Ukraine waamua kuachia mji wa Severodonetsk baada ya kichapo kikali

Ukraine waamua kuachia mji wa Severodonetsk baada ya kichapo kikali

Russia angeendelea kuiweka miji aloitangaza huru mikononi mwake Sweden ingeogopa kupeleka muswada wa kujiunga NATO pia Georgia na Moldova zisingefikiria hata.
Ila hali ya retaliation ya Ukraine imewafanya wasiogope chochote.
Kapigana Vita bure watu wamemuharibia uchumi pia wamemuharibia ushawishi pia wamemuharibia diplomasia amebaki na Belarus tu km jamaa yake ukanda wote wa East and central Europe.
Ww unaita vita ya bure wakati wenyewao huko miongoni mwa malengo ya hii vita ni Usalama kwanza [emoji16], na kwa mfano Ukraine angefanikiwa kujiunga na nato mngelikuja na nyuzi za kukejeli kuwa Urusi sasa kazingukwa, kuweni wapole tu sasaivi
 
Askari wa kirusi hovyo sana wanaharibu mji mzima wanaishia kushikilia miji iliyojaa magofu, vifusi na mizoga.
Safi kabisa. Uking'ang'ania kwenye mji, ili usimcheleweshe Mrusi anaulipua mji mzima na wewe unafia humo. Yeye anasonga mbele kibabe zaidi.
 
Urusi ina kazi ngumu yani miezi mi4 sasa hata robo hawajachukua kazi kuuponda ponda miji hii ni hasara Putin kuna wakati huwa anahytia uamuzi wake.
 
FB_IMG_16562360373442247.jpg
 
Nimetaja miji iliyokombolewa Mariupol haijakombolewa.
Pia kumbuka kwamba Ukraine ni nchi yenye jeshi dogo Cha ajabu imeweza kukomboa miji takriban mitatu asa najiuliza mathalan Russia ingeivamia France kingempata nini!?
Kaa ukumbuke hii vita ni ya kiakili zaidi Russia ameshapoteza nguvu katk dunia kiushawishi,kijeshi mpk kiuchumi.
Day dream , wakati mwingine najiuliza hivi watu wengine wanatumia nini kufikiri 🤔🤔🤔‼️
 
Hivi
Factless things kabisa unaleta.
Kama kweli Russia ina nguvu isingeondolewa kyiv,isingeondolewa Lviv,isingeondolewa Kharkiv.
Nguvu gani iko nayo sasa!?
Hata Iran naweza kusema ana nguvu maana kwa jeshi dhaifu la mapinduzi alimzuia USA na washirika wake akiwemo Iraq kwa Vita ya miaka nane.
Ukraine inafadhiliwa silaha tu ila imeweza kuikomboa mini yake takriban mitatu ilopokonywa na Russia.Hiyo nguvu ya Russia ikowapi!?
Halafu uongee pumba kuwa Russia angeweza kummudu France ambae nae anatoa msaada wa silaha kwa Ukraine.
KITENDO CHA RUSSIA KUPOKONYWA TENA MIJI ALOITANGAZA KUIITA HURU KIMEFANYA AONEKANE DHAIFU SANA.
Russia iliingia lini lyviv, wewe unafuatilia hii vita kweli au unaota⁉️
 
Usitufanye sisi watoto,miji ya Russia ilopakana na mipaka ya Ukraine ilipata kiasi Cha uharibifu ndio maana raia wengi walihamia Tbilis Georgia.
Russia ni mbwa koko tu Sweden imeshapeleka shauri ya kujiunga NATO Moldova , Georgia na Ukraine washapigiwa kula nyingi za kukubaliwa kujiunga EU shauri leo litasikilizwa Macron akiwa kinara kushinikiza hilo lifanikiwe.
Wana pro - Russia hebu msimjibu huyu mtoto akili , kujua na elimuyake si ya kumjibu, hakuna anachojua.
 
Hakuna shule wala hospitali wala masoko wala mahoteli kwenye hiyo miji

Mrusi kabomoa vyote na makombora

Hii vita ni ya kwanza duniani kwa nchi kuteka magofu na kuyakalia

Hata Sisi tulipopigana na Uganda tulipoteka miji ilikuwa miji hai yenye uchumi.na biashara ,mashule,hospitali no

Mrusi bwege anateka miji magofu
Iraq wa marekan wanateka mij hai?
 
Alisikika kilaza mmoja wa Nangurukuru.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kinachoangaliwa ni ardhi yenye rotuba,bandari,kutanuka kwenda kaskazini, kuangusha Dola ya marekani na madini ya chuma yanayopatikana kwenye hayo maeneo,na sio majengo ww mjinga!
Smart.
 
Wana pro - Russia hebu msimjibu huyu mtoto akili , kujua na elimuyake si ya kumjibu, hakuna anachojua.
Umeongea pumba zisizoeleweka.
Hueleweki unaongelea nn.
Be specific acha taarabu.
 
Wana pro - Russia hebu msimjibu huyu mtoto akili , kujua na elimuyake si ya kumjibu, hakuna anachojua.
Kinachoongea ni facts siyo taarabu.
Nina elimu mbwa ww hunipati.
KWAHIYO jibu hoja.
 
Back
Top Bottom