.
Kumbe bana jamaa wamewaotea,, basi askari wa Russia wakaanza kushuka kwa mamia. Kabla hawajakaa sawa wakaanza kushambuliwa kwa maroketi, katyusha,, mvua ya hatari ya rockets.
Hawajakaa sawa, wakazungukwa,, sasa ikaawa fighting for life,,
Russia kugundua wameingia mtego,, wakaitisha airstrike ili ziwasaidie,, zikaja helcopter karibu 50 kuwasaidia,
Shida ile vita, wamarekani wako wana monitor na kutoa direction ukraine wapige wapi,, adui yuko wapi, hivyo ukraine alenge wapi,
Zile helcopter zilionwa mapema kabla hata hazijakaribia,,, zikadunguliwa nyingi,,
Russia sasa wakapoteana, wamezungukwa na wako behind enemy line,,
Kwa ufupi, askari wengi wa Russia walikufa na kutekwa pia. Wachache sana waliokoka, karibu kikosi chite kilipotea,
Wakaupoteza uwanja,,,
Russia walikuja kuuteka tena siku tatu baadae baada ya mapigano makali sana,,
Japo majuzi waliuachia,, hivi sasa Russia kashausoma mchezo, anapambana na mataifa yote ya magharibi,
So kwa sasa anapiga kwa hesabu kubwa,, anaharibu maghala ya silaha na mafuta ya ukraine. ,kwa maana ni kuwa bila reserve za mafuta , ukraine military movements zitakuwa restricted,
Pia akiharibu maghara ya silaha na air defence system za ukraine hatimae ukraine atashindwa kupigana
Bora leo umekuwa neutral na kuongea hali halisi maana wewe ni Pro Russia wakutupwa.
 
Hiyo hoja kuhusu "kuomba msaada" sidhani kama ina uzito wowote ukizingatia hata historia ya masuala ya vita duniani.

Wakati USSR inavamiwa na Hitler (Operation Barbarossa) kipindi cha Vita ya Pili ya Dunia, kina Stalin waliomba misaada kwa nchi zote washirika ili kumkabili Hitler.

Walipatiwa misaada ya namna mbalimbali ambayo ilikuwa na mchango mkubwa katika kufanikisha kumuondoa Hitler.

Ni historia ambayo mpaka leo iko katika kumbukumbu za Urusi ya sasa, na inasherehekewa kila mwaka, kutokana na jinsi ambavyo mchango wa nchi washirika ulivyoweza kusaidia kupatikana kwa ushindi katika Vita ya Pili ya Dunia.
Wewe hufahamu USSR ilitandikwa mpaka Hitler alibakiza km chache aingie Moscow?

Na ndipo mchezo baadaye ulibadilika?

Kwa hii hoja unakiri kwamba Ukraine nayo inatandikwa ila bado hatujaona wakibadili mchezo.
 
Russia amemshindwa Ukraine mwezi was pili sasa ndio atamuweza U.S?
Russia hatumii nguvu zake in full mzee. Yani ni sawa na unamkabili mtoto mdogo kimwili mnacheza anakupiga mateke na makonzi ila wewe una defend tu hurudishi kwa nguvu maana utamuumiza
 
Wewe hufahamu USSR ilitandikwa mpaka Hitler alibakiza km chache aingie Moscow?

Na ndipo mchezo baadaye ulibadilika?

Kwa hii hoja unakiri kwamba Ukraine nayo inatandikwa ila bado hatujaona wakibadili mchezo.
Hoja kuhusu "kutandikwa" ni subjective.

Katika vita ya sasa, madhara yameonekana pande zote. Ila, scenario ninayoiongelea ni jinsi ambavyo USSR ilivyosaidiwa vitani. Walikuwa wakishinda vita dhidi ya Hitler huku wakiendelea kupokea misaada mbalimbali.

Kuomba misaada hakuna maana ya kuelekea kushindwa!
 
Russia hatumii nguvu zake in full mzee. Yani ni sawa na unamkabili mtoto mdogo kimwili mnacheza anakupiga mateke na makonzi ila wewe una defend tu hurudishi kwa nguvu maana utamuumiza
Na washukuru Mungu rais wa Russia ni Putin. Laiti angelikuwa yule kiongozi wa Chenchen hii vita ingelikuwa imeshaisha!

Screenshot_20220408-023646.png
 
Atavuna alichopanda. Siyo Donbas na Lohansk peke yake kumbe jamaa wanaitaka na Crimea kabisa.

Kumbe ndiyo sababu ya mabio yote kurejea nyuma ili kujizatiti kwanza kwenye matatu hayo.

Kazi anayo.
Kyiv akipewa anachotaka basi hii vita itakuwa mbaya kwa wote na itachukua muda mrefu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
USA kama yeye mbabe wa Dunia arushe hata risasi Moja katika Ardhi ya Russia halafu washirika wake wakae pembeni vita ipigwe Kati yake na Russia tuone mbabe Nani?...
Ukraine pekee kamtoa Urusi kamasi huyo Marekani si ndo Urusi atatumia Nukes?

Marekani ana uwezo wa kusambaza wanajeshi hata 100000 ndani ya siku 3, Urusi hana huo uwezo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom