Ukraine waanza kurejesha Mji wa Severdonetsk ambao Russia walitangaza kuuteka

Ukraine waanza kurejesha Mji wa Severdonetsk ambao Russia walitangaza kuuteka

5525

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2014
Posts
5,412
Reaction score
6,279
The key Eastern City of Severodonetsk continues to see intense fighting, with Ukraine saying its forces have recaptured part of the city.

ii.jpg
 
Kwa jinsi jeshi la Russia lilivyokuwa kubwa na lenye vifaa vya kila Aina hatuna budi kuwasifia Ukrainian.Toka juzi wamekomboa sehemu kubwa ya mji huo pia kitendo cha kupigana vita na Russia Kwa kipindi cha miezi 3 ni ushujaa mkubwa.
hii vita sio ushabiki WA Simba na yanga

 
Kyiv waliizingira pia ilikuwaje tena? naona Watoto wanajipigia picha za kumbukumbu kwenye vifaru vya russia vilivyochachagwa
Pengine unaota au umeshiba na kuvimbiwa propaganda...Kiev haijawahi kuzingirwa kwa maana halisi ya neno kuzingirwa...Mji pekee ambao ulizingirwa ni Mariupol ambapo Askari waliozingirwa pamoja na thousands of civilians walikuwa.hawawezi kupata msaada iwe ni chakula, dawa au silaha....Raia wengi waliweza kuwa evacuated kwa uangalizi wa UN kufuatia mazungumzo yaluyofanyika Kati ya UN na Russia na siyo vinginevyo....
Ila kwa propaganda mtaambiwa Kiev liizingirwa......NEVER...
 
Pengine unaota au umeshiba na kuvimbiwa propaganda...Kiev haijawahi kuzingirwa kwa maana halisi ya neno kuzingirwa...Mji pekee ambao ulizingirwa ni Mariupol ambapo Askari waliozingirwa pamoja na thousands of civilians walikuwa.hawawezi kupata msaada iwe ni chakula, dawa au silaha....Raia wengi waliweza kuwa evacuated kwa uangalizi wa UN kufuatia mazungumzo yaluyofanyika Kati ya UN na Russia na siyo vinginevyo....
Ila kwa propaganda mtaambiwa Kiev liizingirwa......NEVER...
Mkuu Kyiv waliizingira mpaka Russia wakataka majeshi ya Ukraine wajisalimishe wakatoa mpaka masaa ya kujisalimisha kumbuka vizuri ilikuwa operetation munayoiita inaingia mwezi 2., baada ya kule walikoanzia Donbas ambako sasa Russia wamerudi baada ya kushindwa Kyiv., lazima ukubali putin anagaragazwa
 
Kwa jinsi jeshi la Russia lilivyokuwa kubwa na lenye vifaa vya kila Aina hatuna budi kuwasifia Ukrainian.Toka juzi wamekomboa sehemu kubwa ya mji huo pia kitendo cha kupigana vita na Russia Kwa kipindi cha miezi 3 ni ushujaa mkubwa.
hii vita sio ushabiki WA Simba na yanga

Hahaha, Ukraine anapigana!? Au Ukraine+NATO+EU+UK VS RUSSIA?
 
Mkuu Kyiv waliizingira mpaka Russia wakataka majeshi ya Ukraine wajisalimishe wakatoa mpaka masaa ya kujisalimisha kumbuka vizuri ilikuwa operetation munayoiita inaingia mwezi 2., baada ya kule walikoanzia Donbas ambako sasa Russia wamerudi baada ya kushindwa Kyiv., lazima ukubali putin anagaragazwa
Duh...huu Sasa ni ubishi wa Simba na Yanga...sitaki kuingizwa kwenye ubishi wa aina hii ...huko ni kupotezeana heshima....
 
Mkuu Kyiv waliizingira mpaka Russia wakataka majeshi ya Ukraine wajisalimishe wakatoa mpaka masaa ya kujisalimisha kumbuka vizuri ilikuwa operetation munayoiita inaingia mwezi 2., baada ya kule walikoanzia Donbas ambako sasa Russia wamerudi baada ya kushindwa Kyiv., lazima ukubali putin anagaragazwa

Neno garagazwa [emoji56][emoji56][emoji56]
 
Kyiv waliizingira pia ilikuwaje tena? naona Watoto wanajipigia picha za kumbukumbu kwenye vifaru vya russia vilivyochachagwa
Kuuzingira Kyiv ilikuwa ni mbinu tu ya medani ili majeshi ya Ukraine yaelekeze nguvu kwenye kuuhami mji mkuu; ili kupunguza nguvu huku Mashariki ambako ndiko kulikuwa kumelengwa haswa.
Mpaka majeshi ya Ukraine yarudishe nguvu upande wa Mashariki, Russia walikuwa wameshasonga mbele sana na kuteka maeneo.
Hiyo pia imewanyima Ukraine uhakika kama kweli Russia hawanii tena kuushambulia Kyiv, maana alishaingia na kutoka; na bado alituma makombora akapiga Kyiv wakati Katibu Mkuu wa UN akiwa mjini humo wakati wa ziara yake nchini Ukraine.
 
Back
Top Bottom