Hahaahhaaa kwa taarifa yako, siku tukitumia makombara 20, siku hiyo hiyo tunatengeneza makombora 50. Sisi hatununui TUNATENGENEZAHawezi stock ya makombora inamuishia
Alitarajia kumaliza vita ndani ya saa 72 akawa anavurumisha weee.mokombora mfululilizo kila dakika mikombora mia stock inakaribia kumuishia
Kumbe mpango wa kuikomboa kyiv bado uko on tableKudadeki hatimaye NATO wameondoa majeshi. Wamekubali kushindwa. Sasa tunaelekea kyiv
Russia wataijenga upya! Wakati Chechenia walipotaka kujitenga na Russia ,Majeshi ya Russia yalisagasaga kila kitu,lakini waliijenga upya ikarudi katika hali yake! Na leo vikosi vilivyo mstari wa mbele kupigana Ukraine mojawapo ni vikosi vya Russia kutoka Chechenia vilivyowezesha kuuteka mji wa Mariupol.Urusi sasa kutwaa miji magofu isiyo na shughuli zozote za kiuchumi sababu kabomoa miundombinu, mashule,mahospitali ,makazi ya watu ,kalipua reli ,viwanja vya ndege nk
Hajateka mji kateka magofu kuteka mji unakuwa na watu ,viwanda na shughuli za kiuchumi zikiendelea
Mrusi anateka dead cities
Yeah. Akili kubwa ilitumika kukamata kwanza strategy areaKumbe mpango wa kuikomboa kyiv bado uko on table
Mkuu ina maana kabakiza makombora manne tu kama akina BurundiHawezi stock ya makombora inamuishia
Alitarajia kumaliza vita ndani ya saa 72 akawa anavurumisha weee.mokombora mfululilizo kila dakika mikombora mia stock inakaribia kumuishia
Sisi warusi weusi tunapongeza jeshi letu la warusi weuopeAskari wa kirusi hovyo sana wanaharibu mji mzima wanaishia kushikilia miji iliyojaa magofu, vifusi na mizoga.
Hata sisi Waukrein wa Kwampalange tunawapa pole jeshi letu la Severodonetsk
Hahaha! [emoji16][emoji16]Ngoja yabaki magofu, Uzuri Russia ana prisoners of war wakutosha kutoka Ukraine wataenda kujenga huko kwa viboko usiku na mchana
Sasa kashindwa ijenga Syria....akaiomba Marekani ndo ataweza UkraineNgoja yabaki magofu, Uzuri Russia ana prisoners of war wakutosha kutoka Ukraine wataenda kujenga huko kwa viboko usiku na mchana
Mkuu kwani asipoijenga atapoteza nini? Tena akishikilia ndo tatizo maana haitawezekana kutumia asset zake zilizozuiwa kuujenga. Huyu mtu amekuwa stuborn. Maamuzi makali yanatakiwa kufikiwa kuhusu yeye au kama haiwezekani aachwe tu ajimegee ukraine.Sasa kashindwa ijenga Syria....akaiomba Marekani ndo ataweza Ukraine
Watu wanataka ardhi wewe unazungumzia majengo🙄🙄🙄‼️ . Majengo yatajengwa mengine na ardhi ya kilimo itainufaisha Urusi na ukrein imekosa ardhi bora kwa kilimo.Hakuna shule wala hospitali wala masoko wala mahoteli kwenye hiyo miji
Mrusi kabomoa vyote na makombora
Hii vita ni ya kwanza duniani kwa nchi kuteka magofu na kuyakalia
Hata Sisi tulipopigana na Uganda tulipoteka miji ilikuwa miji hai yenye uchumi.na biashara ,mashule,hospitali no
Mrusi bwege anateka miji magofu
Mmekuja na mengine Sasa,.hizo propaganda.
Uwezekano wa nuklia war ahead mkubwa Sana.Mkuu hapa Putin anatuma ujumbe kwa Poland na akina Britain jinsi miji yao itakavyokuwa endapo wakizidisha choko choko