Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Mkimaliza kujipanga musisahau nakujipangua [emoji23][emoji3][emoji16]Retreat ni moja wapo ya njia ya kujipanga
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkimaliza kujipanga musisahau nakujipangua [emoji23][emoji3][emoji16]Retreat ni moja wapo ya njia ya kujipanga
Ameshaliwa na funza toka mwezi April, Chenchens sio watu wa sifa za kijinga.Hivi yule Mkulima aliekua anavuta vifaru vya Urusi vipi bado anaendelea na zoezi lake?
Well said Amigo - RussiaPropaganda, hakuna chanzo chochote Cha masaa 72, pia alijiandaa na Vita ya Dunia, hivyo msijifariji
Usijari yatatumika hata kama mashamba baadaye au kama maeneo tengefu maadam yapo chini ya motherrussiaUrusi sasa kutwaa miji magofu isiyo na shughuli zozote za kiuchumi sababu kabomoa miundombinu, mashule, mahospitali, makazi ya watu, kalipua reli, viwanja vya ndege nk
Hajateka mji kateka magofu kuteka mji unakuwa na watu, viwanda na shughuli za kiuchumi zikiendelea
Mrusi anateka dead cities
UKRO NATO mtasema tu ukweli kila leo yaaniMrusi anavutwa tu na NATO...Putin anajua hawawezi NATO hata kidogo..lakini labda wanatafuta njia nzuri la kumuangusha..maana wakitumia mabomu ya masafa marefu,,wanajua yule kichaa anaweza kufyatua ata nuklia kwa panic...Naona upande wa vikwazo vya kiuchumi kama wamemshindwa..ila kwa mahaba yangu pUtin atachapika
NATO wanaweza kumchapa Putin vizuri nayeye analijua hilo...ila je wataweza ku handle consequences za kumi attack russia kijeshi ikiwa ana nyuklia na huku akijua vita ya kawaida hawawezi..!?? Nafikiri NATO they have plan..ila sio kukurupuka na mihemko kumtwanga urudi..ndio maana ata mabobu wanayopewa Ukraine sio ya masafa marefu ya kufika urusi..kama urusi atakua arrogant na kuendelea kushambulia nchi mwanachama wa NATO..hapo ndipo Putin atakapovalishwa kijora.UKRO NATO mtasema tu ukweli kila leo yaani
Inamaana vikwazo vimefeli kwa taifa teule la RUSSIA
Kama vimefeli vikwazo basi hakuna njia nyengine yeyote UKRO NATO wanaweza iangusha RUSSIA
Maana uhakika 100% hakuna UKRO NATO anaeweza kuthubutu kuingia vitani na taifa teule la RUSSIA direct hakuna
Maana wanajua litakalo wakuta hao UKRO NATO
RUSSIA TAIFA TEULE
Sent using Jamii Forums mobile app
Hujajua kuwa Bwana Utam anawanyia kejeli pro NATO?Mmekuja na mengine Sasa,.hizo propaganda.
Putin Jana alihutubia online BRICS, NA LEO AMETOA SPEACH KUHUSU HARAKATI ZA USA NA NATO
NATO wanaweza kumchapa Putin vizuri nayeye analijua hilo...ila je wataweza ku handle consequences za kumi attack russia kijeshi ikiwa ana nyuklia na huku akijua vita ya kawaida hawawezi..!?? Nafikiri NATO they have plan..ila sio kukurupuka na mihemko kumtwanga urudi..ndio maana ata mabobu wanayopewa Ukraine sio ya masafa marefu ya kufika urusi..kama urusi atakua arrogant na kuendelea kushambulia nchi mwanachama wa NATO..hapo ndipo Putin atakapovalishwa kijora.
Ikiwa vita ya tatu ya dunia..basi wahuni tutubu na kumrudia Mungu wetu Ili vile vikombe vya mvinyo vya ghadhabu ya bwana visitushukie...maana dhiki kuu itakuja
Pole sana sijui unaumia ukiwa wapiUrusi sasa kutwaa miji magofu isiyo na shughuli zozote za kiuchumi sababu kabomoa miundombinu, mashule, mahospitali, makazi ya watu, kalipua reli, viwanja vya ndege nk
Hajateka mji kateka magofu kuteka mji unakuwa na watu, viwanda na shughuli za kiuchumi zikiendelea
Mrusi anateka dead cities
Dah, watu mnajua kutoa majibu ya kukera😆😆🤣🤣🤣Urusi walikuambia wanafuata shule Ukraine?
Acheni porojo nyie wamarekani wa Tandahimba. Kichapo mnachopokea sio cha kitoto!
Putin anakamuliwa kamasi haswaa.Vikosi vya Ukraine vilivyoko Severodonetsk vimetakiwa kuondoka, kwa mujibu wa afisa wa ngazi ya juu wa eneo hilo.
Mji huo ndio kitovu cha uvamizi wa Urusi huku Moscow ikijaribu kuchukua udhibiti wa sehemu kubwa za mashariki mwa Ukraine.
"Kusalia katika nafasi ambazo zimeshambuliwa kwa miezi mingi haina maana," gavana wa mkoa wa Luhansk Serhiy Haidai alisema.
Vikosi vya Urusi vimepiga hatua katika siku za hivi karibuni na vinakaribia kuzunguka jiji hilo, na mji wake pacha wa Lysychansk.
"Wamepokea maagizo ya kurejea kwenye nafasi mpya... na kutoka huko waendelee na shughuli zao," Bw Haidai aliambia televisheni ya Ukraine.
"Hakuna maana ya kukaa katika nafasi ambazo zimeharibiwa kwa miezi kadhaa kwa sababu ya kubaki," alisema.
Miundombinu yote ya jiji imeharibiwa kabisa, Bw Haidai aliongeza, na zaidi ya 90% ya nyumba zikiwa zimepigwa makombora na 80% kuharibiwa vibaya.
Uvamizi wa Urusi dhidi ya Ukraine, ulioanza mnamo Februari, umekuwa ukilenga Severodonetsk na mji wake pacha wa Lysychansk kwa wiki kadhaa.
Ni nafasi za mwisho zilizosalia za Kiukreni katika eneo la Luhansk, moja ya mikoa miwili inayounda Donbas ya mashariki.
Rais wa Urusi Vladimir Putin amedai kwa uwongo kwamba wazungumzaji wa Kirusi katika Donbas wamekuwa wahanga wa mauaji ya halaiki - mojawapo ya sababu kuu anazotumia kuivamia Ukraine.
Siku ya Alhamisi, vikosi vya Urusi vilichukua udhibiti wa maeneo zaidi kusini mwa Severodonetsk na Lysychansk, na kuzua hofu kwamba vikosi vya Ukraine vitazingirwa huko hivi karibuni
Naona kamisaa wa vita unatoa hesabu ya idadi ya makombora ya kila upandeHawezi stock ya makombora inamuishia
Alitarajia kumaliza vita ndani ya saa 72 akawa anavurumisha weee.mokombora mfululilizo kila dakika mikombora mia stock inakaribia kumuishia
Siku wakiweza uje unitagNATO wanaweza kumchapa Putin vizuri nayeye analijua hilo...ila je wataweza ku handle consequences za kumi attack russia kijeshi ikiwa ana nyuklia na huku akijua vita ya kawaida hawawezi..!?? Nafikiri NATO they have plan..ila sio kukurupuka na mihemko kumtwanga urudi..ndio maana ata mabobu wanayopewa Ukraine sio ya masafa marefu ya kufika urusi..kama urusi atakua arrogant na kuendelea kushambulia nchi mwanachama wa NATO..hapo ndipo Putin atakapovalishwa kijora.
Ikiwa vita ya tatu ya dunia..basi wahuni tutubu na kumrudia Mungu wetu Ili vile vikombe vya mvinyo vya ghadhabu ya bwana visitushukie...maana dhiki kuu itakuja
HeheheeHujajua kuwa Bwana Utam anawanyia kejeli pro NATO?
Unaijua vizuri Urusi au unaongea tu