Ukraine waanza kurejesha Mji wa Severdonetsk ambao Russia walitangaza kuuteka


Hamnaa... kapigwa kwenye pua na kutia akili, kwanza limsafara lilifyekwa hadi raha...
 
Mh!
 
Tumeshaingia wa nne boss
 
Umewahi mno kuleta habari hii..pale warusi watakapouzingira wote kama ilivyokuwa kwa Mariupol uwe mwepesi pia kutuletea habari hizo...
Pro Russo in denial
 
Pro Russo in denial
 
Moderator
Na huu uzi pia uanganishwe kwenye uzi mama tafadhali
Cry more,hakuna moderator atapenda kuendekeza hizi deko zako.Moderators simamieni hapo hapo,acha mijadala iflow kama kawaida,JF haijafika hapa kwa kuwa na members kama hawa wenye kutaka kuwafundisheni kazi zenu

Moderator
 
Hata kwa mji wa Mariopol City,Russia walionekana kuzidiwa,lakini baada ya muda mji ukaangukia mikononi mwa Russia.Kumbuka hapo Russia siyo anapigana na Ukraine tu,kuna mamluki wa Nchi za magharibi,wamo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…