Ukraine waamua kuachia mji wa Severodonetsk baada ya kichapo kikali

Ukraine waamua kuachia mji wa Severodonetsk baada ya kichapo kikali

Urusi sasa kutwaa miji magofu isiyo na shughuli zozote za kiuchumi sababu kabomoa miundombinu, mashule, mahospitali, makazi ya watu, kalipua reli, viwanja vya ndege nk

Hajateka mji kateka magofu kuteka mji unakuwa na watu, viwanda na shughuli za kiuchumi zikiendelea

Mrusi anateka dead cities
Usijari yatatumika hata kama mashamba baadaye au kama maeneo tengefu maadam yapo chini ya motherrussia

Sent from my LG-M200 using JamiiForums mobile app
 
Mrusi anavutwa tu na NATO...Putin anajua hawawezi NATO hata kidogo..lakini labda wanatafuta njia nzuri la kumuangusha..maana wakitumia mabomu ya masafa marefu,,wanajua yule kichaa anaweza kufyatua ata nuklia kwa panic...Naona upande wa vikwazo vya kiuchumi kama wamemshindwa..ila kwa mahaba yangu pUtin atachapika
 
Mrusi anavutwa tu na NATO...Putin anajua hawawezi NATO hata kidogo..lakini labda wanatafuta njia nzuri la kumuangusha..maana wakitumia mabomu ya masafa marefu,,wanajua yule kichaa anaweza kufyatua ata nuklia kwa panic...Naona upande wa vikwazo vya kiuchumi kama wamemshindwa..ila kwa mahaba yangu pUtin atachapika
UKRO NATO mtasema tu ukweli kila leo yaani
Inamaana vikwazo vimefeli kwa taifa teule la RUSSIA
Kama vimefeli vikwazo basi hakuna njia nyengine yeyote UKRO NATO wanaweza iangusha RUSSIA
Maana uhakika 100% hakuna UKRO NATO anaeweza kuthubutu kuingia vitani na taifa teule la RUSSIA direct hakuna
Maana wanajua litakalo wakuta hao UKRO NATO
RUSSIA TAIFA TEULE

Sent using Jamii Forums mobile app
 
UKRO NATO mtasema tu ukweli kila leo yaani
Inamaana vikwazo vimefeli kwa taifa teule la RUSSIA
Kama vimefeli vikwazo basi hakuna njia nyengine yeyote UKRO NATO wanaweza iangusha RUSSIA
Maana uhakika 100% hakuna UKRO NATO anaeweza kuthubutu kuingia vitani na taifa teule la RUSSIA direct hakuna
Maana wanajua litakalo wakuta hao UKRO NATO
RUSSIA TAIFA TEULE

Sent using Jamii Forums mobile app
NATO wanaweza kumchapa Putin vizuri nayeye analijua hilo...ila je wataweza ku handle consequences za kumi attack russia kijeshi ikiwa ana nyuklia na huku akijua vita ya kawaida hawawezi..!?? Nafikiri NATO they have plan..ila sio kukurupuka na mihemko kumtwanga urudi..ndio maana ata mabobu wanayopewa Ukraine sio ya masafa marefu ya kufika urusi..kama urusi atakua arrogant na kuendelea kushambulia nchi mwanachama wa NATO..hapo ndipo Putin atakapovalishwa kijora.



Ikiwa vita ya tatu ya dunia..basi wahuni tutubu na kumrudia Mungu wetu Ili vile vikombe vya mvinyo vya ghadhabu ya bwana visitushukie...maana dhiki kuu itakuja
 
Unaijua vizuri Urusi au unaongea tu
NATO wanaweza kumchapa Putin vizuri nayeye analijua hilo...ila je wataweza ku handle consequences za kumi attack russia kijeshi ikiwa ana nyuklia na huku akijua vita ya kawaida hawawezi..!?? Nafikiri NATO they have plan..ila sio kukurupuka na mihemko kumtwanga urudi..ndio maana ata mabobu wanayopewa Ukraine sio ya masafa marefu ya kufika urusi..kama urusi atakua arrogant na kuendelea kushambulia nchi mwanachama wa NATO..hapo ndipo Putin atakapovalishwa kijora.



Ikiwa vita ya tatu ya dunia..basi wahuni tutubu na kumrudia Mungu wetu Ili vile vikombe vya mvinyo vya ghadhabu ya bwana visitushukie...maana dhiki kuu itakuja
 
Urusi sasa kutwaa miji magofu isiyo na shughuli zozote za kiuchumi sababu kabomoa miundombinu, mashule, mahospitali, makazi ya watu, kalipua reli, viwanja vya ndege nk

Hajateka mji kateka magofu kuteka mji unakuwa na watu, viwanda na shughuli za kiuchumi zikiendelea

Mrusi anateka dead cities
Pole sana sijui unaumia ukiwa wapi
 
Vikosi vya Ukraine vilivyoko Severodonetsk vimetakiwa kuondoka, kwa mujibu wa afisa wa ngazi ya juu wa eneo hilo.

Mji huo ndio kitovu cha uvamizi wa Urusi huku Moscow ikijaribu kuchukua udhibiti wa sehemu kubwa za mashariki mwa Ukraine.

"Kusalia katika nafasi ambazo zimeshambuliwa kwa miezi mingi haina maana," gavana wa mkoa wa Luhansk Serhiy Haidai alisema.

Vikosi vya Urusi vimepiga hatua katika siku za hivi karibuni na vinakaribia kuzunguka jiji hilo, na mji wake pacha wa Lysychansk.

"Wamepokea maagizo ya kurejea kwenye nafasi mpya... na kutoka huko waendelee na shughuli zao," Bw Haidai aliambia televisheni ya Ukraine.

"Hakuna maana ya kukaa katika nafasi ambazo zimeharibiwa kwa miezi kadhaa kwa sababu ya kubaki," alisema.

Miundombinu yote ya jiji imeharibiwa kabisa, Bw Haidai aliongeza, na zaidi ya 90% ya nyumba zikiwa zimepigwa makombora na 80% kuharibiwa vibaya.

Uvamizi wa Urusi dhidi ya Ukraine, ulioanza mnamo Februari, umekuwa ukilenga Severodonetsk na mji wake pacha wa Lysychansk kwa wiki kadhaa.

Ni nafasi za mwisho zilizosalia za Kiukreni katika eneo la Luhansk, moja ya mikoa miwili inayounda Donbas ya mashariki.

Rais wa Urusi Vladimir Putin amedai kwa uwongo kwamba wazungumzaji wa Kirusi katika Donbas wamekuwa wahanga wa mauaji ya halaiki - mojawapo ya sababu kuu anazotumia kuivamia Ukraine.

Siku ya Alhamisi, vikosi vya Urusi vilichukua udhibiti wa maeneo zaidi kusini mwa Severodonetsk na Lysychansk, na kuzua hofu kwamba vikosi vya Ukraine vitazingirwa huko hivi karibuni
Putin anakamuliwa kamasi haswaa.

Lakini mbona anazidi kusonga mbele?
 
Hawezi stock ya makombora inamuishia
Alitarajia kumaliza vita ndani ya saa 72 akawa anavurumisha weee.mokombora mfululilizo kila dakika mikombora mia stock inakaribia kumuishia
Naona kamisaa wa vita unatoa hesabu ya idadi ya makombora ya kila upande
 
NATO wanaweza kumchapa Putin vizuri nayeye analijua hilo...ila je wataweza ku handle consequences za kumi attack russia kijeshi ikiwa ana nyuklia na huku akijua vita ya kawaida hawawezi..!?? Nafikiri NATO they have plan..ila sio kukurupuka na mihemko kumtwanga urudi..ndio maana ata mabobu wanayopewa Ukraine sio ya masafa marefu ya kufika urusi..kama urusi atakua arrogant na kuendelea kushambulia nchi mwanachama wa NATO..hapo ndipo Putin atakapovalishwa kijora.



Ikiwa vita ya tatu ya dunia..basi wahuni tutubu na kumrudia Mungu wetu Ili vile vikombe vya mvinyo vya ghadhabu ya bwana visitushukie...maana dhiki kuu itakuja
Siku wakiweza uje unitag

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom