Ukraine waamua kuachia mji wa Severodonetsk baada ya kichapo kikali

Ukraine waamua kuachia mji wa Severodonetsk baada ya kichapo kikali

NATO wakaifyagie sasa kama walivyofanya LIBYA
Maana wapo na jeshi dhaifu wanangojea nn !!!??

Sent using Jamii Forums mobile app
Tututututu labda tu nikueleweshe kimoja tu broh.
Katika mataifa ambayo tishio kwa Imperial powers(USA and allies) Ni China na Russia.
Russia kijeshi na China kiuchumi.
Jeshi haliendi bila bila uchumi mzee.
Russia ameshaharibiwa uchumi viwanda vingi vimefungwa na matajiri wanaondoka.
Leo ktk mji wa Bavaria G7 nations wamesema wataweka kikwazo ktk uuzaji wa dhahabu kutoka Russia maana matajiri wengi hugeuzwa pesa zao kuwa dhahabu kukwepa vikwazo.
Pia licha ya Russia kuivamia Ukraine SWEDEN NA FINLAND zinazoshea mipaka na Russia wamepeleka maombi kujiunga NATO je kwa upeo wako Russia kapata faida gani ktk hiyo Vita?
Je Finland na Sweden wakikubaliwa kuwa NATO hawawezi kutumia strategically na USA kwa Russia!?
Baada ya hii Vita kuisha Russia itakua km Cuba.
Wazungu wanapigana kiakili.
 
Lengo kuu la
Ww unaita vita ya bure wakati wenyewao huko miongoni mwa malengo ya hii vita ni Usalama kwanza [emoji16], na kwa mfano Ukraine angefanikiwa kujiunga na nato mngelikuja na nyuzi za kukejeli kuwa Urusi sasa kazingukwa, kuweni wapole tu sasaivi
Russia kuivamia Ukraine ni kuzuia yeye kujiunga na NATO na kuwatisha waliosalia,Cha ajabu waliosalia wamepeleka maombi kujiunga NATO mathalan Sweden na Finland na wanachangia mipaka na Russia.
Kwa ww unaona Russia katumia akili!?
Je hiyo Vita imeleta manufaa aliyoyataka??
 
Back
Top Bottom