Ukraine waamua kuachia mji wa Severodonetsk baada ya kichapo kikali

Ukraine waamua kuachia mji wa Severodonetsk baada ya kichapo kikali

Urusi sasa kutwaa miji magofu isiyo na shughuli zozote za kiuchumi sababu kabomoa miundombinu, mashule,mahospitali ,makazi ya watu ,kalipua reli ,viwanja vya ndege nk

Hajateka mji kateka magofu kuteka mji unakuwa na watu ,viwanda na shughuli za kiuchumi zikiendelea

Mrusi anateka dead cities
Russia wataijenga upya! Wakati Chechenia walipotaka kujitenga na Russia ,Majeshi ya Russia yalisagasaga kila kitu,lakini waliijenga upya ikarudi katika hali yake! Na leo vikosi vilivyo mstari wa mbele kupigana Ukraine mojawapo ni vikosi vya Russia kutoka Chechenia vilivyowezesha kuuteka mji wa Mariupol.
Nadhani mashambulizi sasa yanapangwa kuelekezwa mji wa Karkiv!
 
Sasa kashindwa ijenga Syria....akaiomba Marekani ndo ataweza Ukraine
Mkuu kwani asipoijenga atapoteza nini? Tena akishikilia ndo tatizo maana haitawezekana kutumia asset zake zilizozuiwa kuujenga. Huyu mtu amekuwa stuborn. Maamuzi makali yanatakiwa kufikiwa kuhusu yeye au kama haiwezekani aachwe tu ajimegee ukraine.
 
Hakuna shule wala hospitali wala masoko wala mahoteli kwenye hiyo miji

Mrusi kabomoa vyote na makombora

Hii vita ni ya kwanza duniani kwa nchi kuteka magofu na kuyakalia

Hata Sisi tulipopigana na Uganda tulipoteka miji ilikuwa miji hai yenye uchumi.na biashara ,mashule,hospitali no

Mrusi bwege anateka miji magofu
Watu wanataka ardhi wewe unazungumzia majengo🙄🙄🙄‼️ . Majengo yatajengwa mengine na ardhi ya kilimo itainufaisha Urusi na ukrein imekosa ardhi bora kwa kilimo.
 
Back
Top Bottom