- Thread starter
- #21
kichapoNeno garagazwa [emoji56][emoji56][emoji56]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kichapoNeno garagazwa [emoji56][emoji56][emoji56]
Kuuzingira Kyiv ilikuwa ni mbinu tu ya medani ili majeshi ya Ukraine yaelekeze nguvu kwenye kuuhami mji mkuu; ili kupunguza nguvu huku Mashariki ambako ndiko kulikuwa kumelengwa haswa.
Mpaka majeshi ya Ukraine yarudishe nguvu upande wa Mashariki, Russia walikuwa wameshasonga mbele sana na kuteka maeneo.
Hiyo pia imewanyima Ukraine uhakika kama kweli Russia hawanii tena kuushambulia Kyiv, maana alishaingia na kutoka; na bado alituma makombora akapiga Kyiv wakati Katibu Mkuu wa UN akiwa mjini humo wakati wa ziara yake nchini Ukraine.
Hawa uliowataja kama wapo basi tutegemee hii vita haitakuja kuisha hapa karibuniHahaha, Ukraine anapigana!? Au Ukraine+NATO+EU+UK VS RUSSIA?
Na taleban wangekua navyo=!!??Usiwe mbumbu hivo tunasema chukua picha Ukraine angekua na vifaa na technolojia yakutosha
Mh!Kwa jinsi jeshi la Russia lilivyokuwa kubwa na lenye vifaa vya kila Aina hatuna budi kuwasifia Ukrainian.Toka juzi wamekomboa sehemu kubwa ya mji huo pia kitendo cha kupigana vita na Russia Kwa kipindi cha miezi 3 ni ushujaa mkubwa.
hii vita sio ushabiki WA Simba na yanga
hebu elezea na Mariopo rafikiKyiv waliizingira pia ilikuwaje tena? naona Watoto wanajipigia picha za kumbukumbu kwenye vifaru vya russia vilivyochachagwa
[emoji16][emoji16] Wana akili sasaHahaha, Ukraine anapigana!? Au Ukraine+NATO+EU+UK VS RUSSIA?
Nawe Chukua picha Iraq angekuwa na vifaa na technolojia ya kutosha..!Usiwe mbumbu hivo tunasema chukua picha Ukraine angekua na vifaa na technolojia yakutosha
Tumeshaingia wa nne bossKwa jinsi jeshi la Russia lilivyokuwa kubwa na lenye vifaa vya kila Aina hatuna budi kuwasifia Ukrainian.Toka juzi wamekomboa sehemu kubwa ya mji huo pia kitendo cha kupigana vita na Russia Kwa kipindi cha miezi 3 ni ushujaa mkubwa.
hii vita sio ushabiki WA Simba na yanga
Pro Russo in denialUmewahi mno kuleta habari hii..pale warusi watakapouzingira wote kama ilivyokuwa kwa Mariupol uwe mwepesi pia kutuletea habari hizo...
Pro Russo in denialPengine unaota au umeshiba na kuvimbiwa propaganda...Kiev haijawahi kuzingirwa kwa maana halisi ya neno kuzingirwa...Mji pekee ambao ulizingirwa ni Mariupol ambapo Askari waliozingirwa pamoja na thousands of civilians walikuwa.hawawezi kupata msaada iwe ni chakula, dawa au silaha....Raia wengi waliweza kuwa evacuated kwa uangalizi wa UN kufuatia mazungumzo yaluyofanyika Kati ya UN na Russia na siyo vinginevyo....
Ila kwa propaganda mtaambiwa Kiev liizingirwa......NEVER...
Hakuna hata atakeunganisha huu uzi,moderators siyo wajinga kiasi hiki.Mjadala utabaki hapa hapa,endelea kuwapa dose hawa Pro PutinTutaufuata huko huko na kipodo hakitapungua....