Ukraine waamua kuachia mji wa Severodonetsk baada ya kichapo kikali

Ukraine waamua kuachia mji wa Severodonetsk baada ya kichapo kikali

Hakuna dalil km atamaliza stock yake mapema kwa sabab mpaka sasa kuna bom ambazo majasus wa nato wana uhakika jamaa anayo na bado hayajatumika hata moja achana na yale mwendokasi ambayo katumia matano tu ilhal inafahamika fika anayo zaid ya mia.
Na wanajua kabisa ni mzarishaji wa siraha si mwagizaji kuwa hawajaona akiagiza, mtu mzalishaji mwenyewe wanasema ameishiwa utafikiri aliwaambia amebomoa viawanda vyake.
 
Alisikika kilaza mmoja wa Nangurukuru.🤣🤣🤣
Kinachoangaliwa ni ardhi yenye rotuba,bandari,kutanuka kwenda kadkazini kuangusha Dola ya marekani na madini ya chuma yanayopatikana hayo maeneona sio majengo ww mjinga!
 
Urusi sasa kutwaa miji magofu isiyo na shughuli zozote za kiuchumi sababu kabomoa miundombinu, mashule, mahospitali, makazi ya watu, kalipua reli, viwanja vya ndege nk

Hajateka mji kateka magofu kuteka mji unakuwa na watu, viwanda na shughuli za kiuchumi zikiendelea

Mrusi anateka dead cities
Unaweza kujenga nyumba pasipo kuwa na kiwanja?.kama haiwezekani basi jua ardhi ni kitu muhimu sana kwa maisha ya duniani
 
Vikosi vya Ukraine vilivyoko Severodonetsk vimetakiwa kuondoka, kwa mujibu wa afisa wa ngazi ya juu wa eneo hilo.

Mji huo ndio kitovu cha uvamizi wa Urusi huku Moscow ikijaribu kuchukua udhibiti wa sehemu kubwa za mashariki mwa Ukraine.

"Kusalia katika nafasi ambazo zimeshambuliwa kwa miezi mingi haina maana," gavana wa mkoa wa Luhansk Serhiy Haidai alisema.

Vikosi vya Urusi vimepiga hatua katika siku za hivi karibuni na vinakaribia kuzunguka jiji hilo, na mji wake pacha wa Lysychansk.

"Wamepokea maagizo ya kurejea kwenye nafasi mpya... na kutoka huko waendelee na shughuli zao," Bw Haidai aliambia televisheni ya Ukraine.

"Hakuna maana ya kukaa katika nafasi ambazo zimeharibiwa kwa miezi kadhaa kwa sababu ya kubaki," alisema.

Miundombinu yote ya jiji imeharibiwa kabisa, Bw Haidai aliongeza, na zaidi ya 90% ya nyumba zikiwa zimepigwa makombora na 80% kuharibiwa vibaya.

Uvamizi wa Urusi dhidi ya Ukraine, ulioanza mnamo Februari, umekuwa ukilenga Severodonetsk na mji wake pacha wa Lysychansk kwa wiki kadhaa.

Ni nafasi za mwisho zilizosalia za Kiukreni katika eneo la Luhansk, moja ya mikoa miwili inayounda Donbas ya mashariki.

Rais wa Urusi Vladimir Putin amedai kwa uwongo kwamba wazungumzaji wa Kirusi katika Donbas wamekuwa wahanga wa mauaji ya halaiki - mojawapo ya sababu kuu anazotumia kuivamia Ukraine.

Siku ya Alhamisi, vikosi vya Urusi vilichukua udhibiti wa maeneo zaidi kusini mwa Severodonetsk na Lysychansk, na kuzua hofu kwamba vikosi vya Ukraine vitazingirwa huko hivi karibuni
Hiyo mikoa imemchukua miez miwili sasa kuimiliki chini ya vikosi hafifu vya Ukraine ,alafu pia mikoa hiyo iliyo ndani ya donbas ni magofu tupu hakuna watu ,Ukraine wameona ngoja wakajipange ,mbona kawaida tuu kwani Russia si walikimbia pia hapo mwanzo,mwez ujao utasikia Ukraine kakomboa tena
 
Urusi sasa kutwaa miji magofu isiyo na shughuli zozote za kiuchumi sababu kabomoa miundombinu, mashule, mahospitali, makazi ya watu, kalipua reli, viwanja vya ndege nk

Hajateka mji kateka magofu kuteka mji unakuwa na watu, viwanda na shughuli za kiuchumi zikiendelea

Mrusi anateka dead cities

Tunabomoa tunatoa uchafu tunakuja kusimika mijengo ya maana.
 
Ngoja yabaki magofu, Uzuri Russia ana prisoners of war wakutosha kutoka Ukraine wataenda kujenga huko kwa viboko usiku na mchana

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1316][emoji1316][emoji1316][emoji1316][emoji1316][emoji1316][emoji1316][emoji1316][emoji1316]
 
Retreat ni moja wapo ya njia ya kujipanga
 
Unaota mrusi anashambulia kama mwehu kutumia cruise missile ambazo bei ya kutengeneza moja ni shilingi za kitanzania bilioni 16 na kutengeneza moja kiwandani inachukua minimum Miaka Minne

Yeye Putin anayarusha kama mwehu hajui.stock control kuwa high value silaha ya kivita unatakiwa tutumie kiuangalifu na itumike tu kwenye high value targets

Yeye Anatumia kushambulia maeneo ya raia zikiwemo hospitali,shule barabara nk


Ukraine wakiyatumia hawarushi kama wehu kama Putin wanalenga high value targets kwa kulenga vichwa vya magenerali wa Urusi na kuwaua huku waki manage vizuri stock zao za missiles
Warusi wanarusha hovyo hovyo tu bila kujali value of target wala stock control

NATO wanampelekesha Putin ili stock imwishie halafu wamuonyeshe cha mtema kuni.
Jeshi la Urusi wanapigana kama wehu ndio maana target zao wanalenga maeneo ya kiraia zaidi
NayataziDi kulengwa ili muzidi kuteseka NATO weusi
RUSSIA inatakiwa apige kila anachokiona mbele yake
Anatakiwa awasage sage hasaaaa hao MAGAIDI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngoja yabaki magofu, Uzuri Russia ana prisoners of war wakutosha kutoka Ukraine wataenda kujenga huko kwa viboko usiku na mchana
Baada ya wiki wanaongezeka mateka wengine 2,000 wa jeshi la Ukraine - nadhani watahamishiwa huko Siberia wapigwe msasa kidogo - nina hakika vita ikiisha Putin atawasamehe wafungwa na kuwarudisha makwao/Ukraine hisipokuwa wanajeshi wa kukodi hao hawata samehewa aidha watanyongwa au kufungwa maisha.
 
Back
Top Bottom