Kama RUSSIA angepigana na FRANCE kwakua anaviguvu kidogo tungeenda nae kwenye small war ili kumnyoosha
Kama tukipigana na NATO tunaingia full war tuwanyooshe zaidi
Hapo UKRAINE hakuna War kuna millitary Oparation (mama mkanye mwanao) hapo UKRAUINE anafunzwa adabu tuu
UKRAINE ana kajeshi kadogo ila msaada anapata mwingi na bado anachezea
Mwisho RUSSIA hayupo vitani na UKRAINE angekua VITANI huyo UKRAINE ingebakia historia tuu ila UKRAINE ndio yupo vitani na RUSSIA
Yaani RUSSIA mpaka muda huu miji yake ipo salama kuliko huko PARIS
RUSSIA akiamua kuingia VITANI na UKRAINE hata wewe huko ulipo utajua tuuuuu
Sent using
Jamii Forums mobile app