Ukraine waanza kurejesha Mji wa Severdonetsk ambao Russia walitangaza kuuteka

Ukraine waanza kurejesha Mji wa Severdonetsk ambao Russia walitangaza kuuteka

Kwa jinsi jeshi la Russia lilivyokuwa kubwa na lenye vifaa vya kila Aina hatuna budi kuwasifia Ukrainian.Toka juzi wamekomboa sehemu kubwa ya mji huo pia kitendo cha kupigana vita na Russia Kwa kipindi cha miezi 3 ni ushujaa mkubwa.
hii vita sio ushabiki WA Simba na yanga

Tunakumbuaha tu

Taleban wamepigana vita na Marekani na washirika wake kwa muda wa miaka 20 na wakaibuka kidedea.

Hawa ndio wakusifia
 
Pro Russo in denial
Which denial are you talking about?! Kiev was never surrounded by Russia's forces...they were near it and in certain areas even 18 km from Kiev but never surrounded it....
 
Urusi kashatepeta, Silaha toka US, UK zinammaliza.

Britain to send long-range missiles to Ukraine after Russia hits Kyiv​

 
Back
Top Bottom